#COVID19 Maneno ya Askofu Gwajima yamepata nguvu, kitaa wanaamini wakubwa wamehongwa

#COVID19 Maneno ya Askofu Gwajima yamepata nguvu, kitaa wanaamini wakubwa wamehongwa

Hiyo chanjo wangesema inakinga mtu kupata virus vya ukimwi, wangeona foleni yake.
Mpaka watoto wa darasa la kwanza wangekuwapo kwenye kutaka hio chanjo.

WABADILI JINA LA UGONJWA TU WATATUPATA WOTE HADI MAPADRE.
 
Ni km Viongozi wamekula rushwa ku promote Corona.

Watu wanaokufa wako wapi? Wao wachanje TU sisi wanyonge hatuchanji.Km wamekula vya watu wakitegemea kututoa sadaka,kazi wanayo kurudisha vya watu
Nchi imesimama... Bi mkubwa na wapambe wake wapo bize na kupromote corona... Kwao habari sasa ni barakoa na kuzuia mikusanyiko isiyo wahusu. Ya kwao inaogopwa na corona🤣
 
Afadhari wewe watu wa bar ndiyo hawaelewi.

Mimo nipo staff moja na walimu wote wana degree na masters lakini Gwajima ni reference yao,yaani wamesababisha nimepewa onyo leo kwa kelele.

Ujinga bado ni mkubwa hapa nchini.
Kaka sio hapo tuu, kote wapo wanaopinga hiyo chanjo. wanafafanya mpaka maandamano.
Hakuna anaye bughudiwa. Serikali inafanya kampeni zake na matangazo ya TV kwa wingi. wanawachiwa watu kuchagua

wapo hawependi chanjo
wapo wanao ogopa sindano
 
Eti kichaa, ww mzima una nn cha kumfikia kichaa yule. Wajinga sana nyinyi, kujikuta werevu kumbe zero
Anatetea wataalamu ambao hawana msimamo... Kesho Magufuli akifufuka wataanza kupigia debe nyungu🤣
 
Katika watu 27 niliowauliza kama watachanga hakuna hata mmoja aliesema ana chanja wote wanakataa sasa hao 27 wanafamilia wana ndugu wana marafiki ambao wanaseza kuomba ushauri kwa hawa watu kuhusu Chanjo

Watanzania wengi wanaona kwa macho juu ya tulipotoka ,tulipo na tunapoenda juu ya hii Corona ukiona watu wamegoma juu ya barakaoa pamoja na vitisho vyoote itakuwa chanjo?

Kingine reaction ya Serikali juu ya maneno ya Gwaji nayo imechangia watu kuona hapa kuna kitu hakuna aliyejibu hoja za Gwaji zaidi ya kumsema Gwaji mwenyewe

Kingine inashangaza Serikali kuwa maofisa masoko wa kampuni ya Chanjo unapowasilikiliza unaweza kudhani ni maofisa masoko wa kampuni ya JJ pili sisi hatuna Lab za kusibitisha kuwa dawa hz zinafaa au hazima madhala uchunguzi umefanyika lini kutoka chanjo kuingia mpk kuchanjana juzi hv uchunguzi wa Dawa inaweza kuwa muda mfupi namna hii?
 
Kuna watanzania hawajitambui kabisa. Huyu Gwajima(askofu) amekwisha toa kauli tata kibao. Ahadi kibao ambazo hajatekeleza...lakini bado kuna watu wanamwamini. Sijui tumelogwa? How comes,we behave this way?
....ignorance....

Hashtag GWAJIMA AFUKUZWE CCM

#GwajimaAfukuzweCCM
#KaziIendelee
 
The come back of Rashid Gwajima siyo ya kitoto we mchukulie kama chizi au serious(mimi huwa namuona mwehu )ila nipo Tabata hapa ka grocery fulani tunabishana suala la chanjo reference ya hawa jamaa ni video ile ya Gwajima najaribu kuwaelewesha nimeshindwa,anyway nime stick kula beer tu huku nacheka.

Nimependa part alipopiga kunako kwamba kuna watu wamechukua FUNGU ili watupe hofu ya Corona akauliza mbona wakati wa Magufuli haya hayakuwepo?

Hivi Shehe Ponda au Mnyika angeongea speech ile leo angekuwa uraiani kweli?
LISEMWALO LIPO KAMA HALIPO BASI LINAKUJA Watu wana Vyanzo vya Habari
 
Katika watu 27 niliowauliza kama watachanga hakuna hata mmoja aliesema ana chanja wote wanakataa sasa hao 27 wanafamilia wana ndugu wana marafiki ambao wanaseza kuomba ushauri kwa hawa watu kuhusu Chanjo

Watanzania wengi wanaona kwa macho juu ya tulipotoka ,tulipo na tunapoenda juu ya hii Corona ukiona watu wamegoma juu ya barakaoa pamoja na vitisho vyoote itakuwa chanjo?

Kingine reaction ya Serikali juu ya maneno ya Gwaji nayo imechangia watu kuona hapa kuna kitu hakuna aliyejibu hoja za Gwaji zaidi ya kumsema Gwaji mwenyewe

Kingine inashangaza Serikali kuwa maofisa masoko wa kampuni ya Chanjo unapowasilikiliza unaweza kudhani ni maofisa masoko wa kampuni ya JJ pili sisi hatuna Lab za kusibitisha kuwa dawa hz zinafaa au hazima madhala uchunguzi umefanyika lini kutoka chanjo kuingia mpk kuchanjana juzi hv uchunguzi wa Dawa inaweza kuwa muda mfupi namna hii?
Huo utafiti wako ni wa uongo au sample yako ni ya vichaa!

Kwa hiyo nyinyi na hao 27 uliowahoji ni wajanja kuliko waisraeli?
Je,nyinyi ni wajanja kuliko wajerumani? ambao wanaendelea kuchanjwa. Jibu ni hapana ..hamna ujanja wowote. Mnasumbuliwa ujinga na kutoelimika. Ndio,mmeenda shule mkakaa kwenye chumba cha pembe nne lakini hamkuelimika!
 
Huo utafiti wako ni wa uongo au sample yako ni ya vichaa!

Kwa hiyo nyinyi na hao 27 uliowahoji ni wajanja kuliko waisraeli?
Je,nyinyi ni wajanja kuliko wajerumani? ambao wanaendelea kuchanjwa. Jibu ni hapana ..hamna ujanja wowote. Mnasumbuliwa ujinga na kutoelimika. Ndio,mmeenda shule mkakaa kwenye chumba cha pembe nne lakini hamkuelimika!
Hapa tunazungumzia Chanjo ya JJ ambayo serikali yako inaipigia debe kana kwamba ni maofisa masoko haya niambie muisrael gani au mjerumani gani amechanja chanjo ya JJ ?

Hakuna aliekataa Chanjo ila ni Chanjo gani leo Rais wa US ameagiza watu kupewa dola 100 kila anaechanja sasa unajiuliza toka lini tiba ikawa na malipo mind u ni kuwa wengi waliogoma kuchanja US ni blacks na Mexican Americans

Why Zanzibar wanachanja ya China umesikia kuna Mzanzibari kagoma ? au Serikali ya Zanzibar kutumia nguvu ? Kama huku bara?

Kwa nini Wazungu wote kila mtu na Chanjo yake why kusiwe na chanjo moja mbona chanjo zingine ni moja why Corona kila taifa la Ulaya linatengeneza Chanjo yake jibu ni moja hawaaminiani wenyewe kwa wenyewe sasa ww mzalamo wa Kisarawe unaamuamini US ambae wenzake hawamuamini
mazagazagatza
 
Kwa kuwa thinking capacity yao huwa inakuwa reduced to the level of their pupils/students.

Psychologically,mawazo ya binadamu huwa yanafanana na watu wanaomzunguka. Ndio maana tunapata ile halo kila mtu anaijua kama mob psychology.
You might be right aisee
 
The come back of Rashid Gwajima siyo ya kitoto we mchukulie kama chizi au serious(mimi huwa namuona mwehu )ila nipo Tabata hapa ka grocery fulani tunabishana suala la chanjo reference ya hawa jamaa ni video ile ya Gwajima najaribu kuwaelewesha nimeshindwa,anyway nime stick kula beer tu huku nacheka.

Nimependa part alipopiga kunako kwamba kuna watu wamechukua FUNGU ili watupe hofu ya Corona akauliza mbona wakati wa Magufuli haya hayakuwepo?

Hivi Shehe Ponda au Mnyika angeongea speech ile leo angekuwa uraiani kweli?
Wajibu hoja nzito za Gwajima,vinginevyo hakuna atakaye waelewa.Wanayo ongea ni upupu.
 
Huo utafiti wako ni wa uongo au sample yako ni ya vichaa!

Kwa hiyo nyinyi na hao 27 uliowahoji ni wajanja kuliko waisraeli?
Je,nyinyi ni wajanja kuliko wajerumani? ambao wanaendelea kuchanjwa. Jibu ni hapana ..hamna ujanja wowote. Mnasumbuliwa ujinga na kutoelimika. Ndio,mmeenda shule mkakaa kwenye chumba cha pembe nne lakini hamkuelimika!
Mbona Uk,USA na ujerumani kuna madaktari kibao tena mabingwa wanaoipinga hiyo chanjo!?, Tatizo mna akili za kikoloni eti kwasababu wazungu wengi wamechanjwa ndo mtanzania akihoji anaonekana mjinga, mbona wazungu kibao ni mafala tu?,au hujawahi kuishi nchi za wazungu?.. hii ishu ya chanjo miezi michache ijayo itawaumbua watu wengi sana.
 
Afadhari wewe watu wa bar ndiyo hawaelewi.

Mimo nipo staff moja na walimu wote wana degree na masters lakini Gwajima ni reference yao,yaani wamesababisha nimepewa onyo leo kwa kelele.

Ujinga bado ni mkubwa hapa nchini.
Suala la COVID ni kipimo muafaka cha kiwango cha ujinga kwa wananchi wa Tanzania hata wale wanaoonekana kuwa wasomi.

Kimsingi wataalam wa afya wamekosa uhalali mbele ya wananchi baada ya kuonekana hawana msimamo wowote kwenye masuala yao ya kitaalamu.

Na sasa viongozi wa dini ambao hawana elimu wala uzoefu wowote na masuala ya tiba ndio wanaaminiwa na wananchi.
 
Mbona Uk,USA na ujerumani kuna madaktari kibao tena mabingwa wanaoipinga hiyo chanjo!?, Tatizo mna akili za kikoloni eti kwasababu wazungu wengi wamechanjwa ndo mtanzania akihoji anaonekana mjinga, mbona wazungu kibao ni mafala tu?,au hujawahi kuishi nchi za wazungu?.. hii ishu ya chanjo miezi michache ijayo itawaumbua watu wengi sana.
Umenena vyema kuwa kuna wazungu mafala na inawezekana ndio hao wanaohoji chanjo. Hivyo na wanaopinga chanjo wanawaiga wazungu .mafala kupinga bila kuwa na hoja.
 
The come back of Rashid Gwajima siyo ya kitoto we mchukulie kama chizi au serious(mimi huwa namuona mwehu )ila nipo Tabata hapa ka grocery fulani tunabishana suala la chanjo reference ya hawa jamaa ni video ile ya Gwajima najaribu kuwaelewesha nimeshindwa,anyway nime stick kula beer tu huku nacheka.

Nimependa part alipopiga kunako kwamba kuna watu wamechukua FUNGU ili watupe hofu ya Corona akauliza mbona wakati wa Magufuli haya hayakuwepo?

Hivi Shehe Ponda au Mnyika angeongea speech ile leo angekuwa uraiani kweli?
Gwajima si ajitoe tu CCM tutamjua kweli amedhamiria, lakini akioewa tenda ya kuleta chanjo yeye atakuwa wa mwanzo kuweka bega na kuchanjwa hata na sindano feki.
Juu ya yote chanjo ni hiyari na Corona ipo watu wachukue tahadhari.
 
Umenena vyema kuwa kuna wazungu mafala na inawezekana ndio hao wanaohoji chanjo. Hivyo na wanaopinga chanjo wanawaiga wazungu .mafala kupinga bila kuwa na hoja.
Sawa , nenda kasaini fomu ya serikali kutokuhusika na kuganda kwako kwa damu baada ya kuchanjwa. Kisha ungana na wazungu mafala kuwa panya wa majaribio na kupokea chanjo. Sisi tukisubiri kuona matokeo miaka miwili ijayo. Ila nakuhakikishia 98% ya watanzania hawapo tayari kupokea chanjo hata uwawekee bunduki kichwani. Na mkijaribu kuwatumia wananchi kufanya maigizo ya kuchanjwa Kama viongozi wa nchi juzi ndo Siri itafichuka hata hizo 2% zilizobaki hamzipati tena. Watanzania sio wajinga Kama mnavyodhani.
 
Ukweli ni kwamba Watanzania takirbani 90% hawatochanja huo ndio ukweli
Hata nyie wa mtandaoni mnao sema mtachanja nendeni afu mlete kadi za chanjo tuone acheni porojo!!

Ukitaka kujua ukweli tembea mtaani ulizia kwa watu wa kawaida ambao ndio wengi ,anza na mama yako kabisa majibu utakayopta utaona mwenyewe!
 
Back
Top Bottom