#COVID19 Maneno ya Askofu Gwajima yamepata nguvu, kitaa wanaamini wakubwa wamehongwa

#COVID19 Maneno ya Askofu Gwajima yamepata nguvu, kitaa wanaamini wakubwa wamehongwa

Sawa , nenda kasaini fomu ya serikali kutokuhusika na kuganda kwako kwa damu baada ya kuchanjwa. Kisha ungana na wazungu mafala kuwa panya wa majaribio na kupokea chanjo. Sisi tukisubiri kuona matokeo miaka miwili ijayo. Ila nakuhakikishia 98% ya watanzania hawapo tayari kupokea chanjo hata uwawekee bunduki kichwani. Na mkijaribu kuwatumia wananchi kufanya maigizo ya kuchanjwa Kama viongozi wa nchi juzi ndo Siri itafichuka hata hizo 2% zilizobaki hamzipati tena. Watanzania sio wajinga Kama mnavyodhani.

Huo ndio ukweli mkuu achana na hawa wapiga kelele ambao wapo mtandaoni porojo nyingi chanjo chanjo na hawaendi kuchanjwa

Nenda mtaani fanya research watu hawataki chanjo na hawatachanja.
 
Ukweli ni kwamba Watanzania takirbani 90% hawatochanja huo ndio ukweli
Hata nyie wa mtandaoni mnao sema mtachanja nendeni afu mlete kadi za chanjo tuone acheni porojo!!

Ukitaka kujua ukweli tembea mtaani ulizia kwa watu wa kawaida ambao ndio wengi ,anza na mama kabisa majibu utakayopta utaona mwenyewe!
Mkuu sio 90% ni zaidi ya 98%, mpaka Sasa sijaona mtu aliye tayari kuchanjwa nikihoji mtaani. Wote unawakuta huku mitandaoni walio tayari kuchanjwa. Mtaani watu wengi wanapingana na chanjo vibaya sana.
 
Hili suala la CORONA limekuwa kizungumkuti kwa sasa kwenye jamii yetu.

Nguvu kubwa inayotumika kuwashawishi watu wapatiwe chanjo pia nguvu kubwa inayotumika dhidi ya watu wanaotoa maoni yao dhidi ya chanzo vinazidi kuzua maswali na hofu kuu kwa wananchi.

Nadhani huu ndio muda muafaka kwa wataalamu kulitolea ufafanuzi wa kitaalamu hizi chanjo na sio kuwazodoa watu wanaopingana na chanjo.

Hayo malumbano ndio yanazidi kuwaweka wananchi njia panda na kuwajaza hofu.

Kama kupata chanjo ni khiyari ya mtu basi ibakie tu hivyo hivyo na kama kunatokea mtu anatoa maneno yanayoonekana kupotosha basi jukumu la wataalamu ni kutoa ufafanuzi kwa wananchi ili washawishike na sio vitisho na maneno ya kejeli.

Kupanic baada ya kutoa maelezo kunaleta tafsiri ya kuwa hao wanaopanic huenda wana maslahi na hii chanjo kwa namna moja au nyingine.

Mungu ibariki Tanzania
Hiyo chanjo yenyewe wengi hawana vigezo vya kuipata. Kelele nyingi wakati hamna vigezo vya kuipata
 
Mkuu sio 90% ni zaidi ya 98%, mpaka Sasa sijaona mtu aliye tayari kuchanjwa nikihoji mtaani. Wote unawakuta huku mitandaoni walio tayari kuchanjwa. Mtaani watu wengi wanapingana na chanjo vibaya sana.

Kabisa mkuu hakuna aliyeko tayari watu wanajifariji tu mitandaoni ila mtaani hali ni tofauti sana
 
Tangu huu ugonjwa umeingia kuna phase 1 mpaka 3 je Watanzania wamekufa kwa malaki kama USA? Kama tupo na tunadunda kkoo tutaendelea kuishi na legacy tuliyoachiwa
Huyo aliye kuachia ligasi amekufa kwa ugonjwa gani tena? Sio huo nasemea ule wenyewe ule!!
 
Mkuu sio 90% ni zaidi ya 98%, mpaka Sasa sijaona mtu aliye tayari kuchanjwa nikihoji mtaani. Wote unawakuta huku mitandaoni walio tayari kuchanjwa. Mtaani watu wengi wanapingana na chanjo vibaya sana.
Hata wakitaka kuchanjwa hawatachanjwa. Chanjo si za kila mtu
 
Mkuu tafiti zipo, tumia Google kupata taarifa hizo.
Sasa Kama wasomi wenyewe ndo nyinyi ambao mnategemea Google ndo iwafanyie tafiti ,nynyi mkopi vya Google ndo mje mjimwambafai kwa Wana nchi kwamba kaangalieni Google tafiti zipo.shain zenu.basi hata Chimpanzee ana akili nyingi kuliko wasomi hawa ,maana wao hawaamini mpaka wajiridhishe wenyewe !! Watu wanauliza maswali ya msingi mnakosa majibu !! shain kabisa!!!,
 
Sawa , nenda kasaini fomu ya serikali kutokuhusika na kuganda kwako kwa damu baada ya kuchanjwa. Kisha ungana na wazungu mafala kuwa panya wa majaribio na kupokea chanjo. Sisi tukisubiri kuona matokeo miaka miwili ijayo. Ila nakuhakikishia 98% ya watanzania hawapo tayari kupokea chanjo hata uwawekee bunduki kichwani. Na mkijaribu kuwatumia wananchi kufanya maigizo ya kuchanjwa Kama viongozi wa nchi juzi ndo Siri itafichuka hata hizo 2% zilizobaki hamzipati tena. Watanzania sio wajinga Kama mnavyodhani.
Waambie comedy ya kwenye TV haitawaokoa,watajuta Kula vya beberu.
 
Sasa Kama wasomi wenyewe ndo nyinyi ambao mnategemea Google ndo iwafanyie tafiti ,nynyi mkopi vya Google ndo mje mjimwambafai kwa Wana nchi kwamba kaangalieni Google tafiti zipo.shain zenu.basi hata Chimpanzee ana akili nyingi kuliko wasomi hawa ,maana wao hawaamini mpaka wajiridhishe wenyewe !! Watu wanauliza maswali ya msingi mnakosa majibu !! shain kabisa!!!,
Shain ndo nini mkuu? Bora utumie Kiswahili tu. Nimekujibu utumie google sababu mtu unayejua kutumia internet na kuingia jamii forum hushindwi kupata takwimu hizo unazoziulizia hapo juu kutoka kwenye vyanzo vinavoaminika ndani ya google search. Zaidi ya hapo unataka kubishana tu.
 
Kuna watanzania hawajitambui kabisa. Huyu Gwajima(askofu) amekwisha toa kauli tata kibao. Ahadi kibao ambazo hajatekeleza...lakini bado kuna watu wanamwamini. Sijui tumelogwa? How comes,we behave this way?
Wewe mwenye kujitambua hebu tuambie long term na short term side effects za hiyo chanjo.

Na tuambie kwanini chanjo zingine Kama pepo punda,tetanus, surua nk,huwa hatujazi consent form?
 
Viongozi wajitokeze wapangue kuanzia hoja za Magufuli maana ndo walimwamini zaidi,na alidai chanjo Zina madhara.
Halafu wajibu za Gwajima kuliko kurukia conclusion tu eti anapotosha.
Kinachoshangaza hawa wote walikuwepo wakati wa Magufuli alipokuwa anazungumzia mapapai, chanjo na sikumsikia yeyote kudai anawavuruga wananchi, hizi mbinu zinanikumbusha kisa cha aliyekuwa mkurugenzi wa NIMR alipodai kuna ugonjwa sijui Ziggy(nimesahau jina) wakati huo ugonjwa haupo na lengo lake alambe pesa ya mabeberu, mwendazake akamtimua, na hatukuusikia tena au kuona madhara ya huo ugonjwa hapa nchini, pia akaja binti mwingine nae akaanza janja akatolewa. Kifupi hizi pesa za ufadhili za mabeberu zitatumaliza, UVIKO 19 ni tofauti na UKIMWI kwa hiyo tujihadhari na hizi chanjo, kila mtu aamue kivyake na si viongozi wa serikali au wa dini ndio watuamulie, hizi nguvu nyingi zinazotumika kubishana zina haribu malengo yetu, miluzi mingi hupoteza timing ya dog anapokuwa mawindoni.
 
The come back of Rashid Gwajima siyo ya kitoto we mchukulie kama chizi au serious(mimi huwa namuona mwehu )ila nipo Tabata hapa ka grocery fulani tunabishana suala la chanjo reference ya hawa jamaa ni video ile ya Gwajima najaribu kuwaelewesha nimeshindwa,anyway nime stick kula beer tu huku nacheka.

Nimependa part alipopiga kunako kwamba kuna watu wamechukua FUNGU ili watupe hofu ya Corona akauliza mbona wakati wa Magufuli haya hayakuwepo?

Hivi Shehe Ponda au Mnyika angeongea speech ile leo angekuwa uraiani kweli?
Acha wavune walichopanda, mamba wamemlea wenyewe sasa ameanza kuwatafuna,ameanza na mkuu kwa kuvuta mguu
 
Kinachoshangaza hawa wote walikuwepo wakati wa Magufuli alipokuwa anazungumzia mapapai, chanjo na sikumsikia yeyote kudai anawavuruga wananchi, hizi mbinu zinanikumbusha kisa cha aliyekuwa mkurugenzi wa NIMR alipodai kuna ugonjwa sijui Ziggy(nimesahau jina) wakati huo ugonjwa haupo na lengo lake alambe pesa ya mabeberu, mwendazake akamtimua, na hatukuusikia tena au kuona madhara ya huo ugonjwa hapa nchini, pia akaja binti mwingine nae akaanza janja akatolewa. Kifupi hizi pesa za ufadhili za mabeberu zitatumaliza, UVIKO 19 ni tofauti na UKIMWI kwa hiyo tujihadhari na hizi chanjo, kila mtu aamue kivyake na si viongozi wa serikali au wa dini ndio watuamulie, hizi nguvu nyingi zinazotumika kubishana zina haribu malengo yetu, miluzi mingi hupoteza timing ya dog anapokuwa mawindoni.
Pesa za mateso yaani mtu anajitoa ufahamu kuwafurahisha mabeberu,huku nafsi zikiwasuta.
 
Mamlaka tayari zimeonesha hali ya kushindwa kueleza umuhinu na usalama wa chanjo, kuwarudisha wanainchi kwenye mstari itachukua muda. Jambo la kijiuliza kama kuna maelezo toshelevu na yenye ukweli kwanini wanainchi wayafuate maelezo batili?

Tunalo jambo la kujifunza hapa aidha kuna mahali hatuko sawa sawa.
 
Mbunge hawezi kukamatwa mpaka SPIKA aitoe HATI YA KUKAMATWA KWAKE.......

Tusifike huko.....

Kauli ya sheikh. Ponda huwa inaweza kuwa na madhara makubwa pale atoapo na ndio maana amekuwa akiingia katika mtafaruku na VYOMBO VYA DOLA....

Sheikh Ponda anajulikana kwa kuwa MAKINI NA MISIMAMO YAKE....huyu ndugu yuko SERIOUS huwezi kumuona katika SKENDOSKENDO hata za "kuzushiwa"........

Nimepita VIJIWE VYA KAHAWA VINGI kiukweli GWAJIMA "anapingwa" na kila mtu....

Hata wale wanaoipinga hii CHANJO bado WANAZIPINGA KAULI ZAKE TATA ALIZOTOA juzi ibadani......

WATANZANIA WALIO WENGI NI WAELEWA UKIACHA WALE WACHACHE TU AMBAO NI BENDERA FUATA UPEPO KWA VIONGOZI WASIO NA STAHA NA NDIMI ZAO

#TujiandaeKuchanjwa
#JMTMilele
#NchiKwanza
#KaziIendelee

Tatizo ni U-Turn iliyopigwa mkuu, miezi michache ilyopita tuliambiwa hakuna korona Tanzania na tumeshaishinda, tukaambiwa ni propaganda za mabeberu kutumaliza mbali zaidi na barakoa zikadhihakiwa tukaambiwa nj kama vifuniko vya matiti (sidiria), tukakatazwa kuzivaa, tukaambiwa tupige nyungu.

Kiongozi mkuu wa nchi na serikali alituaminisha yote hayo, waziri wa afya alitumbuliwa kusimamia Sayansi juu ya korona, Waziri mpya akaja ambaye yupo mpaka sasa na ambaye ni daktari kitaaluma akaacha taaluma akatwambia tuongee nyungu, tusali na tuachane nanpropaganda za mabeberu. Mawaziri, wabunge CCM na wataalamu wote wakwatwambia tumeishinda korona wanaanchi tukaamini tukapuuzia na tukaendelea na maisha.

Tukaamini yote tuliombiwa na viongozi na tukawa na imani tumeshinda sasa walewale wanakuja kutuambia tofauti hapa ndio tatizo.

Sasa watumie nguvu na ushawishi ule ule kutuaminisha hatujaishinda korona, inatumaliza na tunahitaji kufanya wanayosema sasa hivi.
 
Tatizo ni U-Turn iliyopigwa mkuu, miezi michache ilyopita tuliambiwa hakuna korona Tanzania na tumeshaishinda, tukaambiwa ni propaganda za mabeberu kutumaliza mbali zaidi na barakoa zikadhihakiwa tukaambiwa nj kama vifuniko vya matiti (sidiria), tukakatazwa kuzivaa, tukaambiwa tupige nyungu.

Kiongozi mkuu wa nchi na serikali alituaminisha yote hayo, waziri wa afya alitumbuliwa kusimamia Sayansi juu ya korona, Waziri mpya akaja ambaye yupo mpaka sasa na ambaye ni daktari kitaaluma akaacha taaluma akatwambia tuongee nyungu, tusali na tuachane nanpropaganda za mabeberu. Mawaziri, wabunge CCM na wataalamu wote wakwatwambia tumeishinda korona wanaanchi tukaamini tukapuuzia na tukaendelea na maisha.

Tukaamini yote tuliombiwa na viongozi na tukawa na imani tumeshinda sasa walewale wanakuja kutuambia tofauti hapa ndio tatizo.

Sasa watumie nguvu na ushawishi ule ule kutuaminisha hatujaishinda korona, inatumaliza na tunahitaji kufanya wanayosema sasa hivi.
Ulikuwa ni msimamo wa hayati JPM....


#ChanjoNiBoraKulikoTiba
#KaziIendelee
 
Back
Top Bottom