Maneno ya Haji Manara baada ya Simba kuzindua Jezi

Maneno ya Haji Manara baada ya Simba kuzindua Jezi

Uzuri huo ukeraji wake ndiyo umewafanya Mashabiki wa Simba wanunue jezi kwa wingi kumkomesha.Kama Viongozi wa Yanga wanajielewa walipaswa kuliona hili,Manara anaitangaza Brand ya Simba kwa njia hiyo kuliko hata Yanga.Subiri uone na Simba Day,Mashabiki sasa hivi wanatenda ili kumkomesha Manara.Hakuna Bad Publicity hasa katika biashara.Umeona jezi zilivyovuja zinavyouzika kwa sasa.

Sisi tunaomba aendelee na huo ukeraji wake maana ni faida kwa Simba.One Team,One Dream[emoji123]
Now days mashabiki wa kibongo tumekua smart somehow
 
.
FB_IMG_1630654057699.jpg
 
kidunula1 Manara kweli semaji la dunia ana do without protocol kimtaan mtaan tu anaendesha taasisi
Ni mshenzi tu ila tatizo ni kwamba uropokaji Wa hovyo umeanza kitambo sana na sisi wana Yanga tuliongea sana kuhusu hilo cha ajabu wana Simba mlimshabikia sana kwa huo ujinga wake ila Leo sijui ni nini kimewaingia mnaanza kutusimulia namna msemaji anavyopaswa kuwa
 
Doctor? Haji ni mke aliyeachika na kuanza kutoa Siri za ndani za mumewe, ati anatokea mume asiyejitambua na kuweka ndani mke wa hovyo kama huyu, subirini waachane ya Simba yatakuwa na afadhali
Tatizo na wewe kakuchanganya sana
 
Tunachojua ni Depression is killing him slowly.Waliomuondoa Simba hatokaa awasahau maisha yake yote hadi anaingia kaburini.
Shida inaanzia hapa kwamba na wewe mbona unaonesha kuwa na depression kwa kusimangwa simangwa na Haji? Vumilia usife tu!
 
Kinachomuuma Manara ni kuona Mo na Barbara wamempuuza,mashabiki ndo tuanamalizana nae,ilo jambo linamuuma sana Manara.
Mwanjo mwanjo tu na hata mashabiki watataka kumuonyesha manara akua msaada kwao in contrary muda utaongea,simba kwenye upande wa hamasa na social media manara ana mchango wake 100%,followers wa twitter na insta hawawaja kibahati
 
Naona Manara anapambana na washabiki Viongozi wana kazi nyingi za kufanya mmeamua kweli wanasimba
Simba malengo ni kufika fainali CAF CL wenzetu wako kwenye mipasho ya viwalo hata mechi ya tarehe 12 September hawana mpango nayo timu inafanya match ya majaribio na Urafiki Rangers timu ya wavuta bangi wa Ndondo cup
 
Shida inaanzia hapa kwamba na wewe mbona unaonesha kuwa na depression kwa kusimangwa simangwa na Haji? Vumilia usife tu!

Nadhani umeamua tu kubishana,walau kuna kina Riz 1 huko wameamua kuusema ukweli.Nyinyi msiotaka kuukubali ukweli wenyewe kaeni hivyo hivyo
 
Mwanjo mwanjo tu na hata mashabiki watataka kumuonyesha manara akua msaada kwao in contrary muda utaongea,simba kwenye upande wa hamasa na social media manara ana mchango wake 100%,followers wa twitter na insta hawawaja kibahati

Na hao hao followers ndiyo wanamshikisha adabu kwa page yake hadi anaamua kuwablock.Nilidhana ana uwezo wa kuhimili kumbe hola
 
Mwenye lake haliachi manara kwa simba kamaliza subiri zamu yao yanga hawezi kuondoka bila mipasho...
 
Wakati yuko kolo katublock sana Wananchi,kibao kimegeuka sasa

Basi kumbe na yeye anakereka sawa sawa na comment za Followers wake na uwezo wa kuhimili hana.Naona Audio ya Prince wa Msoga tangu iliposambaa asubuhi ni kama imemfunga speed Governor mdomoni,sasa hivi anapost na caption ya Sentensi mbili tu,kabla haijasambaa alishashusha waraka kwa Waandishi,baada ya kusambaa kabaki [emoji850][emoji850][emoji850]
 
Naipenda yanga. Isipokuwa hayo majezi ya yellow yanatia kichefuchefu. Fanyeni mubadilishe mtumie za blue colour
 
Mhurumie tajiri aliyefilisika kuliko mgojwa aliye hospital, maana tajiri hutembea na kuongea peke yake huku akirusha rusha mikono, mgonjwa huomba nurusra pekee
Haji ni mfano wa tajiri aliyefilisika
Ni mgeni kwako akiwa kazini? 9M+toka .7Msi mchezo mwache afanye kazi alifirisika alipokuwa anapokea .7M
 
Back
Top Bottom