Maneno ya Dkt. Bashiru ni shambulizi kwa Rais Samia na yenye ajenda ya siri. Aitwe haraka na kuhojiwa na chama

Maneno ya Dkt. Bashiru ni shambulizi kwa Rais Samia na yenye ajenda ya siri. Aitwe haraka na kuhojiwa na chama

Kaka ni kweli umeshindwa kufikiri in deep na kuona ni nini kinachoendelea kwa watanganyika kaka
NIMESIKIA MANENO HAYA KWENYE KIJIWE CHA KAHAWA PALE MSIMBAZI NA SHAURIMOYO!!...Iko hivi:- kama hujaenda Z'bar karibuni:-
Ukipita mitaa karibu yote ya z'bar hukosi kuona site zaidi ya 5 zimezungushiwa mabati!!...Ni hivi wazanzibar wanamwita rais wao MWINYI MABATI...(Mikopo ya serikali kuu yaani TZ)
Kuhusu afya Z'bar wanafanya kumpatia bima kila mzanzibar(sio mtanganyika)
Kipindi ukimpambania na kumpigia chapuo alimwambia PETER wewe ni primitive
....wale wachovu walilalamika sana tena wakitupa lawama bila kujali hadi kusema mnyiramba anawafukuza wenye nchi waende kule mara masoko kuungua mara machinga kafukuzwa.... niliondoka mapema kuwahi mishemishe zangu nikatafute kadi za watu!
 
Bashiru kakosea sana huo ndiyo ukweli , hara kama hakuwa akiunga mkono habari za awamu hii angekaa kimya tu ,mbona walikuwa hawataki mtu awakisoe zama za utawala wa Magufuli?

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Ukiwa mwana CCM huna tofauti na zezeta......akili zako unazikabidhi kwa mwenyekiti wewe kazi yako ni kusifu na kuabudu huku ukirushiwa mifupa ya vijipande vya kama paka ili uendelee kuwa msukule.........
 
Hoja gani upuuzi mtupu. Rais ndio anatakiwa aitwe ahojiwe kwanini umeme umemshinda, na maji hakuna. Mnaona jambo la maana kumtetea rais aliyefaulu baada ya kutetea nchi kwenye mambo ya msingi.
Hakuna mambo ya msingi na yanayogusa maisha ya watanzania ambayo mh Rais hajayafanyia kazi kwa kutafutiwa majibu,
 
Ndugu zangu pamoja na kusikitishwa Na maneno ya mh Dr Bashiru nilishindwa kuandika mawazo yangu mapema kutokana na kusumbuliwa na kioo Cha simu ambacho kinaweka ukungu na hivyo kuwa ngumu kuandika. Na nitakapokuwa nimekosea masuala ya herufi nisamehewe

Ndugu zangu maneno ya Dr Bashiru katibu mkuu mstaafu wa CCm na katibu mkuu kiongozi mstaafu yamekuwa Ni maneno yakushangaza na kusikitisha, yamekuwa ni maneno yaliyowashitua wengi,yamekuwa ni maneno yaliyo washangaza wengi, yamekuwa Ni maneno ambayo hayakutegemewa kutoka katika kinywa Cha mtu Kama Dr Bashiru, Yamewashangaza na kuwakeraa wengi, kuwasononesha na kuwakatisha Tamaa.

Ni maneno yaliyoonesha chuki Binafsi kwa mh Rais, Ni maneno yaliyoonesha kuwepo kwa Ajenda ya Siri nyuma,Ni maneno yaliyoonesha uwakilishi wa kakikundi fulani nyuma yake, Ni maneno yaliyo kuja Kama kupima upepo, Ni maneno yaliyo kuja kumkatisha Tamaa Mh Rais, Ni maneno yaliyokuja kuwagawa wanachama, Ni maneno yaliyolenga kumvunja moyo mh Rais, Ni maneno yaliyokuja kana kwamba Ni mtego wakutaka kutambua mtizamo wa chama na wananchi, Ni maneno ya kuleta Taharuki. Ni Maneno yaliyokuja Kama kutoa ujumbe au kufikisha ujumbe au kuleta picha fulani Au kutunisha misuri au kutisha japo huwezi ukaitisha Taasisis ya Urais hata siku moja

Hakika Ni Shambulizi kwa Rais, Ni kombola lililorushwa ili kusikiliziaa Nini kitatokea litakapotua, Ni Shambulizi la makusudi lenye lengo maalumu na ajenda maalumu, Halijatokea kwa bahati mbaya na Kama Kuna mtu Anawaza hivyo Amini Nawaambieni kuwa atakuwa anajidanganya, atakuwa hajawaza vizuri,atakuwa amejipa jibu la bila kufikiri kwa kina na kuelewa maana ya kauli hiyo, atakuwa hajatafakari kwa undani wa kauli hiyo. Ni kauli ya Hasira toka kwenye moyo wenye hasira kinyongo na chuki,siyo kauli ya kawaida kutoka kwa kiongozi aliyefikia ngazi ya juu kiuongozi ndani ya chama na serikali na anayepaswa kuwa mnyenyekevu,mtiifu,mwenye kifua Cha Siri, na mwenye kuchungu ulimi wake hasa kwa kutambua kuwa Ni mtu aliyekuwa anafahamu Siri nyingi na mipango mingi ya chama na serikali kutokana na nafasi za kiuongozi alizokuwa nazo, Ni mtu anayepaswa kuheshimu mamlaka na kukosoa kwa staha na kufuata utaratibu ambao hauwezi kuleta Taharuki kwa jamii

Ndugu zangu iweje kosa kumpongeza mh Rais? Iweje nongwa kumsifia mh Rais kwa kazi nzuri na njema alizozifanya ndani ya muda mfupi? Kwanini asipongezwe? Kwanini asisisfiwe anapofanya vizuri? Kwanini iwe dhambi kumtia moyo na kumpa faraja mh Rais ya kusonga mbele?

Ndugu zangu Wakulima wa nchi hii watashindwaje kumpongeza mh Rais wakati wanaona kazi kubwa na juhudi za mh Rais katika kuwainua kiuchumi na kuwakwamua kutoka katika umaskini? Wakulima waliokuwa wananunua mbolea ya DAP laki na 40 msimu uliopita watashindwaje kumpongeza nakumsifia mh Rais wanapoona msimu huu mbolea hiyo hiyo Ya DAP ya Ruzuku inapatikana kwa Elfu 70 tu? Wakulima watashindwaje kumpongeza na kumsifia mh Rais wanapoona Sasa wanafaidika na jasho lao baada ya kuwa Bei ya mazao Ni nzuri Tangia wakati wa mavuno? Kwanini wasimpongeze? Ni vipi iwe kosa na kero kumpongeza? Kwanini mtu aumie na pongezi hizi kwa mh Rais? Nini kinachomuuma kwa Rais kupongezwa na kusifiwa? Je anataka kusikia Rais akishambuliwa na maneno mabaya? Au anataka Rais azomewe? Au hafurahishwi na mafuriko ya mapokezi anayoyapata mh Rais kila apitapo na kufika kwa wananchi kuwasikiliza huku akisifiwa na kupongezwa kwa usikivu wake?

Wazazi wanaosomesha watashindwaje kumpongeza mh Rais? Watashindwaje kumsifia mh Rais baada ya kutuliwa mzigo wa kulipiwa Ada watoto wao mpaka kidato Cha sita? Watashindwaje kumshukuru wakati wanaona matumaini ya watoto wao Kuendelea na masomo yao? Watashindwaje kumpongeza wanapoona watoto wao wakiendelea na masomo bila kikwazo Wala kuchangishwa mamichango licha ya uduni wa maisha Katika familia zao? Watashindwaje kupiga magoti kumuombea Afya njema mama huyu mzalendo wa kweli na kipenzi Cha watanzania?

Wanafunzi wa Elimu ya juu watashindwaje kumpongeza na kumsifia Rais wao hasa baada ya kuona ndoto zao zikitimia bila shida baada ya kuwa wote wenye sifa wamepata mikopo na kuruhusiwa kupokelewa vyuoni na Kuendelea na masomo yao? Kwanini wasimpongeze? Wangapi wamewahi kushindwa kufikia ndoto zao za kupata Elimu ya juu kwa kukosa mkopo? Wangapi wameteketeza Mali zao Kama ardhi kwa kulipia Ada sekondari Hadi vyuoni watoto wao nikiwepo Mimi Kama mfano wa kuuzwa kwa ardhi nilipokuwa nasoma ili kulipia ada? Wangapi wamekwama njiani kwa kukosa Ada vyuoni? Kwanini leo hii wasimpongeze mh Rais wanapoona wanapata mikopo na kutimiza Ndoto zao

Kuna Nini nyuma ya Dr Bashiru? Kwanini anataka apandikize chuki kwa watanzania? Kwanini anataka kuwafundisha watanzania wamchukie Rais wao? Kwanini Hataki Rais Samia Asisifiwe na kupongezwa anapofanya vizuri? Kwanini Hataki?Nini kinamuuma Dr Bashiru mh Rais akisifiwa na kupongezwa? Anataka Nini ili afurahi moyo wake? Haamini kuwa Huyu ndiye Rais wake? Hamtaki Mama Samia? Anataka Nini?Amepanga Nini Dr Bashiru? Yupo na Nani? Ametumwa Na Nani? Kwa ajenda Gani? Kwa mwaka upi? Kwa malengo gani?kwa njia zipi? Kwakutumia watu wapi na makundi yapi? Anataka kupanda mbegu gani chamani? Kwanini alete Taharuki kipindi hiki? Kwanini hakufanya hivi Huko nyuma? Kwanini iwe Sasa wakati wa mama Samia?Mbona huko nyuma tulikuwa tunaandaa Hadi makongamano ya kumsifu Rais wetu Hayati Dr Magufuli anapofanya vizuri na Wala hatukuwahi kusikia kauli Kama hii kutoka kwa Dr Bashiru? Kwanini inaonyesha amekosa Heshima kwa Mh Rais? Anataka alazimishe Jambo Gani ili kutimiza ajenda Gani na iliyopangwa na Nani na kuongozwa na kuratibiwa na Nani? Je Ametangulizwa na watu kuja kupima kina Cha maji? Je ametumwa na watu kuja kupata mwitikio wa Rais? Je anataka kujibiwa na Rais? Je anataka kukigawa chama chetu? Je anataka kupandikiza makundi? Je anataka kuleta mbegu gani ndani ya chama chetu?

Mbona hajawahi kufanya haya huko nyuma? Mbona hajawahi kuzungumza haya huko nyuma? Mbona hajawahi popote pale kuwakanya watu wasimsifie Wala kumpongeza kiongozi yoyote anayefanya vizuri? Anataka Rais apongezwe na Nani ikiwa watanzania wanaotumikiwa kupitia ilani yetu wameridhishwa na utendaji kazi wa mh na kuamua kumpongeza na kumsifia mh Rais? Kwanini anataka kumkatisha Tamaa Mh Rais pamoja na wananchi? Kwanini anataka kuwafundisha ujeuri wananchi? Anataka wananchi waipinge serikali yao?anataka waichukie serikali yao? Anataka waikatae serikali yao? Anataka Nani apongezwe? Nani aipongeze? Je ilani aliyoisimamia mwenyewe anataka Nani aisifie Inapokuwa inatekelezwa vizuri.

Dr Bashiru amemkosea Rais wetu,ameikosea CCM ,ameikosea serikali na ametukosea wananchi. Amuombe radhi mh Rais,chama, serikali na watanzania wote kwa ujumla wake. Awe muungwana katika hili, ajishushe na kutambua kosa lake, ajisahihishe Kama kweli kauli Ile haikuwa na lengo baya na haikuwa na ajenda ya Siri nyuma ya pazia.

Ccm ni moja ,wanaccm Ni wamoja na chama ni kimoja.Tuendelee kusimama kwa pamoja Kama chama Na Taifa kwa ujumla,Tusimame na Mwenyekiti wetu Mama Samia, Tusimuache akishambuliwa Wala kukatishwa Tamaa. Shambulizi dhidi ya Rais Samia Ni Shambulizi kwa chama chetu serikali yetu na Taifa letu kwa ujumla ambalo Hilo ndilo ambalo mh Rais wetu amejitoa na kujitolea kulitumikia kwa uzalendo na kwa dhati ya moyo wake wote

Kazi iendeleee,mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu: 0742-676627
Wewe kijana unaesema unanipenda nchi yako, hebu acha taarabu halafu uje na facts ambazo zinaweza kumtetea huyo mwanamke ili asifiwe na kuunga mkono juhudi zake! Katika uongozi mbovu na duni ni huu wa huyu mwanamke hakuna kitu kafanya zaidi ya kulipa taifa hasara maji hakuna,umeme wa shida, wananchi wanalalamika bei ya bidhaa kupanda juu, ugumu wa maisha na changamoto za ajira zimekuwa maradufu, miradi inacheleweshwa kutokana na ulegevu wa serikali iliopo madarakani, amekopa pesa nyingi sana ambazo hatuoni manufaa ya pesa hizo, kila siku mnatuimbia tarabu nchi ipo ktk mikono salama naomba kuuliza ni usalama upi mnaosemea hasa kama mtu anaweza kusimama ktk jukwa na kuwaambia umma wa watanzania kuwa tutakopa mpaka pale tutakapaojiweza 'Shame on you Samia' unaonesha dhahiri kwamba hukupemdezwa na mtawala wako aliekutangulia ndio maana umepokea kijiti ukaanza kupangua yale aliyokataza, leo unaenda kulipa wagushi vyeti kupitia PSSSF kupitia kodi za wale maskini walipa kodi, umerudisha maduka ya kubadili fedha za kigeni, umeruhusu chakula kiuzwe nje ya nchi umeshindwa kupigania mafuta ambayo ndio main entity ya serikali ya Tanzania na Africa ktk kuendesha majukumu na kufanikisha ya serikali. Umeweka ruzuku ambayo bado ni mchongo wa upigaji pesa. Serikali yako imeshindwa kabisa kubana matumizi yake. Waziri wa uchumi anakazi kuzunguka kuongeza madeni halafu mnataka tuunge mkono juhudi hivi mnaongelea juhudi zipi hasa? Ewe kijana mwenye mapenzi na nchi yako haya mambo umeyaona au babaako ni kijakazi wa serikali unakula na kulala kupitia kodi zetu sisi wanyonge ilihali raisi wako kawaachia huru wafanyabiashara kama awali kwa yule mwenzie kikwete alieshindwa hata kuzuia mianya ya rushwa, shame on you Samia shame on you sisiemu.
 
I bet, ccm is creating a naturalistic figure, soon Bashiru will be denied his party, he will Join Chadema, so his turn out will defect CDM in the coming general elections, mark my words.
 
Unamsifiaje mtu anayetimiza au kukamilisha kazi aliyoiomba na analipwa mshahara.....??? Huo na wenyewe ni upungufu wa akili
Wangapi wanalipwa mishahara lakini wanashindwa kutimiza wajibu wao? Kwani akina mobuti hawakuwa wanalipwa mishahara? Mbona wakifanya ufujaji mkubwa katika mataifa yao? Kwanini mh Rais asipongezwe kwa kufanya vizuri kazi zake za kuwatumikia watanzania? Kuna kosa gani kumpongeza Rais? Kwanini tuzo zilianzishwa Duniani na maeneo ya kazi kwa watu wanaofanya kazi vizuri?
 
Ndugu zangu pamoja na kusikitishwa Na maneno ya mh Dr Bashiru nilishindwa kuandika mawazo yangu mapema kutokana na kusumbuliwa na kioo Cha simu ambacho kinaweka ukungu na hivyo kuwa ngumu kuandika. Na nitakapokuwa nimekosea masuala ya herufi nisamehewe

Ndugu zangu maneno ya Dr Bashiru katibu mkuu mstaafu wa CCm na katibu mkuu kiongozi mstaafu yamekuwa Ni maneno yakushangaza na kusikitisha, yamekuwa ni maneno yaliyowashitua wengi,yamekuwa ni maneno yaliyo washangaza wengi, yamekuwa Ni maneno ambayo hayakutegemewa kutoka katika kinywa Cha mtu Kama Dr Bashiru, Yamewashangaza na kuwakeraa wengi, kuwasononesha na kuwakatisha Tamaa.

Ni maneno yaliyoonesha chuki Binafsi kwa mh Rais, Ni maneno yaliyoonesha kuwepo kwa Ajenda ya Siri nyuma,Ni maneno yaliyoonesha uwakilishi wa kakikundi fulani nyuma yake, Ni maneno yaliyo kuja Kama kupima upepo, Ni maneno yaliyo kuja kumkatisha Tamaa Mh Rais, Ni maneno yaliyokuja kuwagawa wanachama, Ni maneno yaliyolenga kumvunja moyo mh Rais, Ni maneno yaliyokuja kana kwamba Ni mtego wakutaka kutambua mtizamo wa chama na wananchi, Ni maneno ya kuleta Taharuki. Ni Maneno yaliyokuja Kama kutoa ujumbe au kufikisha ujumbe au kuleta picha fulani Au kutunisha misuri au kutisha japo huwezi ukaitisha Taasisis ya Urais hata siku moja

Hakika Ni Shambulizi kwa Rais, Ni kombola lililorushwa ili kusikiliziaa Nini kitatokea litakapotua, Ni Shambulizi la makusudi lenye lengo maalumu na ajenda maalumu, Halijatokea kwa bahati mbaya na Kama Kuna mtu Anawaza hivyo Amini Nawaambieni kuwa atakuwa anajidanganya, atakuwa hajawaza vizuri,atakuwa amejipa jibu la bila kufikiri kwa kina na kuelewa maana ya kauli hiyo, atakuwa hajatafakari kwa undani wa kauli hiyo. Ni kauli ya Hasira toka kwenye moyo wenye hasira kinyongo na chuki,siyo kauli ya kawaida kutoka kwa kiongozi aliyefikia ngazi ya juu kiuongozi ndani ya chama na serikali na anayepaswa kuwa mnyenyekevu,mtiifu,mwenye kifua Cha Siri, na mwenye kuchungu ulimi wake hasa kwa kutambua kuwa Ni mtu aliyekuwa anafahamu Siri nyingi na mipango mingi ya chama na serikali kutokana na nafasi za kiuongozi alizokuwa nazo, Ni mtu anayepaswa kuheshimu mamlaka na kukosoa kwa staha na kufuata utaratibu ambao hauwezi kuleta Taharuki kwa jamii

Ndugu zangu iweje kosa kumpongeza mh Rais? Iweje nongwa kumsifia mh Rais kwa kazi nzuri na njema alizozifanya ndani ya muda mfupi? Kwanini asipongezwe? Kwanini asisisfiwe anapofanya vizuri? Kwanini iwe dhambi kumtia moyo na kumpa faraja mh Rais ya kusonga mbele?

Ndugu zangu Wakulima wa nchi hii watashindwaje kumpongeza mh Rais wakati wanaona kazi kubwa na juhudi za mh Rais katika kuwainua kiuchumi na kuwakwamua kutoka katika umaskini? Wakulima waliokuwa wananunua mbolea ya DAP laki na 40 msimu uliopita watashindwaje kumpongeza nakumsifia mh Rais wanapoona msimu huu mbolea hiyo hiyo Ya DAP ya Ruzuku inapatikana kwa Elfu 70 tu? Wakulima watashindwaje kumpongeza na kumsifia mh Rais wanapoona Sasa wanafaidika na jasho lao baada ya kuwa Bei ya mazao Ni nzuri Tangia wakati wa mavuno? Kwanini wasimpongeze? Ni vipi iwe kosa na kero kumpongeza? Kwanini mtu aumie na pongezi hizi kwa mh Rais? Nini kinachomuuma kwa Rais kupongezwa na kusifiwa? Je anataka kusikia Rais akishambuliwa na maneno mabaya? Au anataka Rais azomewe? Au hafurahishwi na mafuriko ya mapokezi anayoyapata mh Rais kila apitapo na kufika kwa wananchi kuwasikiliza huku akisifiwa na kupongezwa kwa usikivu wake?

Wazazi wanaosomesha watashindwaje kumpongeza mh Rais? Watashindwaje kumsifia mh Rais baada ya kutuliwa mzigo wa kulipiwa Ada watoto wao mpaka kidato Cha sita? Watashindwaje kumshukuru wakati wanaona matumaini ya watoto wao Kuendelea na masomo yao? Watashindwaje kumpongeza wanapoona watoto wao wakiendelea na masomo bila kikwazo Wala kuchangishwa mamichango licha ya uduni wa maisha Katika familia zao? Watashindwaje kupiga magoti kumuombea Afya njema mama huyu mzalendo wa kweli na kipenzi Cha watanzania?

Wanafunzi wa Elimu ya juu watashindwaje kumpongeza na kumsifia Rais wao hasa baada ya kuona ndoto zao zikitimia bila shida baada ya kuwa wote wenye sifa wamepata mikopo na kuruhusiwa kupokelewa vyuoni na Kuendelea na masomo yao? Kwanini wasimpongeze? Wangapi wamewahi kushindwa kufikia ndoto zao za kupata Elimu ya juu kwa kukosa mkopo? Wangapi wameteketeza Mali zao Kama ardhi kwa kulipia Ada sekondari Hadi vyuoni watoto wao nikiwepo Mimi Kama mfano wa kuuzwa kwa ardhi nilipokuwa nasoma ili kulipia ada? Wangapi wamekwama njiani kwa kukosa Ada vyuoni? Kwanini leo hii wasimpongeze mh Rais wanapoona wanapata mikopo na kutimiza Ndoto zao

Kuna Nini nyuma ya Dr Bashiru? Kwanini anataka apandikize chuki kwa watanzania? Kwanini anataka kuwafundisha watanzania wamchukie Rais wao? Kwanini Hataki Rais Samia Asisifiwe na kupongezwa anapofanya vizuri? Kwanini Hataki?Nini kinamuuma Dr Bashiru mh Rais akisifiwa na kupongezwa? Anataka Nini ili afurahi moyo wake? Haamini kuwa Huyu ndiye Rais wake? Hamtaki Mama Samia? Anataka Nini?Amepanga Nini Dr Bashiru? Yupo na Nani? Ametumwa Na Nani? Kwa ajenda Gani? Kwa mwaka upi? Kwa malengo gani?kwa njia zipi? Kwakutumia watu wapi na makundi yapi? Anataka kupanda mbegu gani chamani? Kwanini alete Taharuki kipindi hiki? Kwanini hakufanya hivi Huko nyuma? Kwanini iwe Sasa wakati wa mama Samia?Mbona huko nyuma tulikuwa tunaandaa Hadi makongamano ya kumsifu Rais wetu Hayati Dr Magufuli anapofanya vizuri na Wala hatukuwahi kusikia kauli Kama hii kutoka kwa Dr Bashiru? Kwanini inaonyesha amekosa Heshima kwa Mh Rais? Anataka alazimishe Jambo Gani ili kutimiza ajenda Gani na iliyopangwa na Nani na kuongozwa na kuratibiwa na Nani? Je Ametangulizwa na watu kuja kupima kina Cha maji? Je ametumwa na watu kuja kupata mwitikio wa Rais? Je anataka kujibiwa na Rais? Je anataka kukigawa chama chetu? Je anataka kupandikiza makundi? Je anataka kuleta mbegu gani ndani ya chama chetu?

Mbona hajawahi kufanya haya huko nyuma? Mbona hajawahi kuzungumza haya huko nyuma? Mbona hajawahi popote pale kuwakanya watu wasimsifie Wala kumpongeza kiongozi yoyote anayefanya vizuri? Anataka Rais apongezwe na Nani ikiwa watanzania wanaotumikiwa kupitia ilani yetu wameridhishwa na utendaji kazi wa mh na kuamua kumpongeza na kumsifia mh Rais? Kwanini anataka kumkatisha Tamaa Mh Rais pamoja na wananchi? Kwanini anataka kuwafundisha ujeuri wananchi? Anataka wananchi waipinge serikali yao?anataka waichukie serikali yao? Anataka waikatae serikali yao? Anataka Nani apongezwe? Nani aipongeze? Je ilani aliyoisimamia mwenyewe anataka Nani aisifie Inapokuwa inatekelezwa vizuri.

Dr Bashiru amemkosea Rais wetu,ameikosea CCM ,ameikosea serikali na ametukosea wananchi. Amuombe radhi mh Rais,chama, serikali na watanzania wote kwa ujumla wake. Awe muungwana katika hili, ajishushe na kutambua kosa lake, ajisahihishe Kama kweli kauli Ile haikuwa na lengo baya na haikuwa na ajenda ya Siri nyuma ya pazia.

Ccm ni moja ,wanaccm Ni wamoja na chama ni kimoja.Tuendelee kusimama kwa pamoja Kama chama Na Taifa kwa ujumla,Tusimame na Mwenyekiti wetu Mama Samia, Tusimuache akishambuliwa Wala kukatishwa Tamaa. Shambulizi dhidi ya Rais Samia Ni Shambulizi kwa chama chetu serikali yetu na Taifa letu kwa ujumla ambalo Hilo ndilo ambalo mh Rais wetu amejitoa na kujitolea kulitumikia kwa uzalendo na kwa dhati ya moyo wake wote

Kazi iendeleee,mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu: 0742-676627
Unamendea teuzi bila kupepesa macho,ushawahi kulima chochote?Dr kaongea na sisi wakulima wewe unapiga umbea ili kiwa Nini?

Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
 
Ndugu zangu pamoja na kusikitishwa Na maneno ya mh Dr Bashiru nilishindwa kuandika mawazo yangu mapema kutokana na kusumbuliwa na kioo Cha simu ambacho kinaweka ukungu na hivyo kuwa ngumu kuandika. Na nitakapokuwa nimekosea masuala ya herufi nisamehewe

Ndugu zangu maneno ya Dr Bashiru katibu mkuu mstaafu wa CCm na katibu mkuu kiongozi mstaafu yamekuwa Ni maneno yakushangaza na kusikitisha, yamekuwa ni maneno yaliyowashitua wengi,yamekuwa ni maneno yaliyo washangaza wengi, yamekuwa Ni maneno ambayo hayakutegemewa kutoka katika kinywa Cha mtu Kama Dr Bashiru, Yamewashangaza na kuwakeraa wengi, kuwasononesha na kuwakatisha Tamaa.

Ni maneno yaliyoonesha chuki Binafsi kwa mh Rais, Ni maneno yaliyoonesha kuwepo kwa Ajenda ya Siri nyuma,Ni maneno yaliyoonesha uwakilishi wa kakikundi fulani nyuma yake, Ni maneno yaliyo kuja Kama kupima upepo, Ni maneno yaliyo kuja kumkatisha Tamaa Mh Rais, Ni maneno yaliyokuja kuwagawa wanachama, Ni maneno yaliyolenga kumvunja moyo mh Rais, Ni maneno yaliyokuja kana kwamba Ni mtego wakutaka kutambua mtizamo wa chama na wananchi, Ni maneno ya kuleta Taharuki. Ni Maneno yaliyokuja Kama kutoa ujumbe au kufikisha ujumbe au kuleta picha fulani Au kutunisha misuri au kutisha japo huwezi ukaitisha Taasisis ya Urais hata siku moja

Hakika Ni Shambulizi kwa Rais, Ni kombola lililorushwa ili kusikiliziaa Nini kitatokea litakapotua, Ni Shambulizi la makusudi lenye lengo maalumu na ajenda maalumu, Halijatokea kwa bahati mbaya na Kama Kuna mtu Anawaza hivyo Amini Nawaambieni kuwa atakuwa anajidanganya, atakuwa hajawaza vizuri,atakuwa amejipa jibu la bila kufikiri kwa kina na kuelewa maana ya kauli hiyo, atakuwa hajatafakari kwa undani wa kauli hiyo. Ni kauli ya Hasira toka kwenye moyo wenye hasira kinyongo na chuki,siyo kauli ya kawaida kutoka kwa kiongozi aliyefikia ngazi ya juu kiuongozi ndani ya chama na serikali na anayepaswa kuwa mnyenyekevu,mtiifu,mwenye kifua Cha Siri, na mwenye kuchungu ulimi wake hasa kwa kutambua kuwa Ni mtu aliyekuwa anafahamu Siri nyingi na mipango mingi ya chama na serikali kutokana na nafasi za kiuongozi alizokuwa nazo, Ni mtu anayepaswa kuheshimu mamlaka na kukosoa kwa staha na kufuata utaratibu ambao hauwezi kuleta Taharuki kwa jamii

Ndugu zangu iweje kosa kumpongeza mh Rais? Iweje nongwa kumsifia mh Rais kwa kazi nzuri na njema alizozifanya ndani ya muda mfupi? Kwanini asipongezwe? Kwanini asisisfiwe anapofanya vizuri? Kwanini iwe dhambi kumtia moyo na kumpa faraja mh Rais ya kusonga mbele?

Ndugu zangu Wakulima wa nchi hii watashindwaje kumpongeza mh Rais wakati wanaona kazi kubwa na juhudi za mh Rais katika kuwainua kiuchumi na kuwakwamua kutoka katika umaskini? Wakulima waliokuwa wananunua mbolea ya DAP laki na 40 msimu uliopita watashindwaje kumpongeza nakumsifia mh Rais wanapoona msimu huu mbolea hiyo hiyo Ya DAP ya Ruzuku inapatikana kwa Elfu 70 tu? Wakulima watashindwaje kumpongeza na kumsifia mh Rais wanapoona Sasa wanafaidika na jasho lao baada ya kuwa Bei ya mazao Ni nzuri Tangia wakati wa mavuno? Kwanini wasimpongeze? Ni vipi iwe kosa na kero kumpongeza? Kwanini mtu aumie na pongezi hizi kwa mh Rais? Nini kinachomuuma kwa Rais kupongezwa na kusifiwa? Je anataka kusikia Rais akishambuliwa na maneno mabaya? Au anataka Rais azomewe? Au hafurahishwi na mafuriko ya mapokezi anayoyapata mh Rais kila apitapo na kufika kwa wananchi kuwasikiliza huku akisifiwa na kupongezwa kwa usikivu wake?

Wazazi wanaosomesha watashindwaje kumpongeza mh Rais? Watashindwaje kumsifia mh Rais baada ya kutuliwa mzigo wa kulipiwa Ada watoto wao mpaka kidato Cha sita? Watashindwaje kumshukuru wakati wanaona matumaini ya watoto wao Kuendelea na masomo yao? Watashindwaje kumpongeza wanapoona watoto wao wakiendelea na masomo bila kikwazo Wala kuchangishwa mamichango licha ya uduni wa maisha Katika familia zao? Watashindwaje kupiga magoti kumuombea Afya njema mama huyu mzalendo wa kweli na kipenzi Cha watanzania?

Wanafunzi wa Elimu ya juu watashindwaje kumpongeza na kumsifia Rais wao hasa baada ya kuona ndoto zao zikitimia bila shida baada ya kuwa wote wenye sifa wamepata mikopo na kuruhusiwa kupokelewa vyuoni na Kuendelea na masomo yao? Kwanini wasimpongeze? Wangapi wamewahi kushindwa kufikia ndoto zao za kupata Elimu ya juu kwa kukosa mkopo? Wangapi wameteketeza Mali zao Kama ardhi kwa kulipia Ada sekondari Hadi vyuoni watoto wao nikiwepo Mimi Kama mfano wa kuuzwa kwa ardhi nilipokuwa nasoma ili kulipia ada? Wangapi wamekwama njiani kwa kukosa Ada vyuoni? Kwanini leo hii wasimpongeze mh Rais wanapoona wanapata mikopo na kutimiza Ndoto zao

Kuna Nini nyuma ya Dr Bashiru? Kwanini anataka apandikize chuki kwa watanzania? Kwanini anataka kuwafundisha watanzania wamchukie Rais wao? Kwanini Hataki Rais Samia Asisifiwe na kupongezwa anapofanya vizuri? Kwanini Hataki?Nini kinamuuma Dr Bashiru mh Rais akisifiwa na kupongezwa? Anataka Nini ili afurahi moyo wake? Haamini kuwa Huyu ndiye Rais wake? Hamtaki Mama Samia? Anataka Nini?Amepanga Nini Dr Bashiru? Yupo na Nani? Ametumwa Na Nani? Kwa ajenda Gani? Kwa mwaka upi? Kwa malengo gani?kwa njia zipi? Kwakutumia watu wapi na makundi yapi? Anataka kupanda mbegu gani chamani? Kwanini alete Taharuki kipindi hiki? Kwanini hakufanya hivi Huko nyuma? Kwanini iwe Sasa wakati wa mama Samia?Mbona huko nyuma tulikuwa tunaandaa Hadi makongamano ya kumsifu Rais wetu Hayati Dr Magufuli anapofanya vizuri na Wala hatukuwahi kusikia kauli Kama hii kutoka kwa Dr Bashiru? Kwanini inaonyesha amekosa Heshima kwa Mh Rais? Anataka alazimishe Jambo Gani ili kutimiza ajenda Gani na iliyopangwa na Nani na kuongozwa na kuratibiwa na Nani? Je Ametangulizwa na watu kuja kupima kina Cha maji? Je ametumwa na watu kuja kupata mwitikio wa Rais? Je anataka kujibiwa na Rais? Je anataka kukigawa chama chetu? Je anataka kupandikiza makundi? Je anataka kuleta mbegu gani ndani ya chama chetu?

Mbona hajawahi kufanya haya huko nyuma? Mbona hajawahi kuzungumza haya huko nyuma? Mbona hajawahi popote pale kuwakanya watu wasimsifie Wala kumpongeza kiongozi yoyote anayefanya vizuri? Anataka Rais apongezwe na Nani ikiwa watanzania wanaotumikiwa kupitia ilani yetu wameridhishwa na utendaji kazi wa mh na kuamua kumpongeza na kumsifia mh Rais? Kwanini anataka kumkatisha Tamaa Mh Rais pamoja na wananchi? Kwanini anataka kuwafundisha ujeuri wananchi? Anataka wananchi waipinge serikali yao?anataka waichukie serikali yao? Anataka waikatae serikali yao? Anataka Nani apongezwe? Nani aipongeze? Je ilani aliyoisimamia mwenyewe anataka Nani aisifie Inapokuwa inatekelezwa vizuri.

Dr Bashiru amemkosea Rais wetu,ameikosea CCM ,ameikosea serikali na ametukosea wananchi. Amuombe radhi mh Rais,chama, serikali na watanzania wote kwa ujumla wake. Awe muungwana katika hili, ajishushe na kutambua kosa lake, ajisahihishe Kama kweli kauli Ile haikuwa na lengo baya na haikuwa na ajenda ya Siri nyuma ya pazia.

Ccm ni moja ,wanaccm Ni wamoja na chama ni kimoja.Tuendelee kusimama kwa pamoja Kama chama Na Taifa kwa ujumla,Tusimame na Mwenyekiti wetu Mama Samia, Tusimuache akishambuliwa Wala kukatishwa Tamaa. Shambulizi dhidi ya Rais Samia Ni Shambulizi kwa chama chetu serikali yetu na Taifa letu kwa ujumla ambalo Hilo ndilo ambalo mh Rais wetu amejitoa na kujitolea kulitumikia kwa uzalendo na kwa dhati ya moyo wake wote

Kazi iendeleee,mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu: 0742-676627
Kuandika kote ukaweka na namba kumbe unatafuta mwanaume rijali


Nahitaji jua Ni kioo kina ukungu umekosea au ndo hiki ulitaka andika maana Ni utumbo
 
Ndugu zangu pamoja na kusikitishwa Na maneno ya mh Dr Bashiru nilishindwa kuandika mawazo yangu mapema kutokana na kusumbuliwa na kioo Cha simu ambacho kinaweka ukungu na hivyo kuwa ngumu kuandika. Na nitakapokuwa nimekosea masuala ya herufi nisamehewe

Ndugu zangu maneno ya Dr Bashiru katibu mkuu mstaafu wa CCm na katibu mkuu kiongozi mstaafu yamekuwa Ni maneno yakushangaza na kusikitisha, yamekuwa ni maneno yaliyowashitua wengi,yamekuwa ni maneno yaliyo washangaza wengi, yamekuwa Ni maneno ambayo hayakutegemewa kutoka katika kinywa Cha mtu Kama Dr Bashiru, Yamewashangaza na kuwakeraa wengi, kuwasononesha na kuwakatisha Tamaa.

Ni maneno yaliyoonesha chuki Binafsi kwa mh Rais, Ni maneno yaliyoonesha kuwepo kwa Ajenda ya Siri nyuma,Ni maneno yaliyoonesha uwakilishi wa kakikundi fulani nyuma yake, Ni maneno yaliyo kuja Kama kupima upepo, Ni maneno yaliyo kuja kumkatisha Tamaa Mh Rais, Ni maneno yaliyokuja kuwagawa wanachama, Ni maneno yaliyolenga kumvunja moyo mh Rais, Ni maneno yaliyokuja kana kwamba Ni mtego wakutaka kutambua mtizamo wa chama na wananchi, Ni maneno ya kuleta Taharuki. Ni Maneno yaliyokuja Kama kutoa ujumbe au kufikisha ujumbe au kuleta picha fulani Au kutunisha misuri au kutisha japo huwezi ukaitisha Taasisis ya Urais hata siku moja

Hakika Ni Shambulizi kwa Rais, Ni kombola lililorushwa ili kusikiliziaa Nini kitatokea litakapotua, Ni Shambulizi la makusudi lenye lengo maalumu na ajenda maalumu, Halijatokea kwa bahati mbaya na Kama Kuna mtu Anawaza hivyo Amini Nawaambieni kuwa atakuwa anajidanganya, atakuwa hajawaza vizuri,atakuwa amejipa jibu la bila kufikiri kwa kina na kuelewa maana ya kauli hiyo, atakuwa hajatafakari kwa undani wa kauli hiyo. Ni kauli ya Hasira toka kwenye moyo wenye hasira kinyongo na chuki,siyo kauli ya kawaida kutoka kwa kiongozi aliyefikia ngazi ya juu kiuongozi ndani ya chama na serikali na anayepaswa kuwa mnyenyekevu,mtiifu,mwenye kifua Cha Siri, na mwenye kuchungu ulimi wake hasa kwa kutambua kuwa Ni mtu aliyekuwa anafahamu Siri nyingi na mipango mingi ya chama na serikali kutokana na nafasi za kiuongozi alizokuwa nazo, Ni mtu anayepaswa kuheshimu mamlaka na kukosoa kwa staha na kufuata utaratibu ambao hauwezi kuleta Taharuki kwa jamii

Ndugu zangu iweje kosa kumpongeza mh Rais? Iweje nongwa kumsifia mh Rais kwa kazi nzuri na njema alizozifanya ndani ya muda mfupi? Kwanini asipongezwe? Kwanini asisisfiwe anapofanya vizuri? Kwanini iwe dhambi kumtia moyo na kumpa faraja mh Rais ya kusonga mbele?

Ndugu zangu Wakulima wa nchi hii watashindwaje kumpongeza mh Rais wakati wanaona kazi kubwa na juhudi za mh Rais katika kuwainua kiuchumi na kuwakwamua kutoka katika umaskini? Wakulima waliokuwa wananunua mbolea ya DAP laki na 40 msimu uliopita watashindwaje kumpongeza nakumsifia mh Rais wanapoona msimu huu mbolea hiyo hiyo Ya DAP ya Ruzuku inapatikana kwa Elfu 70 tu? Wakulima watashindwaje kumpongeza na kumsifia mh Rais wanapoona Sasa wanafaidika na jasho lao baada ya kuwa Bei ya mazao Ni nzuri Tangia wakati wa mavuno? Kwanini wasimpongeze? Ni vipi iwe kosa na kero kumpongeza? Kwanini mtu aumie na pongezi hizi kwa mh Rais? Nini kinachomuuma kwa Rais kupongezwa na kusifiwa? Je anataka kusikia Rais akishambuliwa na maneno mabaya? Au anataka Rais azomewe? Au hafurahishwi na mafuriko ya mapokezi anayoyapata mh Rais kila apitapo na kufika kwa wananchi kuwasikiliza huku akisifiwa na kupongezwa kwa usikivu wake?

Wazazi wanaosomesha watashindwaje kumpongeza mh Rais? Watashindwaje kumsifia mh Rais baada ya kutuliwa mzigo wa kulipiwa Ada watoto wao mpaka kidato Cha sita? Watashindwaje kumshukuru wakati wanaona matumaini ya watoto wao Kuendelea na masomo yao? Watashindwaje kumpongeza wanapoona watoto wao wakiendelea na masomo bila kikwazo Wala kuchangishwa mamichango licha ya uduni wa maisha Katika familia zao? Watashindwaje kupiga magoti kumuombea Afya njema mama huyu mzalendo wa kweli na kipenzi Cha watanzania?

Wanafunzi wa Elimu ya juu watashindwaje kumpongeza na kumsifia Rais wao hasa baada ya kuona ndoto zao zikitimia bila shida baada ya kuwa wote wenye sifa wamepata mikopo na kuruhusiwa kupokelewa vyuoni na Kuendelea na masomo yao? Kwanini wasimpongeze? Wangapi wamewahi kushindwa kufikia ndoto zao za kupata Elimu ya juu kwa kukosa mkopo? Wangapi wameteketeza Mali zao Kama ardhi kwa kulipia Ada sekondari Hadi vyuoni watoto wao nikiwepo Mimi Kama mfano wa kuuzwa kwa ardhi nilipokuwa nasoma ili kulipia ada? Wangapi wamekwama njiani kwa kukosa Ada vyuoni? Kwanini leo hii wasimpongeze mh Rais wanapoona wanapata mikopo na kutimiza Ndoto zao

Kuna Nini nyuma ya Dr Bashiru? Kwanini anataka apandikize chuki kwa watanzania? Kwanini anataka kuwafundisha watanzania wamchukie Rais wao? Kwanini Hataki Rais Samia Asisifiwe na kupongezwa anapofanya vizuri? Kwanini Hataki?Nini kinamuuma Dr Bashiru mh Rais akisifiwa na kupongezwa? Anataka Nini ili afurahi moyo wake? Haamini kuwa Huyu ndiye Rais wake? Hamtaki Mama Samia? Anataka Nini?Amepanga Nini Dr Bashiru? Yupo na Nani? Ametumwa Na Nani? Kwa ajenda Gani? Kwa mwaka upi? Kwa malengo gani?kwa njia zipi? Kwakutumia watu wapi na makundi yapi? Anataka kupanda mbegu gani chamani? Kwanini alete Taharuki kipindi hiki? Kwanini hakufanya hivi Huko nyuma? Kwanini iwe Sasa wakati wa mama Samia?Mbona huko nyuma tulikuwa tunaandaa Hadi makongamano ya kumsifu Rais wetu Hayati Dr Magufuli anapofanya vizuri na Wala hatukuwahi kusikia kauli Kama hii kutoka kwa Dr Bashiru? Kwanini inaonyesha amekosa Heshima kwa Mh Rais? Anataka alazimishe Jambo Gani ili kutimiza ajenda Gani na iliyopangwa na Nani na kuongozwa na kuratibiwa na Nani? Je Ametangulizwa na watu kuja kupima kina Cha maji? Je ametumwa na watu kuja kupata mwitikio wa Rais? Je anataka kujibiwa na Rais? Je anataka kukigawa chama chetu? Je anataka kupandikiza makundi? Je anataka kuleta mbegu gani ndani ya chama chetu?

Mbona hajawahi kufanya haya huko nyuma? Mbona hajawahi kuzungumza haya huko nyuma? Mbona hajawahi popote pale kuwakanya watu wasimsifie Wala kumpongeza kiongozi yoyote anayefanya vizuri? Anataka Rais apongezwe na Nani ikiwa watanzania wanaotumikiwa kupitia ilani yetu wameridhishwa na utendaji kazi wa mh na kuamua kumpongeza na kumsifia mh Rais? Kwanini anataka kumkatisha Tamaa Mh Rais pamoja na wananchi? Kwanini anataka kuwafundisha ujeuri wananchi? Anataka wananchi waipinge serikali yao?anataka waichukie serikali yao? Anataka waikatae serikali yao? Anataka Nani apongezwe? Nani aipongeze? Je ilani aliyoisimamia mwenyewe anataka Nani aisifie Inapokuwa inatekelezwa vizuri.

Dr Bashiru amemkosea Rais wetu,ameikosea CCM ,ameikosea serikali na ametukosea wananchi. Amuombe radhi mh Rais,chama, serikali na watanzania wote kwa ujumla wake. Awe muungwana katika hili, ajishushe na kutambua kosa lake, ajisahihishe Kama kweli kauli Ile haikuwa na lengo baya na haikuwa na ajenda ya Siri nyuma ya pazia.

Ccm ni moja ,wanaccm Ni wamoja na chama ni kimoja.Tuendelee kusimama kwa pamoja Kama chama Na Taifa kwa ujumla,Tusimame na Mwenyekiti wetu Mama Samia, Tusimuache akishambuliwa Wala kukatishwa Tamaa. Shambulizi dhidi ya Rais Samia Ni Shambulizi kwa chama chetu serikali yetu na Taifa letu kwa ujumla ambalo Hilo ndilo ambalo mh Rais wetu amejitoa na kujitolea kulitumikia kwa uzalendo na kwa dhati ya moyo wake wote

Kazi iendeleee,mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu: 0742-676627
Kwani kipindi cha mkapa na jk hawakuwahi kufanya mazuri?mbona hii tabia haikuwepo imeibuka awamu ya tano,na ni kwanini sana sana utaisikia TZ tu,ni kutafuta teuzi tu,eti asante sana kwa pesa za mama!!mbona madeni yanakuwa yetu lakini pesa akikopa mnasema yake. basi na madeni muwe mnatanganza ni yake.HUO NI UCHAWA TU NDIO UNAOWASUMBUA,
 
Unamendea teuzi bila kupepesa macho,ushawahi kulima chochote?Dr kaongea na sisi wakulima wewe unapiga umbea ili kiwa Nini?

Sent from my TECNO KB8 using JamiiForums mobile app
Sasa na nyie wakulima hamjitambui,huko mtwara ni juzi tu walikuwa wanagomea kuuza korosho kutokana na bei kuwa ndogo lakini cha ajabu nao wamemshukia bashiru kuwa asiwagombanishe na mama wao hawana matatizo kabisa na mama kwani ktk marais walioisha wajari huyu anaongoza!!Hili linakuwaje sasa?!!
 
Wewe kijana unaesema unanipenda nchi yako, hebu acha taarabu halafu uje na facts ambazo zinaweza kumtetea huyo mwanamke ili asifiwe na kuunga mkono juhudi zake! Katika uongozi mbovu na duni ni huu wa huyu mwanamke hakuna kitu kafanya zaidi ya kulipa taifa hasara maji hakuna,umeme wa shida, wananchi wanalalamika bei ya bidhaa kupanda juu, ugumu wa maisha na changamoto za ajira zimekuwa maradufu, miradi inacheleweshwa kutokana na ulegevu wa serikali iliopo madarakani, amekopa pesa nyingi sana ambazo hatuoni manufaa ya pesa hizo, kila siku mnatuimbia tarabu nchi ipo ktk mikono salama naomba kuuliza ni usalama upi mnaosemea hasa kama mtu anaweza kusimama ktk jukwa na kuwaambia umma wa watanzania kuwa tutakopa mpaka pale tutakapaojiweza 'Shame on you Samia' unaonesha dhahiri kwamba hukupemdezwa na mtawala wako aliekutangulia ndio maana umepokea kijiti ukaanza kupangua yale aliyokataza, leo unaenda kulipa wagushi vyeti kupitia PSSSF kupitia kodi za wale maskini walipa kodi, umerudisha maduka ya kubadili fedha za kigeni, umeruhusu chakula kiuzwe nje ya nchi umeshindwa kupigania mafuta ambayo ndio main entity ya serikali ya Tanzania na Africa ktk kuendesha majukumu na kufanikisha ya serikali. Umeweka ruzuku ambayo bado ni mchongo wa upigaji pesa. Serikali yako imeshindwa kabisa kubana matumizi yake. Waziri wa uchumi anakazi kuzunguka kuongeza madeni halafu mnataka tuunge mkono juhudi hivi mnaongelea juhudi zipi hasa? Ewe kijana mwenye mapenzi na nchi yako haya mambo umeyaona au babaako ni kijakazi wa serikali unakula na kulala kupitia kodi zetu sisi wanyonge ilihali raisi wako kawaachia huru wafanyabiashara kama awali kwa yule mwenzie kikwete alieshindwa hata kuzuia mianya ya rushwa, shame on you Samia shame on you sisiemu.
Hupo siriasi na huelewi hata kinachoendelea hapa nchini, kwamba hujaona Ruzuku ya billion Mia moja hamsini katika mbolea namna ilivyosaidia kupunguza Bei ya mbolea sokoni? Kwamba kwako ulitaka wakulima wanunue kwa Bei ya mwaka Jana? Kuhusu mafuta je hukuona serikali ikitoa Ruzuku ya billion Mia moja kila mwezi? Hukuona ahueni iliyopatikana kutokana na hatua hiyo? Wakulima ulitaka wauze kwa hasara mazao yao mpaka lini? Unafahamu gharama za kilimo wewe? Umewahi kushika jembe wewe? Umewahi kwenda shambani wewe? Ulitaka wauze kwa Bei ipi hasa kwa kuzingatia Bei ya pembejeo ya mwaka Jana? Kuhusu ajira kwa vijana, kwamba hukuona serikali hii ikitoa ajira kwa vijana karibu elfu 42 katika secta zote zikiongozwa na secta ya Elimu na Afya? Kwanini usimpongeze mh Rais kwa kufanikisha hayo ndani ya muda mfupi wa uongozi wake?
 
Ni mwiko kumsifia bbaba au mama majukumu ya baba kutafuta pesa ya ada na kula au kumsifia mama kukopa kila leo kwa riba hali resources zipo kibao
 
Kwani kipindi cha mkapa na jk hawakuwahi kufanya mazuri?mbona hii tabia haikuwepo imeibuka awamu ya tano,na ni kwanini sana sana utaisikia TZ tu,ni kutafuta teuzi tu,eti asante sana kwa pesa za mama!!mbona madeni yanakuwa yetu lakini pesa akikopa mnasema yake. basi na madeni muwe mnatanganza ni yake.HUO NI UCHAWA TU NDIO UNAOWASUMBUA,
Kwa hiyo unataka asipongezwe tunapoona anafanya vizuri? Unataka asipongezwe tunapoona juhudi zake za kutaka kuona watoto wa kitanzania wakipata Elimu bure Hadi kidato Cha sita? Unataka asipongezwe tunapoona ujenzi wa vyumba vya madarasa na vituo vya Afya kila Kona ya nchi hii pasipo mwananchi kubughudhiwa na michango? Unataka Tusimpongeze tunapoona mkulima akipata mbolea kwa Bei nafuu? Unataka Tusimpongeze tunapoona ajira zikitolewa kwa vijana na hivyo Kuwasha taa ya Matumaini mioyoni mwa vijana?
 
Ni mwiko kumsifia bbaba au mama majukumu ya baba kutafuta pesa ya ada na kula au kumsifia mama kukopa kila leo kwa riba hali resources zipo kibao
Wazazi wangapi wanashindwa kuyamudu majukumu kutokana na Hali za kiuchumi? Wangapi wamewagi kushindwa kuwapeleka watoto wao shule kwa kukosa fedha? Kwanini asipongezwe na kutiwa moyo anayefanikiwa?
 
Ndugu zangu pamoja na kusikitishwa Na maneno ya mh Dr Bashiru nilishindwa kuandika mawazo yangu mapema kutokana na kusumbuliwa na kioo Cha simu ambacho kinaweka ukungu na hivyo kuwa ngumu kuandika. Na nitakapokuwa nimekosea masuala ya herufi nisamehewe

Ndugu zangu maneno ya Dr Bashiru katibu mkuu mstaafu wa CCm na katibu mkuu kiongozi mstaafu yamekuwa Ni maneno yakushangaza na kusikitisha, yamekuwa ni maneno yaliyowashitua wengi,yamekuwa ni maneno yaliyo washangaza wengi, yamekuwa Ni maneno ambayo hayakutegemewa kutoka katika kinywa Cha mtu Kama Dr Bashiru, Yamewashangaza na kuwakeraa wengi, kuwasononesha na kuwakatisha Tamaa.

Ni maneno yaliyoonesha chuki Binafsi kwa mh Rais, Ni maneno yaliyoonesha kuwepo kwa Ajenda ya Siri nyuma,Ni maneno yaliyoonesha uwakilishi wa kakikundi fulani nyuma yake, Ni maneno yaliyo kuja Kama kupima upepo, Ni maneno yaliyo kuja kumkatisha Tamaa Mh Rais, Ni maneno yaliyokuja kuwagawa wanachama, Ni maneno yaliyolenga kumvunja moyo mh Rais, Ni maneno yaliyokuja kana kwamba Ni mtego wakutaka kutambua mtizamo wa chama na wananchi, Ni maneno ya kuleta Taharuki. Ni Maneno yaliyokuja Kama kutoa ujumbe au kufikisha ujumbe au kuleta picha fulani Au kutunisha misuri au kutisha japo huwezi ukaitisha Taasisis ya Urais hata siku moja

Hakika Ni Shambulizi kwa Rais, Ni kombola lililorushwa ili kusikiliziaa Nini kitatokea litakapotua, Ni Shambulizi la makusudi lenye lengo maalumu na ajenda maalumu, Halijatokea kwa bahati mbaya na Kama Kuna mtu Anawaza hivyo Amini Nawaambieni kuwa atakuwa anajidanganya, atakuwa hajawaza vizuri,atakuwa amejipa jibu la bila kufikiri kwa kina na kuelewa maana ya kauli hiyo, atakuwa hajatafakari kwa undani wa kauli hiyo. Ni kauli ya Hasira toka kwenye moyo wenye hasira kinyongo na chuki,siyo kauli ya kawaida kutoka kwa kiongozi aliyefikia ngazi ya juu kiuongozi ndani ya chama na serikali na anayepaswa kuwa mnyenyekevu,mtiifu,mwenye kifua Cha Siri, na mwenye kuchungu ulimi wake hasa kwa kutambua kuwa Ni mtu aliyekuwa anafahamu Siri nyingi na mipango mingi ya chama na serikali kutokana na nafasi za kiuongozi alizokuwa nazo, Ni mtu anayepaswa kuheshimu mamlaka na kukosoa kwa staha na kufuata utaratibu ambao hauwezi kuleta Taharuki kwa jamii

Ndugu zangu iweje kosa kumpongeza mh Rais? Iweje nongwa kumsifia mh Rais kwa kazi nzuri na njema alizozifanya ndani ya muda mfupi? Kwanini asipongezwe? Kwanini asisisfiwe anapofanya vizuri? Kwanini iwe dhambi kumtia moyo na kumpa faraja mh Rais ya kusonga mbele?

Ndugu zangu Wakulima wa nchi hii watashindwaje kumpongeza mh Rais wakati wanaona kazi kubwa na juhudi za mh Rais katika kuwainua kiuchumi na kuwakwamua kutoka katika umaskini? Wakulima waliokuwa wananunua mbolea ya DAP laki na 40 msimu uliopita watashindwaje kumpongeza nakumsifia mh Rais wanapoona msimu huu mbolea hiyo hiyo Ya DAP ya Ruzuku inapatikana kwa Elfu 70 tu? Wakulima watashindwaje kumpongeza na kumsifia mh Rais wanapoona Sasa wanafaidika na jasho lao baada ya kuwa Bei ya mazao Ni nzuri Tangia wakati wa mavuno? Kwanini wasimpongeze? Ni vipi iwe kosa na kero kumpongeza? Kwanini mtu aumie na pongezi hizi kwa mh Rais? Nini kinachomuuma kwa Rais kupongezwa na kusifiwa? Je anataka kusikia Rais akishambuliwa na maneno mabaya? Au anataka Rais azomewe? Au hafurahishwi na mafuriko ya mapokezi anayoyapata mh Rais kila apitapo na kufika kwa wananchi kuwasikiliza huku akisifiwa na kupongezwa kwa usikivu wake?

Wazazi wanaosomesha watashindwaje kumpongeza mh Rais? Watashindwaje kumsifia mh Rais baada ya kutuliwa mzigo wa kulipiwa Ada watoto wao mpaka kidato Cha sita? Watashindwaje kumshukuru wakati wanaona matumaini ya watoto wao Kuendelea na masomo yao? Watashindwaje kumpongeza wanapoona watoto wao wakiendelea na masomo bila kikwazo Wala kuchangishwa mamichango licha ya uduni wa maisha Katika familia zao? Watashindwaje kupiga magoti kumuombea Afya njema mama huyu mzalendo wa kweli na kipenzi Cha watanzania?

Wanafunzi wa Elimu ya juu watashindwaje kumpongeza na kumsifia Rais wao hasa baada ya kuona ndoto zao zikitimia bila shida baada ya kuwa wote wenye sifa wamepata mikopo na kuruhusiwa kupokelewa vyuoni na Kuendelea na masomo yao? Kwanini wasimpongeze? Wangapi wamewahi kushindwa kufikia ndoto zao za kupata Elimu ya juu kwa kukosa mkopo? Wangapi wameteketeza Mali zao Kama ardhi kwa kulipia Ada sekondari Hadi vyuoni watoto wao nikiwepo Mimi Kama mfano wa kuuzwa kwa ardhi nilipokuwa nasoma ili kulipia ada? Wangapi wamekwama njiani kwa kukosa Ada vyuoni? Kwanini leo hii wasimpongeze mh Rais wanapoona wanapata mikopo na kutimiza Ndoto zao

Kuna Nini nyuma ya Dr Bashiru? Kwanini anataka apandikize chuki kwa watanzania? Kwanini anataka kuwafundisha watanzania wamchukie Rais wao? Kwanini Hataki Rais Samia Asisifiwe na kupongezwa anapofanya vizuri? Kwanini Hataki?Nini kinamuuma Dr Bashiru mh Rais akisifiwa na kupongezwa? Anataka Nini ili afurahi moyo wake? Haamini kuwa Huyu ndiye Rais wake? Hamtaki Mama Samia? Anataka Nini?Amepanga Nini Dr Bashiru? Yupo na Nani? Ametumwa Na Nani? Kwa ajenda Gani? Kwa mwaka upi? Kwa malengo gani?kwa njia zipi? Kwakutumia watu wapi na makundi yapi? Anataka kupanda mbegu gani chamani? Kwanini alete Taharuki kipindi hiki? Kwanini hakufanya hivi Huko nyuma? Kwanini iwe Sasa wakati wa mama Samia?Mbona huko nyuma tulikuwa tunaandaa Hadi makongamano ya kumsifu Rais wetu Hayati Dr Magufuli anapofanya vizuri na Wala hatukuwahi kusikia kauli Kama hii kutoka kwa Dr Bashiru? Kwanini inaonyesha amekosa Heshima kwa Mh Rais? Anataka alazimishe Jambo Gani ili kutimiza ajenda Gani na iliyopangwa na Nani na kuongozwa na kuratibiwa na Nani? Je Ametangulizwa na watu kuja kupima kina Cha maji? Je ametumwa na watu kuja kupata mwitikio wa Rais? Je anataka kujibiwa na Rais? Je anataka kukigawa chama chetu? Je anataka kupandikiza makundi? Je anataka kuleta mbegu gani ndani ya chama chetu?

Mbona hajawahi kufanya haya huko nyuma? Mbona hajawahi kuzungumza haya huko nyuma? Mbona hajawahi popote pale kuwakanya watu wasimsifie Wala kumpongeza kiongozi yoyote anayefanya vizuri? Anataka Rais apongezwe na Nani ikiwa watanzania wanaotumikiwa kupitia ilani yetu wameridhishwa na utendaji kazi wa mh na kuamua kumpongeza na kumsifia mh Rais? Kwanini anataka kumkatisha Tamaa Mh Rais pamoja na wananchi? Kwanini anataka kuwafundisha ujeuri wananchi? Anataka wananchi waipinge serikali yao?anataka waichukie serikali yao? Anataka waikatae serikali yao? Anataka Nani apongezwe? Nani aipongeze? Je ilani aliyoisimamia mwenyewe anataka Nani aisifie Inapokuwa inatekelezwa vizuri.

Dr Bashiru amemkosea Rais wetu,ameikosea CCM ,ameikosea serikali na ametukosea wananchi. Amuombe radhi mh Rais,chama, serikali na watanzania wote kwa ujumla wake. Awe muungwana katika hili, ajishushe na kutambua kosa lake, ajisahihishe Kama kweli kauli Ile haikuwa na lengo baya na haikuwa na ajenda ya Siri nyuma ya pazia.

Ccm ni moja ,wanaccm Ni wamoja na chama ni kimoja.Tuendelee kusimama kwa pamoja Kama chama Na Taifa kwa ujumla,Tusimame na Mwenyekiti wetu Mama Samia, Tusimuache akishambuliwa Wala kukatishwa Tamaa. Shambulizi dhidi ya Rais Samia Ni Shambulizi kwa chama chetu serikali yetu na Taifa letu kwa ujumla ambalo Hilo ndilo ambalo mh Rais wetu amejitoa na kujitolea kulitumikia kwa uzalendo na kwa dhati ya moyo wake wote

Kazi iendeleee,mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu: 0742-676627
Huu ndio uchawa?
 
Back
Top Bottom