Maneno na kauli za Masikini wanapojifariji

Hongera naona mwenzangu unatumia WIFI ya ofisini lumumba.
Haya maisha chini ya serikali ya CCM hayana tofauti na kuishi jehanamu.
Kudownload Movie 1 inanigharimu shilingi 2000 mpaka 3000. Inakuwa nafuu kununua kwenye vibanda vya warusha movies.
Ipo siku chini ya hii serikali ya CCM 1GB tutainunua kwa 10,000.
Kabisa! Angalia kauli za bavicha kwa ccm!

Yote ile ni kujifariji,
 
Eti "Kila mtoto ana ridhiki yake" [emoji3][emoji3][emoji3] badala asubiri kwanza hawa watoto wa Mwanzo wana ridhiki mtu unabeti hadi kwa watoto !!! Umaskini sio tupambane sio lazima wote tuwe matajiri ila hata tuwe na hali nzuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…