Maneno maarufu secondary za bweni

Zoga-kiporo
Zigo-adhabu
Mnazi-kusimamisha demu usiku
Kutaga-kufeli
Nyau-mmbea
 
Boy = Mwanafunzi mnaetokea mkoa mmoja
Ng'ande = Kande
Kitei = Wali
Sumu = Uji wa dona
Vitufti/ Mapisi = Mjumuiko wa vitafunwa kama mandazi, bagia, half cakes....
Mtego = mwanamke mrembo, tv au filamu.
Chui = Ugali wa dona
Kwa vimsemo hivi kuna uwezekano wewe ni kutoka Ilboru
 
Kayamba = Bakuli kubwa lenye kuchukua chakula kingi
Horizontal = Kusoma ukiwa umelala kitandani
Kuzamia = Kuingia kwenye sherehe pasipo mwaliko rasmi
Passport size = Kunawa nusu ya mwili ili kuepuka kuoga
Ilboru style
 
Kayamba = Bakuli kubwa lenye kuchukua chakula kingi
Horizontal = Kusoma ukiwa umelala kitandani
Kuzamia = Kuingia kwenye sherehe pasipo mwaliko rasmi
Passport size = Kunawa nusu ya mwili ili kuepuka kuoga
Utakua umesoma kwa "wamenye" pale. Wenyewe wanaiita "sekondari"!😀😀
 
kubundi/kusoma
kukikoka/kusoma usiku
kutoboa/kusoma usiku kucha
half life/kiporo
kitei/wali
"form one wa kiangazi"/Form 5
bondo/ugali
nyuka/uji
tope/uji
yengu/"toplayer"
bwiko, mbwiko/ mshamba
kipungo/baridi
rangi/"mademu"
graduu/graduation
nk nk

Shule za bweni ilikuwa na raha zake.
 
Nguna....ugali
Chenga....wali
Donei ...kuomba upewe kitu
Kimpumu....uji usio na sukari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…