#COVID19 Maneno ya Askofu Gwajima yamepata nguvu, kitaa wanaamini wakubwa wamehongwa

#COVID19 Maneno ya Askofu Gwajima yamepata nguvu, kitaa wanaamini wakubwa wamehongwa

'
20210731_064418.jpg
20210731_064449.jpg
 
Yule Prof kipindi cha awamu 5 alisema Chanjo sio za KUAMINIKA hazijachukua hatua nzuri kiutafiti.
Amekuja awamu 6 ametikea na kusema ziko salama kabisaa.
Sasa unategemea hao ndio wasomi wakujitokeza kumjibu Gwajima. No thank you.
Wananchi wanawatazama kama wachumia tumbo hatumii proffesional zao na kuzisimamia kile wanajua.
Na TAHARUKI hii si Tz tu ni globaly, fikiri sasa mtu anahamasisha kwa kuhonga dola 100 kwa anayechanjwa, hivi si mtu ataishia kuwaambia , There is No free lunch
 
Nguvu kubwa imetumika kuwapa watu chanjo zote. Hakuna chanjo iliyowahi kukubaliwa kirahisi wewe kijana wa juzi.
Hili suala la CORONA limekuwa kizungumkuti kwa sasa kwenye jamii yetu.

Nguvu kubwa inayotumika kuwashawishi watu wapatiwe chanjo pia nguvu kubwa inayotumika dhidi ya watu wanaotoa maoni yao dhidi ya chanzo vinazidi kuzua maswali na hofu kuu kwa wananchi.

Nadhani huu ndio muda muafaka kwa wataalamu kulitolea ufafanuzi wa kitaalamu hizi chanjo na sio kuwazodoa watu wanaopingana na chanjo.

Hayo malumbano ndio yanazidi kuwaweka wananchi njia panda na kuwajaza hofu.

Kama kupata chanjo ni khiyari ya mtu basi ibakie tu hivyo hivyo na kama kunatokea mtu anatoa maneno yanayoonekana kupotosha basi jukumu la wataalamu ni kutoa ufafanuzi kwa wananchi ili washawishike na sio vitisho na maneno ya kejeli.

Kupanic baada ya kutoa maelezo kunaleta tafsiri ya kuwa hao wanaopanic huenda wana maslahi na hii chanjo kwa namna moja au nyingine.

Mungu ibariki Tanzania
 
Hili suala la CORONA limekuwa kizungumkuti kwa sasa kwenye jamii yetu.

Nguvu kubwa inayotumika kuwashawishi watu wapatiwe chanjo pia nguvu kubwa inayotumika dhidi ya watu wanaotoa maoni yao dhidi ya chanzo vinazidi kuzua maswali na hofu kuu kwa wananchi.

Nadhani huu ndio muda muafaka kwa wataalamu kulitolea ufafanuzi wa kitaalamu hizi chanjo na sio kuwazodoa watu wanaopingana na chanjo.

Hayo malumbano ndio yanazidi kuwaweka wananchi njia panda na kuwajaza hofu.

Kama kupata chanjo ni khiyari ya mtu basi ibakie tu hivyo hivyo na kama kunatokea mtu anatoa maneno yanayoonekana kupotosha basi jukumu la wataalamu ni kutoa ufafanuzi kwa wananchi ili washawishike na sio vitisho na maneno ya kejeli.

Kupanic baada ya kutoa maelezo kunaleta tafsiri ya kuwa hao wanaopanic huenda wana maslahi na hii chanjo kwa namna moja au nyingine.

Mungu ibariki Tanzania
Zile si hoja za Gwajima,bali ndio sayansi ilivyo....anayedhani kwamba Gwajima anaongea upuuzi basi huyo ndio mwenye matatizo kichwani.

Ukitaka kujua kama hoja alizotoa Gwajima(si hoja za Gwajima) ndio ukweli wenyewe,subiri uone kama kuna mtu yeyote atajitokeza kuweka debate naye hadharani....siasa na sayansi ni mambo mawili tofauti kabisa....

Siasa ndio iliyoruhusu sigara ipigwe chapa ya TBS wakati mtengenezaji wa sigara ameandika kwamba uvutaji wa sigara ni hatari kwa afya yako.

NB:
1.Chanjo haina hata miaka 2 tangu igunduliwe,tutajuaje madhara yake baada ya miaka10 ijayo kwa mdungwaji?...na ndio maana wataalam halisi wa sayansi wanasema chanjo hii imetumia muda mfupi sana hadi kutumika....yapo madawa ambayo yanaweza kukusababishia kifo hata baada ya miaka 15 au hata 20 baada ya kuanza kutumia, mfano ARVs...

2.Hakuna peer reviewed scientific paper inayoonesha kwamba effects za muda mfupi,kati na mrefu za chanjo hii baada ya kudungwa,HAKUNA....yaani ugunduzi mpaka utumiaji wa chanjo hii haukufuata taratibu za kisayansi na ndio maana hata hao mabwana zao FDA hawajaidhinisha.

3.Hata ukidungwa haina maana kwamba you are safe,bado unaweza kuambukizwa ama kuambukiza(ingawa wanasema unapunguza uwezekano,but you are not free) na bado unatakiwa kuvaa barakoa....sasa nini faida za maana za chanjo hii?

4.Utadungwa kwa variant moja,ikibadilika chanjo haina maana tena,unatakiwa kudungwa nyingine...hivi watu hawaoni huu upuuzi kweli?

5.Nini kimetulinda tangu mwaka 2019 na hii covid19 hadi sasa ilihali asilimia kubwa yetu tulikua hatuvai barakoa na bado hatuvai,tunachangamana hadi kwenye viwanja vya michezo...mfano fikiria pale Kariakoo mtaa wa Kongo watu walivyo wengi na hawavai barakoa....

Ndio maana hata watu wa 'uswahilini' ambao hawajaenda shule wanaelewa hoja hizi,maana ziko wazi kabisa kumshtua mtu kutoka usingizini...ila kuna watu aidha kwa kujidanganya wamesoma ama wana maslahi kwenye hili suala ndio maana wanaunga mkono.

Kupinga hoja hizi yahitaji kujitoa ufahamu kwanza.....maana hata Antonio Fauci sijamwona akipinga hoja hizi wakati yeye ndio kiongozi chanjo hizi.
 
Walimu wana akili ndogo sana.
Sijui ilikuwaje nikawa mwalimu yaani sijawahi ona,watu wajinga wanafundisha watoto wa Kitanzania na ndiyo maana Tanzania ina watu wajinga sana.
Mkuu daraja la 111A uwe na D mbili cheti cha form 4 umeenda chuo cha ualimu huyu ndio mwalimu wa shule ya msingi akufundishie mwanao, kama sio masihara ni nini??
 
Hata kabla hajasema Gwajima mpendwa wetu John Pombe Joseph Magufuli alisha tu brain wash na tukabrashika
 
Walimu wana akili ndogo sana.
Sijui ilikuwaje nikawa mwalimu yaani sijawahi ona,watu wajinga wanafundisha watoto wa Kitanzania na ndiyo maana Tanzania ina watu wajinga sana.

Punguza maneno ya ovyo ndugu. Wewe leo unaubora upi wa akili? Thibitisha hapa basi.
Tumelelewa na wazazi wetu hao hao Walimu, wakatupa elimu hii tuliyonayo sasa wewe leo kwa akili yako kubwa uliyonayo unawaita hawana akili.

Hongera kwa akili kubwa mkuu. Hukutakiwa kuzaliwa kizazi hiki walau ungekua umezaliwa kizazi cha kina Plato. Ila madharau sio mazuri.
 
Punguza maneno ya ovyo ndugu. Wewe leo unaubora upi wa akili? Thibitisha hapa basi.
Tumelelewa na wazazi wetu hao hao Walimu, wakatupa elimu hii tuliyonayo sasa wewe leo kwa akili yako kubwa uliyonayo unawaita hawana akili.

Hongera kwa akili kubwa mkuu. Hukutakiwa kuzaliwa kizazi hiki walau ungekua umezaliwa kizazi cha kina Plato. Ila madharau sio mazuri.
Tulia we kondoo wa Gwajima.
walimu wa nchi hii ni mzigo na wapumbavu,na ndiyo chanzo cha maendeleo kukwama.
Kwa taarifa yako mimi ni mwalimu.
 
Walimu wana akili ndogo sana.
Sijui ilikuwaje nikawa mwalimu yaani sijawahi ona,watu wajinga wanafundisha watoto wa Kitanzania na ndiyo maana Tanzania ina watu wajinga sana.
Kama wewe ni Mwalimu kuna uwezekano mkubwa ulikuwa na ufauru mdogo sana, wewe ni kilaza, but wako walimu very talented mzee usigeneralize.
Binafsi I do respect walimu, Mwalimu wangu wa shule ya Msingi ana .chango mkubwa sana kunifanya niwe hivi nilivyo leo (Apumzike kwa Amani)
Yupo Mwalimu wangu wa Physics A-Level Mechanics, Heat na Wave, pamoja na Organic Chemistry.. (Mwalonde Popote pale ulipo nakusalimu)
bila yeye hakika nisingetoboa ile fizikia na Kemia
Halafu unakuta tutusa kama wewe linaropoka eti walimu sijui nini.
Futa kauli yako. Na uwe na adabu.
 
Kama wewe ni Mwalimu kuna uwezekano mkubwa ulikuwa na ufauru mdogo sana, wewe ni kilaza, but wako walimu very talented mzee usigeneralize.
Binafsi I do respect walimu, Mwalimu wangu wa shule ya Msingi ana .chango mkubwa sana kunifanya niwe hivi nilivyo leo (Apumzike kwa Amani)
Yupo Mwalimu wangu wa Physics A-Level Mechanics, Heat na Wave, pamoja na Organic Chemistry.. (Mwalonde Popote pale ulipo nakusalimu)
bila yeye hakika nisingetoboa ile fizikia na Kemia
Halafu unakuta tutusa kama wewe linaropoka eti walimu sijui nini.
Futa kauli yako. Na uwe na adabu.
Maneno yako meengi hayafuti ukweli kuwa asilimia 90 ya walimu ni vilaza.
By the way mimi ni mwalimu wa maana na ndiyo maana nafundisha moja kati ya shule kubwa hapa Dar na yenye matokeo ya maana. PRIVATE HUWA HAWAKAI NA VILAZA.
Kilaza atakuwa huyo mwalimu wako wa Physics wa shule ya kata aliyekufundisha ujinga.
Tutusa mwenyewe.
Kuea na adabu kijana.
 
Kama wewe ni Mwalimu kuna uwezekano mkubwa ulikuwa na ufauru mdogo sana, wewe ni kilaza, but wako walimu very talented mzee usigeneralize.
Binafsi I do respect walimu, Mwalimu wangu wa shule ya Msingi ana .chango mkubwa sana kunifanya niwe hivi nilivyo leo (Apumzike kwa Amani)
Yupo Mwalimu wangu wa Physics A-Level Mechanics, Heat na Wave, pamoja na Organic Chemistry.. (Mwalonde Popote pale ulipo nakusalimu)
bila yeye hakika nisingetoboa ile fizikia na Kemia
Halafu unakuta tutusa kama wewe linaropoka eti walimu sijui nini.
Futa kauli yako. Na uwe na adabu.
Mkuu naenda kinyume na wewe,walimu wengi hawana akili za maisha
 
Back
Top Bottom