machafuko jr
JF-Expert Member
- Sep 7, 2017
- 565
- 1,158
Alie kupa wewe ndie Alie ninyima mimi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wengine walifurahi sana mzee rugemalila kusota ndani mda mrefu...siku anatolewa akafatwa na VX, mafukara wakapigwa na butwaa.Masikini walifurahi Sana jiwe alipowashughulikia matajiri, wakiamini umasikini wao chanzo ni tajiri.
Mkuu, malezi mabaya, ulevi na marafiki wabaya pia huchangia uharibifu na umasikini wa vizazi vyetu.Tatizo mijitu mingine ni mivivu by nature, leo nimekuja site flani hivi, kulikuwa na kifusi cha kuhamisha, kama lorry mbili, nikaona vijana wamekaa chini ya mwarobaini wanapiga soga, nikwaambia kuna laki 1 hapa ingizeni hiki kifusi kwenye shimo, shimo lenyewe lipo kama mita 30 tu toka kwenye kifusi, eti hawataki, kazi ngumu, halafu ukiwaangalia hata uhakika wa msosi hawana, hivi hii inakuwaje hii? Mbona mi sielewi?! Nikapigia simu vijana wangu wa kazi, wakaingiza chote chapchap tena kwa elfu hamisini tu, nusu yake
Atazaa mitoto kibao halafu kutwa kucha kwa tajiri kuomba msaada wanae hawajala"Furaha ya maskini ni watoto""
Mo na Baresa Ela zao za mikopo TU, Mie pesa za mkopo benki sizitaki.....[emoji57]
Wakati hata vigezo vya kukopesheka benki Hana[emoji1787]
😀😀nimecheka kinyama yani
Ndio.Wewe wakwako umewatengenezea hayo mazingira...??
Wewe una matatizo makubwa. Unataka kulazimisha watu wafanye kazi ngumu kwa ujira unaoamua wewe kwa sababu tu wana shida?Tatizo mijitu mingine ni mivivu by nature, leo nimekuja site flani hivi, kulikuwa na kifusi cha kuhamisha, kama lorry mbili, nikaona vijana wamekaa chini ya mwarobaini wanapiga soga, nikwaambia kuna laki 1 hapa ingizeni hiki kifusi kwenye shimo, shimo lenyewe lipo kama mita 30 tu toka kwenye kifusi, eti hawataki, kazi ngumu, halafu ukiwaangalia hata uhakika wa msosi hawana, hivi hii inakuwaje hii? Mbona mi sielewi?! Nikapigia simu vijana wangu wa kazi, wakaingiza chote chapchap tena kwa elfu hamisini tu, nusu yake
Sio ujira ninao taka mimi, mimi nimetoa offer, means unaweza ukasema unataka uongezewe kiasi gani, lakini sio kusema tu hiyo kazi ngumu, sifanyi, hilo ni tatizoWewe una matatizo makubwa. Unataka kulazimisha watu wafanye kazi ngumu kwa ujira unaoamua wewe kwa sababu tu wana shida?
Basi walikuwa na mipango mingine au kazi kama hizo hawazifanyi. Kila mtu ana haki ya kuchagua kazi . Sioni unacholalamikia hapa.Sio ujira ninao taka mimi, mimi nimetoa offer, means unaweza ukasema unataka uongezewe kiasi gani, lakini sio kusema tu hiyo kazi ngumu, sifanyi, hilo ni tatizo
Naona mmeamua kuwashiana moto mapema tu😅Wewe wakwako umewatengenezea hayo mazingira...??