Fanya yote lakini pesa ya kula,kulala,na KUPUSH life iwepo"Furaha ya maskini ni watoto""
Kabla ya ujio wa pesa hakukuwa na amani?Bila pesa hiyo amani inatoka wapi? Stress tupu.
Husinitishe na pesa za urithi weweKabla ya ujio wa pesa hakukuwa na amani?
Kabisa! Angalia kauli za bavicha kwa ccm!
Yote ile ni kujifariji,
we nshomile jifunze kuandika. Kwenye a unaweka Ha😄😄😄
Pesa,Majumba na Magari ni vitu vya kupita ila jitahidi vipite na kwako.Fanya yote lakini pesa ya kula,kulala,na KUPUSH life iwepo