Maneno na kauli za Masikini wanapojifariji

Maneno na kauli za Masikini wanapojifariji

Umaskini ni kama kutumia simu kama tecno au itel kwa muda mrefu na unakua unajifanya ndiyo simu nzuri unazozihitaji kisha siku ukipata simu labda ya Mi, Samsung au Huawei ambazo ni high end unagundua ni jinsi gani ulikua unajidanganya.

Ukiwa maskini kumaliza mkate mmoja mzima ni swala la uwepo wa chai au maji ya kutosha lakini ukiivuka level ya umaskini kidogo kwa juu yake wewe inakua ngumu kumaliza silesi tano. Sifafanui, ambaye yupo level hii ataelewa kwanini ni ngumu kumaliza silesi tano ambaye bado kiukweli komaa ufike hapo.

Hizi siyo nukuu, ni hali halisi.
 
mafukara wakiwa wanabishana kwenye daladala za mbagala au gongo la mboto huku wameshilia bomba, utasikia "huna hela wewe, kama ungekuwa na hela usingepanda daladala.....kama hutaki kuchafuka ungepanda tax....unajifanya una hela, mwenye hela hagombanii siti".
 
Halafu masikini sijui Nani aliwadanganya kwamba MTU akiwa Na Hela nyingi kuwazidi wao MTU huyo atakufa Kwanza kabla Yao masikini. Tajiri akiwapita Na Gari bila kuwasalimia utawasikia " Dah Yani huyu jamaa anatupita bila kutusalimia, anaringa Kwa Sababu ya vijihela vyake?? We ngoja Tu kwani pua yake Ina ANGALIA juu? Siku ya msiba wake atazikwa Na matajiri wenzake, Mimi siendi ng'oo!!!
 
Halafu masikini sijui Nani aliwadanganya kwamba MTU akiwa Na Hela nyingi kuwazidi wao MTU huyo atakufa Kwanza kabla Yao masikini. Tajiri akiwapita Na Gari bila kuwasalimia utawasikia " Dah Yani huyu jamaa anatupita bila kutusalimia, anaringa Kwa Sababu ya vijihela vyake?? We ngoja Tu kwani pua yake Ina ANGALIA juu? Siku ya msiba wake atazikwa Na matajiri wenzake, Mimi siendi ng'oo!!!
Masikini ukiwasalimia ukiwa kwenye Gari watasema unawaringishia,ulipokua unatembea kwa miguu ulikua huwasalimii na usipowasalimia ukiwa kwenye Gari pia wanalalamika "Kupata Gari juzijuzi tu hata hasalimii"
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
We maskini wa akili ,gari ni kitu gani,hizo taka za japan au china mnaita gari?
Hapa leo naskia rafiki yangu mkubwa kavunja kiuno na uti wa mgongo akiendesha gari.
Mi nilipasua kichwa kwenye medula oblangata mwaka 2011 na gari mpaka leo niko chalechale tu.
Alafu kuna mshamba kama wewe unaona gari deeal sana.
 
Back
Top Bottom