The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 8,082
- 17,838
Faraja ya maskini ni tajiri akipata masahibu.
Kuna kauli za maskini wanapotafutaga
faraja.
1.Utaondoka na kuziwacha.
2.Hata mbuyu ulianza kama mchicha
3. Leo kwangu kesho kwako.
4. Licha ya mihela yako bado unagongewa mke
Endelea.......
Kuna kauli za maskini wanapotafutaga
faraja.
1.Utaondoka na kuziwacha.
2.Hata mbuyu ulianza kama mchicha
3. Leo kwangu kesho kwako.
4. Licha ya mihela yako bado unagongewa mke
Endelea.......