Chaos Master
JF-Expert Member
- Jul 7, 2021
- 636
- 1,310
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo mihela inayosemekana Yanga wanamlipa haijatokomeza hiyo depression akilini mwake tu?.Wanasema fedha ni jawabu la mambo yote.
Ila huyu mzungu ana maneno mabovu asee acha tu watu washindwe kuvumilia. Jezi zina kitambaa kama baibui la kihadzabe!?[emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1923899
Doctor? Haji ni mke aliyeachika na kuanza kutoa Siri za ndani za mumewe, ati anatokea mume asiyejitambua na kuweka ndani mke wa hovyo kama huyu, subirini waachane ya Simba yatakuwa na afadhaliDr. Haji Manara ni Genius kwenye kuongea ndio maana namwita Dr. Haji Manara
Kwa masihara aliyo nayo kupata Depression sio rahisiUnajua Depression wewe? Matajiri wangapi wanajikuta katika hili tatizo kubwa pamoja na kuwa na mihela tena ni millions of $$! Itakuja kuwa Manara anaelipwa haizid 5M kabla ya kodi tena kwa Madafu.Acheni masihara,msaidieni ndugu yenu,Depression inammaliza kimya kimya.
Acha tuenjoy free promoManara anarahisisha sana kazi ya msemaji wa Simba
Japo anaisema vibaya lakini kwa kutumia umaarufu wake anaitangaza zaidi Simba
HahahahahaaaaaHuyo aliletwa dunian kukera watu...kwahiyo alivyokuwa anawakera yanga sasa ubao umegeuka...heeheheheheee
Depression kivip wakat anatetea ugali wake we 9.8 million kutoka laki Saba halafu asiwaseme vibaya simba wakati ndio kazi yake?
Haji aimbe taarabu na Khadija Kopa maana vijembe anaviweza sana.
Nyie ongeleeni tu vivazi mkija kufumuliwa marinda na Wanigeria msipige mayowe yenu ya kimalaya malayaManara msema kweli jamani dah jezi kama kitenge vile mabango meengi kama timu ni ya kanjibhai.
Ukiona mtu analeta thread ya maneno ya shoga msukule humuMAKOLOKOLO YAO NIMEYAPATA KABLA YA WAO KUZINDUA
Shukrani zote ziwaendee majembe wangu majasusi waliopo katikati yao. Walijidai wana siri wakati najua kila kitu wanachofanya.
Sasa rafki yangu vunja bei badala ya kuzindua jersey unaleta sare za kwaya ya kijitonyama hahahaha
Wameweka adi happy birthday ya kanjibai eti Mo 29 hahaha
Ukiangalia vizuri makwapani wameweka adi vibanda vya MPESA hahaha
Bro hizi kazi ni za watu usione nimedamshi ukazani ni kaZi ndogo. Anyway kama utawauzia kilogram 5 kwa buku its okay 😃
Nafurahi kuskia huu mwezi hautoisha kabla ya moto mkali kuwaka kwenye nyumba yao, I'm not a fool namaanisha .
Kitimoto kimeongeaDr. Haji Manara ni Genius kwenye kuongea ndio maana namwita Dr. Haji Manara
Ataishi kwa matamanio mabaya kwa adui milele kwani siamini iwapo kuna siku adui uliwahi muombea memaMAKOLOKOLO YAO NIMEYAPATA KABLA YA WAO KUZINDUA
Shukrani zote ziwaendee majembe wangu majasusi waliopo katikati yao. Walijidai wana siri wakati najua kila kitu wanachofanya.
Sasa rafki yangu vunja bei badala ya kuzindua jersey unaleta sare za kwaya ya kijitonyama hahahaha
Wameweka adi happy birthday ya kanjibai eti Mo 29 hahaha
Ukiangalia vizuri makwapani wameweka adi vibanda vya MPESA hahaha
Bro hizi kazi ni za watu usione nimedamshi ukazani ni kaZi ndogo. Anyway kama utawauzia kilogram 5 kwa buku its okay [emoji2]
Nafurahi kuskia huu mwezi hautoisha kabla ya moto mkali kuwaka kwenye nyumba yao, I'm not a fool namaanisha .
Ntamshangaa sana mtu atakayekereka na hajiHuyo aliletwa dunian kukera watu...kwahiyo alivyokuwa anawakera yanga sasa ubao umegeuka...heeheheheheee
Chombo ya Mzee Tozi hiyo tako moko
Huyo aliletwa dunian kukera watu...kwahiyo alivyokuwa anawakera yanga sasa ubao umegeuka...heeheheheheee