Maneno ya Haji Manara baada ya Simba kuzindua Jezi

Maneno ya Haji Manara baada ya Simba kuzindua Jezi

Mbona Haji anakua na mdomo mrefu saanaah hvyo??
Sijawah kuona mwanaume mmbea Kama huyu jamaa!!

Simba sc, haina inshu naye, kaongea kuhusu Mo wee anaona haitoshi, Sasa anamgeukia Vunja Bei na timu yake!

Kama Ni sare ya kijitonyama inamhusu Nini??

Haji manara, jifunze kwa Nugaz, mbona yeye haropokiropoki Kama wewe, au wewe Ni Bora kuliko Nugaz!?

Sometimes tumia hekima haji, unajishusha na unajipelekea uhasama na watu waliokuwa upande wko!
Ndo kazi yake hiyo Bob
 
MAKOLOKOLO YAO NIMEYAPATA KABLA YA WAO KUZINDUA

Shukrani zote ziwaendee majembe wangu majasusi waliopo katikati yao. Walijidai wana siri wakati najua kila kitu wanachofanya.

Sasa rafki yangu vunja bei badala ya kuzindua jersey unaleta sare za kwaya ya kijitonyama hahahaha

Wameweka adi happy birthday ya kanjibai eti Mo 29 hahaha
Ukiangalia vizuri makwapani wameweka adi vibanda vya MPESA hahaha

Bro hizi kazi ni za watu usione nimedamshi ukazani ni kaZi ndogo. Anyway kama utawauzia kilogram 5 kwa buku its okay 😃

Nafurahi kuskia huu mwezi hautoisha kabla ya moto mkali kuwaka kwenye nyumba yao, I'm not a fool namaanisha .
Muulizeni je, na Sisi wenye Majasusi hadi ndani ya Familia yake ( tena Dada zake ) pale Buguruni na Ilala Bungoni tuseme jinsi Mwarabu wake aliye Kigamboni sasa ( japo anaishi sana UAE ) anavyomtumia?
 
Mbona Haji anakua na mdomo mrefu saanaah hvyo??
Sijawah kuona mwanaume mmbea Kama huyu jamaa!!

Simba sc, haina inshu naye, kaongea kuhusu Mo wee anaona haitoshi, Sasa anamgeukia Vunja Bei na timu yake!

Kama Ni sare ya kijitonyama inamhusu Nini??

Haji manara, jifunze kwa Nugaz, mbona yeye haropokiropoki Kama wewe, au wewe Ni Bora kuliko Nugaz!?

Sometimes tumia hekima haji, unajishusha na unajipelekea uhasama na watu waliokuwa upande wko!
Itakuwa huko kuropoka ndo kunakomlisha.Kama anapata hasara ataacha mwenyewe lakini tukiona haachi basi kwa vyovyote vile ana maslahi na huko kuropoka kwake.
 
Manara anahitaji msaada wa Kisaikolojia,yuko kwa depression kubwa,kuondolewa Simba kumeacha maumivu makali sana ya moyo wake.Walio karibu yake na wanaompenda kweli wamsaidie aweze kuvuka salama stage hii
Hiyo mihela inayosemekana Yanga wanamlipa haijatokomeza hiyo depression akilini mwake tu?.Wanasema fedha ni jawabu la mambo yote.
 
Acha aendendelee ili kila mtu auone ushenzi wake.Maana kuna watu wako Simba walijidai eti kumlilia!

Kwanza binafsi siku nyingi sikuwa namkubali kwa maneno yake ya viwango vya chini sana hata kama aliisema yanga.Alivyoondoka nilifutahi sana maana naiona Simba iko level juu mno kuliko Manara.Manara akili hana aliifanya Simba idharaulike.Manara ni size ya yanga maana wao bado wana uswahili mwingi sana
Mbona Haji anakua na mdomo mrefu saanaah hvyo??
Sijawah kuona mwanaume mmbea Kama huyu jamaa!!

Simba sc, haina inshu naye, kaongea kuhusu Mo wee anaona haitoshi, Sasa anamgeukia Vunja Bei na timu yake!

Kama Ni sare ya kijitonyama inamhusu Nini??

Haji manara, jifunze kwa Nugaz, mbona yeye haropokiropoki Kama wewe, au wewe Ni Bora kuliko Nugaz!?

Sometimes tumia hekima haji, unajishusha na unajipelekea uhasama na watu waliokuwa upande wko!
 
Muulizeni je, na Sisi wenye Majasusi hadi ndani ya Familia yake ( tena Dada zake ) pale Buguruni na Ilala Bungoni tuseme jinsi Mwarabu wake aliye Kigamboni sasa ( japo anaishi sana UAE ) anavyomtumia?
ah genta vipi
 
Mbona Haji anakua na mdomo mrefu saanaah hvyo??
Sijawah kuona mwanaume mmbea Kama huyu jamaa!!

Simba sc, haina inshu naye, kaongea kuhusu Mo wee anaona haitoshi, Sasa anamgeukia Vunja Bei na timu yake!

Kama Ni sare ya kijitonyama inamhusu Nini??

Haji manara, jifunze kwa Nugaz, mbona yeye haropokiropoki Kama wewe, au wewe Ni Bora kuliko Nugaz!?

Sometimes tumia hekima haji, unajishusha na unajipelekea uhasama na watu waliokuwa upande wko!
Wakati yupo simba mbona alikua anawachachafya yanga.
 
Mwambie huyo mropokaji hiyo ni trailer tu, bado movie yenyewe Simba Day ndio atatapika minyoo yote tumboni.
 
Manara ni mtu wa jazba..
Historia ya watu aliogombana nao ipo wazi..
Maneno yote yakero anayotoa,ni sehemu ya kutoa jazba zake..
Wananchi wanapaswa kuwana akiba yamaneno..Siamini wakitokea wadhamini zaidi ya watano na wote wakatoa mpunga mzuri kujibrand kupitia Yanga eti watakataa..
Mpira pesa.. vingine kelele tu..

Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
 
Ila huyu mzungu ana maneno mabovu asee acha tu watu washindwe kuvumilia. Jezi zina kitambaa kama baibui la kihadzabe!?[emoji23][emoji23][emoji23]
IMG-20210904-WA0165.jpg
 
Back
Top Bottom