#COVID19 Maneno ya Askofu Gwajima yamepata nguvu, kitaa wanaamini wakubwa wamehongwa

#COVID19 Maneno ya Askofu Gwajima yamepata nguvu, kitaa wanaamini wakubwa wamehongwa

Nilikuwa mwalimu, honestly kuna wakati huwa najiuliza hivi kwa nini walimu wengi wako very myopic katika thinking capacity. Huwa nikiikumbuka staff yetu huwa namshukuru Mungu kwa kunipa akili ya kujiongeza haraka nikaachana na hiyo kada
Walimu wana akili ndogo sana.
Sijui ilikuwaje nikawa mwalimu yaani sijawahi ona,watu wajinga wanafundisha watoto wa Kitanzania na ndiyo maana Tanzania ina watu wajinga sana.
 
Walimu wana akili ndogo sana.
Sijui ilikuwaje nikawa mwalimu yaani sijawahi ona,watu wajinga wanafundisha watoto wa Kitanzania na ndiyo maana Tanzania ina watu wajinga sana.

Hahahahaha
 
Gwajima yuko sahihi zaidi. Chanjo haina maana. Kwasababu. Waliotengeneza ndio wameandika madhara yake(side effect)..ukicha unavaa barakao, unapata corona tena
 
Kuna wazee wa kipemba kkoo juzi kati wanasikiliza clip ya rashidi wote kwa pamoja hakika rashid anapigana vita vitakatifu na wamechagua kuungana nae
Kimoyo moyo nikajisemea hakika huyu mkulungwa anajua ni muda ganu wa kuondoka na muda gani arudi
Huyu mwamba alisumbua sana enzi za jk , kwa jpm alijaribu kuleta utundu wake akausoma mchezo yule mwamba hataniwagi akawa anajitahid kum exclude jpm kila anapokua anaishambulia serikali madhabahuni pake misukosuko alioipitia ya kukaa lupango na nyumba yake kuzingirwa na mamwera kila uchwao mpaka akaamua kuunga juhudi ili aishi kwa amani.
Sasa ameona bimkubwa ana mmudu amerudia enzi zake itoshe tu kusema hili jamaa limekaa kishamba sana ila linaakili balaa, ni bonge la master mind na lina control minds in avery professional ways
 
Gwajima 2025 atangaze nia...anaweza kuwa msukuma wa pili kuchukua nchi[emoji1787]
Hakika..... Watu wanamchukulia Poa.... Lakini katika hili anawakamata sana watu wa hali za chini......
 
Walimu wana akili ndogo sana.
Sijui ilikuwaje nikawa mwalimu yaani sijawahi ona,watu wajinga wanafundisha watoto wa Kitanzania na ndiyo maana Tanzania ina watu wajinga sana.
Acheni dharau jameni.... Rais wako wa kwanza wa JMT alikuwa Mwalimu.... Isitoshe Hata aliyekufanya ukajua kusoma na kuandika hivi ni mwalimu....

Jameni au????
 
The come back of Rashid Gwajima siyo ya kitoto we mchukulie kama chizi au serious(mimi huwa namuona mwehu )ila nipo Tabata hapa ka grocery fulani tunabishana suala la chanjo reference ya hawa jamaa ni video ile ya Gwajima najaribu kuwaelewesha nimeshindwa,anyway nime stick kula beer tu huku nacheka.

Nimependa part alipopiga kunako kwamba kuna watu wamechukua FUNGU ili watupe hofu ya Corona akauliza mbona wakati wa Magufuli haya hayakuwepo?

Hivi Shehe Ponda au Mnyika angeongea speech ile leo angekuwa uraiani kweli?
Gwajima anaushawishi mkubwa Sana(Retoric person) maneno yake yana ukweli mtupu leo mchana nikiwa nasikiliza DW Swahili mchana nimesikia taarfa hadi nimestuka kwamba Rais wa marekani Joe Burden anawaomba wamarekani wapewe dollar 100 kila anaechanjwa swali kulikon mtu apewe pesa ndo achanjwe kuna ajenda gani??????
 
Duniani kote watu wenye akili timamu wamegeukia chanjokatika mapambano na koronaq. Marekani,china,Uingereza,israeli,ujerumani na nchi za scandinavia na nyingine nyingi wote wanatumia chanjo za korona.

Anatokea mjinga mmoja primitive anawalisha watu matango pori wanaamini. Gwajima ni mwanasayansi..hapana. Ni daktari wa binadamu...hapana. Ni mtaalamu wa chanjo...hapana. He is just a layman tu! Tapeli mmoja wa kiroho na kisiasa. Alikwisha danganya watu kwa muda mrefu kwamba ana uwezo wa kufufua watu...hajawahi kufufua hata mtu mmoja kuanzia enzi za marehemu Amina Chifupa mpaka kwa Magufuli. Jambo la ajabu kuna wajinga bado wanamwamini!

Pick Botha,mtawala wa zamani wa Afrika Kusini aliwahi kusema waafrika hawana akili, akili yao inawaza ngono na mambo mengine ya hovyohovyo tu. Wape bunduki,watauana mpaka waishe.....Alikuwa sahihi!

Who are you? Kanchi ka watu wajinga wajinga tu...ambao hawajawahi kutengeneza hata chanjo moja..kujifanya wajuaji kwenye masuala ya chanjo kuwazidi waliotengeneza chanjo mbalimbali ambazo zimeokoa maisha ya watu duniani?
 
Mbunge hawezi kukamatwa mpaka SPIKA aitoe HATI YA KUKAMATWA KWAKE.......

Tusifike huko.....

Kauli ya sheikh. Ponda huwa inaweza kuwa na madhara makubwa pale atoapo na ndio maana amekuwa akiingia katika mtafaruku na VYOMBO VYA DOLA....

Sheikh Ponda anajulikana kwa kuwa MAKINI NA MISIMAMO YAKE....huyu ndugu yuko SERIOUS huwezi kumuona katika SKENDOSKENDO hata za "kuzushiwa"........

Nimepita VIJIWE VYA KAHAWA VINGI kiukweli GWAJIMA "anapingwa" na kila mtu....

Hata wale wanaoipinga hii CHANJO bado WANAZIPINGA KAULI ZAKE TATA ALIZOTOA juzi ibadani......

WATANZANIA WALIO WENGI NI WAELEWA UKIACHA WALE WACHACHE TU AMBAO NI BENDERA FUATA UPEPO KWA VIONGOZI WASIO NA STAHA NA NDIMI ZAO

#TujiandaeKuchanjwa
#JMTMilele
#NchiKwanza
#KaziIendelee
[emoji106][emoji106][emoji120][emoji120]
 
The come back of Rashid Gwajima siyo ya kitoto we mchukulie kama chizi au serious(mimi huwa namuona mwehu )ila nipo Tabata hapa ka grocery fulani tunabishana suala la chanjo reference ya hawa jamaa ni video ile ya Gwajima najaribu kuwaelewesha nimeshindwa,anyway nime stick kula beer tu huku nacheka.

Nimependa part alipopiga kunako kwamba kuna watu wamechukua FUNGU ili watupe hofu ya Corona akauliza mbona wakati wa Magufuli haya hayakuwepo?

Hivi Shehe Ponda au Mnyika angeongea speech ile leo angekuwa uraiani kweli?
Watu wengi,wamemuelewa Rais vizuri na Waziri wa Afya.Wengi wanasema wakumsiliza ni Rais na Waziri wa afya.
 
Nilikuwa mwalimu, honestly kuna wakati huwa najiuliza hivi kwa nini walimu wengi wako very myopic katika thinking capacity. Huwa nikiikumbuka staff yetu huwa namshukuru Mungu kwa kunipa akili ya kujiongeza haraka nikaachana na hiyo kada
Kwa kuwa thinking capacity yao huwa inakuwa reduced to the level of their pupils/students.

Psychologically,mawazo ya binadamu huwa yanafanana na watu wanaomzunguka. Ndio maana tunapata ile halo kila mtu anaijua kama mob psychology.
 
Back
Top Bottom