The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
"Mwenye pesa na asiye na pesa,si wote tunapumua"
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pesa sio kila kitu 😄😄Faraja ya maskini ni tajiri akipata masahibu.
Kuna kauli za maskini wanapotafutaga
faraja.
1.Utaondoka na kuziwacha.
2.Hata mbuyu ulianza kama mchicha
3. Leo kwangu kesho kwako.
4. Licha ya mihela yako bado unagongewa mke
Endelea.......
Hapa tena umekuja na kauli mpya ya kujifariji eti ,Mungu hakupi vyote 😄😄'Hao matajiri ukifuatilia wengi hawana amani kabisa.. Mungu hakupi vyote' [emoji23][emoji23][emoji23]
Roho za kichawi ni tatizo kubwaFaraja ya maskini ni tajiri akipata masahibu.
Kuna kauli za maskini wanapotafutaga
faraja.
1.Utaondoka na kuziwacha.
2.Hata mbuyu ulianza kama mchicha
3. Leo kwangu kesho kwako.
4. Licha ya mihela yako bado unagongewa mke
Endelea.......
Tatizo mijitu mingine ni mivivu by nature, leo nimekuja site flani hivi, kulikuwa na kifusi cha kuhamisha, kama lorry mbili, nikaona vijana wamekaa chini ya mwarobaini wanapiga soga, nikwaambia kuna laki 1 hapa ingizeni hiki kifusi kwenye shimo, shimo lenyewe lipo kama mita 30 tu toka kwenye kifusi, eti hawataki, kazi ngumu, halafu ukiwaangalia hata uhakika wa msosi hawana, hivi hii inakuwaje hii? Mbona mi sielewi?! Nikapigia simu vijana wangu wa kazi, wakaingiza chote chapchap tena kwa elfu hamisini tu, nusu yakeHilineno (hakuna kitu mbaya Kama umasikini) nimekua nikilirudia kila wakati kuwaambia wanangu (katika maisha yako, jitahidi kuukimbia umasikini, ujinga na maradhi).
Hii ni kweli ndugu yanguUtajiri namba Moja Ni UWE na Yesu moyoni[emoji1787]
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Biashara zenyewe pamoja na mali zake zote ni za kuroga.
- sitaki mie hela za mateso
"Hasara ya mtu kukosa akili"Kabisa! Angalia kauli za bavicha kwa ccm!
Yote ile ni kujifariji,
Usiishie kuwaambia tu, anza kuwatengenezea mazingira ili wavunje circle.Hilineno (hakuna kitu mbaya Kama umasikini) nimekua nikilirudia kila wakati kuwaambia wanangu (katika maisha yako, jitahidi kuukimbia umasikini, ujinga na maradhi).
Lazima bills zilipwe na msosi ULETWE mezani..."Mwenye pesa na asiye na pesa,si wote tunapumua"
[emoji3][emoji3][emoji3]Sina pesa lakin nna amani [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]