Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Mpira pasi sio na kuimba kupokezanaHuyo aliletwa dunian kukera watu...kwahiyo alivyokuwa anawakera yanga sasa ubao umegeuka...heeheheheheee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpira pasi sio na kuimba kupokezanaHuyo aliletwa dunian kukera watu...kwahiyo alivyokuwa anawakera yanga sasa ubao umegeuka...heeheheheheee
Ndo kazi yake hiyo BobMbona Haji anakua na mdomo mrefu saanaah hvyo??
Sijawah kuona mwanaume mmbea Kama huyu jamaa!!
Simba sc, haina inshu naye, kaongea kuhusu Mo wee anaona haitoshi, Sasa anamgeukia Vunja Bei na timu yake!
Kama Ni sare ya kijitonyama inamhusu Nini??
Haji manara, jifunze kwa Nugaz, mbona yeye haropokiropoki Kama wewe, au wewe Ni Bora kuliko Nugaz!?
Sometimes tumia hekima haji, unajishusha na unajipelekea uhasama na watu waliokuwa upande wko!
Muulizeni je, na Sisi wenye Majasusi hadi ndani ya Familia yake ( tena Dada zake ) pale Buguruni na Ilala Bungoni tuseme jinsi Mwarabu wake aliye Kigamboni sasa ( japo anaishi sana UAE ) anavyomtumia?MAKOLOKOLO YAO NIMEYAPATA KABLA YA WAO KUZINDUA
Shukrani zote ziwaendee majembe wangu majasusi waliopo katikati yao. Walijidai wana siri wakati najua kila kitu wanachofanya.
Sasa rafki yangu vunja bei badala ya kuzindua jersey unaleta sare za kwaya ya kijitonyama hahahaha
Wameweka adi happy birthday ya kanjibai eti Mo 29 hahaha
Ukiangalia vizuri makwapani wameweka adi vibanda vya MPESA hahaha
Bro hizi kazi ni za watu usione nimedamshi ukazani ni kaZi ndogo. Anyway kama utawauzia kilogram 5 kwa buku its okay 😃
Nafurahi kuskia huu mwezi hautoisha kabla ya moto mkali kuwaka kwenye nyumba yao, I'm not a fool namaanisha .
Noted.Nampa mechi 3 tu,Rivers home and away na Ngao ya hisani..Aombe sana Mungu. Baada ya hapo itabidi akafungue file mirembe
Itakuwa huko kuropoka ndo kunakomlisha.Kama anapata hasara ataacha mwenyewe lakini tukiona haachi basi kwa vyovyote vile ana maslahi na huko kuropoka kwake.Mbona Haji anakua na mdomo mrefu saanaah hvyo??
Sijawah kuona mwanaume mmbea Kama huyu jamaa!!
Simba sc, haina inshu naye, kaongea kuhusu Mo wee anaona haitoshi, Sasa anamgeukia Vunja Bei na timu yake!
Kama Ni sare ya kijitonyama inamhusu Nini??
Haji manara, jifunze kwa Nugaz, mbona yeye haropokiropoki Kama wewe, au wewe Ni Bora kuliko Nugaz!?
Sometimes tumia hekima haji, unajishusha na unajipelekea uhasama na watu waliokuwa upande wko!
Hahahaaaaa Morrison kasingiziwa aiseeHuyo aliletwa dunian kukera watu...kwahiyo alivyokuwa anawakera yanga sasa ubao umegeuka...heeheheheheee
Hiyo mihela inayosemekana Yanga wanamlipa haijatokomeza hiyo depression akilini mwake tu?.Wanasema fedha ni jawabu la mambo yote.Manara anahitaji msaada wa Kisaikolojia,yuko kwa depression kubwa,kuondolewa Simba kumeacha maumivu makali sana ya moyo wake.Walio karibu yake na wanaompenda kweli wamsaidie aweze kuvuka salama stage hii
Mbona Haji anakua na mdomo mrefu saanaah hvyo??
Sijawah kuona mwanaume mmbea Kama huyu jamaa!!
Simba sc, haina inshu naye, kaongea kuhusu Mo wee anaona haitoshi, Sasa anamgeukia Vunja Bei na timu yake!
Kama Ni sare ya kijitonyama inamhusu Nini??
Haji manara, jifunze kwa Nugaz, mbona yeye haropokiropoki Kama wewe, au wewe Ni Bora kuliko Nugaz!?
Sometimes tumia hekima haji, unajishusha na unajipelekea uhasama na watu waliokuwa upande wko!
ah genta vipiMuulizeni je, na Sisi wenye Majasusi hadi ndani ya Familia yake ( tena Dada zake ) pale Buguruni na Ilala Bungoni tuseme jinsi Mwarabu wake aliye Kigamboni sasa ( japo anaishi sana UAE ) anavyomtumia?
Wakati yupo simba mbona alikua anawachachafya yanga.Mbona Haji anakua na mdomo mrefu saanaah hvyo??
Sijawah kuona mwanaume mmbea Kama huyu jamaa!!
Simba sc, haina inshu naye, kaongea kuhusu Mo wee anaona haitoshi, Sasa anamgeukia Vunja Bei na timu yake!
Kama Ni sare ya kijitonyama inamhusu Nini??
Haji manara, jifunze kwa Nugaz, mbona yeye haropokiropoki Kama wewe, au wewe Ni Bora kuliko Nugaz!?
Sometimes tumia hekima haji, unajishusha na unajipelekea uhasama na watu waliokuwa upande wko!
Dr. Haji Manara ni Genius kwenye kuongea ndio maana namwita Dr. Haji ManaraHuyo aliletwa dunian kukera watu...kwahiyo alivyokuwa anawakera yanga sasa ubao umegeuka...heeheheheheee
Kuna tofaut kati ya kuongea na kuropokaDr. Haji Manara ni Genius kwenye kuongea ndio maana namwita Dr. Haji Manara
HajuiManara anarahisisha sana kazi ya msemaji wa Simba
Japo anaisema vibaya lakini kwa kutumia umaarufu wake anaitangaza zaidi Simba