CHIZI VITABU
JF-Expert Member
- Jun 12, 2021
- 1,061
- 2,477
Ha ha ha ha.. Kama nakuona ulivopoa baada ya onyoAfadhari wewe watu wa bar ndiyo hawaelewi.
Mimo nipo staff moja na walimu wote wana degree na masters lakini Gwajima ni reference yao,yaani wamesababisha nimepewa onyo leo kwa kelele.
Ujinga bado ni mkubwa hapa nchini.
Kitu gani kinakuhakikishia usalama wako baada ya hii chanjo hali ya kuwa tunaambiwa hata ukipata chanjo uwezekano wa kupata maambukizi uko pale pale?Afadhari wewe watu wa bar ndiyo hawaelewi.
Mimo nipo staff moja na walimu wote wana degree na masters lakini Gwajima ni reference yao,yaani wamesababisha nimepewa onyo leo kwa kelele.
Ujinga bado ni mkubwa hapa nchini.
Gwajima ameongea mambo yanayoonekana ya kipuuzi lakini yamezusha taflani kwa sababu yanagusa moja kwa moja uhai na mustakabali wa afya za watu wengi sana kwa wakati huu wa Corona.Toka enzi za JK yaliiuwepo aliambiwa kahongwa suti, JK alijua tu kushughulika navyo alisema ni ka upepo katapita.
Hivyo Gwajima hoja yake Kama Haina mashiko itapita Kama upepo tu,ila Kama Kuna hoja itaendelea kuvuma.
Kweli kabisa wataalamu watokee wamjibu au nao hawana uhakika Kama Gwajima.Gwajima ameongea mambo yanayoonekana ya kipuuzi lakini yamezusha taflani kwa sababu yanagusa moja kwa moja uhai na mustakabali wa afya za watu wengi sana kwa wakati huu wa Corona.
Hata kama Gwajima ameongea hoja za kipuuzi lakini zinahitaji ufafanuzi kutoka kwa mamlaka husika kulingana na hali ya taharuki mitaani.
Kuendelea kumtusi na kumdhihaki Gwajima ni kuendeleza sintofahamu kwenye jamii na kuzidi kuaminika kwa Gwajima.
Viongozi wajitokeze wapangue kuanzia hoja za Magufuli maana ndo walimwamini zaidi,na alidai chanjo Zina madhara.Hili suala la CORONA limekuwa kizungumkuti kwa sasa kwenye jamii yetu.
Nguvu kubwa inayotumika kuwashawishi watu wapatiwe chanjo pia nguvu kubwa inayotumika dhidi ya watu wanaotoa maoni yao dhidi ya chanzo vinazidi kuzua maswali na hofu kuu kwa wananchi.
Nadhani huu ndio muda muafaka kwa wataalamu kulitolea ufafanuzi wa kitaalamu hizi chanjo na sio kuwazodoa watu wanaopingana na chanjo.
Hayo malumbano ndio yanazidi kuwaweka wananchi njia panda na kuwajaza hofu.
Kama kupata chanjo ni khiyari ya mtu basi ibakie tu hivyo hivyo na kama kunatokea mtu anatoa maneno yanayoonekana kupotosha basi jukumu la wataalamu ni kutoa ufafanuzi kwa wananchi ili washawishike na sio vitisho na maneno ya kejeli.
Kupanic baada ya kutoa maelezo kunaleta tafsiri ya kuwa hao wanaopanic huenda wana maslahi na hii chanjo kwa namna moja au nyingine.
Mungu ibariki Tanzania
Hilo ndio jambo la busara kwa sasa......kulumbana hakuwatofautishi wao na Gwajima....Viongozi wajitokeze wapangue kuanzia hoja za Magufuli maana ndo walimwamini zaidi,na alidai chanjo Zina madhara.
Halafu wajibu za Gwajima kuliko kurukia conclusion tu eti anapotosha.
na aliwataja majina😅😅The come back of Rashid Gwajima siyo ya kitoto we mchukulie kama chizi au serious(mimi huwa namuona mwehu )ila nipo Tabata hapa ka grocery fulani tunabishana suala la chanjo reference ya hawa jamaa ni video ile ya Gwajima najaribu kuwaelewesha nimeshindwa,anyway nime stick kula beer tu huku nacheka
Nimependa part alipopiga kunako kwamba kuna watu wamechukua FUNGU ili watupe hofu ya Corona akauliza mbona wakati wa Magufuli haya hayakuwepo?
Hivi Shehe Ponda au Mnyika angeongea speech ile leo angekuwa uraiani kweli?
Ukimya wao ndio unazidi kuwapa wasi wasi wananchi na kuzipa nguvu hoja au madai ya GwajimaKweli kabisa wataalamu watokee wamjibu au nao hawana uhakika Kama Gwajima.
piga nyunguGwajima Ana hoja mm pia nimejaribu na Niko karibu kbsa na doctar bigwa apa kcmc na Ni mtalamu haswa naish na mdgo ake wenyewe wanasema hawna imani na chanjo ya korona hataki na Wala czani kma atachanjwa ..huyo ni doctor sas mm Ni Nani kuchanjwa au nimpinge gwaji boy....
wataala waje kujibizana na kichaaKweli kabisa wataalamu watokee wamjibu au nao hawana uhakika Kama Gwajima.
Wewe unayejiona mjanja, ndo zwazwa......hahahahaThe come back of Rashid Gwajima siyo ya kitoto we mchukulie kama chizi au serious(mimi huwa namuona mwehu )ila nipo Tabata hapa ka grocery fulani tunabishana suala la chanjo reference ya hawa jamaa ni video ile ya Gwajima najaribu kuwaelewesha nimeshindwa,anyway nime stick kula beer tu huku nacheka
Nimependa part alipopiga kunako kwamba kuna watu wamechukua FUNGU ili watupe hofu ya Corona akauliza mbona wakati wa Magufuli haya hayakuwepo?
Hivi Shehe Ponda au Mnyika angeongea speech ile leo angekuwa uraiani kweli?