Maneno na kauli za Masikini wanapojifariji

The Mongolian Savage

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2018
Posts
8,082
Reaction score
17,838
Faraja ya maskini ni tajiri akipata masahibu.

Kuna kauli za maskini wanapotafutaga
faraja.

1.Utaondoka na kuziwacha.
2.Hata mbuyu ulianza kama mchicha
3. Leo kwangu kesho kwako.
4. Licha ya mihela yako bado unagongewa mke

Endelea.......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…