Maneno ya kuibembeleza na kuikingia kifua Israel ni aibu kwa ulimwengu. Ndiyo yanayowapa jeuri mayahudi kuwaoneo wapalestina

Maneno ya kuibembeleza na kuikingia kifua Israel ni aibu kwa ulimwengu. Ndiyo yanayowapa jeuri mayahudi kuwaoneo wapalestina

Shetani mchokozi akipigwa analia lia... pelekeni malalamiko yenu kwa sanamu Allah. Netanyahu kamzabua makofi kwa ukorofi sasa hamna wa kumlilia...

Vita zote za waislam wakitaza kuwateketeza Waisrael wamekwama zote tokea miaka hiyo na bado hawakomi... Huruma za Waisrael ndizo zinafanya arabs kuendelea kuwepo kwenye ardhi Takatifu.. hamna lingine kibaya huruma zimewafanya waisrael waonekane wabaya.. kweli wema usizidi uwezo... Netanyahu kaza tu hadi wanye
 
Then tusisikie kilio kila mtu ashinde mechi zake. Israel hawajawahi lalamika wao ni kutembeza kichapo kufundisha adabu. Na hao magaidi unaosema hawawezi kuacha wapigane sasa.
Msituchoshe watu hawataki kuacha mapigano nyinyi mnasumbua humu eti Israel ndio iache
Israel inapigana na mtu aliyefungwa miguu na mikono na dunia nzima inaangalia.Hicho ni kichapo gani.Ni aibu tupu kwa dunia.
 
Shetani mchokozi akipigwa analia lia... pelekeni malalamiko yenu kwa sanamu Allah. Netanyahu kamzabua makofi kwa ukorofi sasa hamna wa kumlilia...

Vita zote za waislam wakitaza kuwateketeza Waisrael wamekwama zote tokea miaka hiyo na bado hawakomi... Huruma za Waisrael ndizo zinafanya arabs kuendelea kuwepo kwenye ardhi Takatifu.. hamna lingine kibaya huruma zimewafanya waisrael waonekane wabaya.. kweli wema usizidi uwezo... Netanyahu kaza tu hadi wanye
Ogopa sana na kumdhihaki Allah.
Hana papara wala hadhuriki na matusi yako.Isipokuwa jambo moja ni la uhakika huwa hapuuzi kitu .Kila kitu kinaandikwa na kuhukumiwa.
Katika huu mkasa wa Gaza kuna wengi wataanguka na wengi watainuka.
 
Ogopa sana na kumdhihaki Allah.
Hana papara wala hadhuriki na matusi yako.Isipokuwa jambo moja ni la uhakika huwa hapuuzi kitu .Kila kitu kinaandikwa na kuhukumiwa.
Katika huu mkasa wa Gaza kuna wengi wataanguka na wengi watainuka.
Kwanini Hamas walipoivamia Israel Oct 7 mataifa mengine hawakuionya Kwa kuichokoza israeli halafu Israel inavyojibu mapigo ndio mnaongea?
 
Mkiambiwa hamna akili ndio maana mnaona ndoa za watu wajinsia moja bora kuliko uke wenza

Ukiambiwa huna akili unaweza kusema umetukanwa kumbe ndio tafsiri inayopatikanwa ndani ya koment yako

Kwanza nenda kajifunze halafu urudi tena
Wewe huna akili, yani unajiona mwarabu kwakuwa ni muislamu kama siyo upumbavu ni nini?

Mtu kuwa Mkristo siyo mzungu na hakuna doctrine ya Biblia inayofundisha ushoga.

Ukristo na Uzungu ni vitu viwili tofauti, hata ni muislamu lakini siyo mwarabu, kama unajihisi ni Mwarabu basi ukapimwe akili.
 
Mkiambiwa hamna akili ndio maana mnaona ndoa za watu wajinsia moja bora kuliko uke wenza

Ukiambiwa huna akili unaweza kusema umetukanwa kumbe ndio tafsiri inayopatikanwa ndani ya koment yako

Kwanza nenda kajifunze halafu urudi tena
Nijifunze madrassa? Ikiwa akili yako ya Madrassa inatafakari ushoga sasa nitajifunza nini?
 
Tangu vita vianze hakuna hata nchi moja ambayo imetoa maneno ya kuikemea Israel kikamilifu au kutaja matendo yao kuwa ni haramu.

Badala yake utasikia maneno kama ilichofanya Israel huko Gaza yanaweza kuwa ni uhalifu wa kivita.Yanasemawa hayo wakati yaliyofanywa madogo kuliko hayo maeneo mengine duniani kama Sudan huwa yanapewa hadhi kamili ya uhalifu wa kivita.Sudan huwa wanarushiana mikuki tu na kuchomeana nyumba zao za nyasi na dunia nzima inaona.Huku matumizi ya mabomu mazito kuua watu vipande vipande haionekani ni tatizo kubwa.

Rais Biden karibuni ataitembelea Israel na anasema akifika huko ataishinikiza Israel isitishe vita.
Ilichotakiwa ni kuacha kuitembelea kabla ya kusitisha vita au asema atailazimisha kusitisha vita sio kwenda na maneno ya kinyonge nyonge kama hayo huku kila siku ipitayo kasi ya kuuaa na kuhamisha wagonjwa na watu waliochoka kuhama kwenda maeneo ambayo hayana hata nyumba yakiendelezwa kufanya na Israel.
Tumezoea kuisikia Marekani ikitoa amri kali na vikwazo vya kiuchumi kwa wahalifu ambao huwa uhalifu wao kwanza haujathibitishwa na huwa ni uhalifu mdogo kuliko huo wa Israel.

Ukisikiliza mataifa ya kiarabu na kiislamu ambayo yalitarajiwa kuja juu zaidi hali ni hiyo hiyo.Mara Israel ndiyo iliyohusika kufanya uovu fulani huku uovu huo ukijulikana wazi wazi nani aliyeutenda.Wengina huwa wanatoa maazimio ya kuitambua Palestina na uungaji mkono wake unaishia kuwa ni wa maneno peke yake.Wanaosema wataingia Israel kuwatetea wapalestina na kadhalika huwa ni kwa maneno tu.

Kitendo kibaya kilichofanyika majuzi masjidul aqswa cha kundi la mayahudi kuingia na kufanya ibada zao za kufru zingewakasirisha sana mataifa ya kiislamu lakini wote wametoa maneno mepesi na kurudi kwenye ikulu zao kulala.

Uzembe huo wa dunia nzima ndio uliomfanya waziri wa ulinzi wa Israel,Daniel Hagar hapo jana kusema kwa jeuri na kujiamini kuwa iwapo Israel itashambuliwa basi ma
Iran ndio tegemeo la "Wauaji na washangiliaji wa mauaji ya 7/10, sasa kama yeye mwenyewe kachapwa sebuleni kwake unategemea nini?
 
Hiyo ndio inaitwa mwana ukome, kama wamefungwa mikono na miguu waliwezaje kwenda kufanya ugaidi Israel?
Walipokuwa mikono na miguu yao iko huru ndio waliamua kujitetea dhidi ya udhalili.Sasa ndio walitakiwa waachiwe huru mpaka mwisho waendelee kujitetea.
 
Yaan nimekaa kwangu ukaja nivamia na kuchukua watoto wangu,ntakuua mpaka kizazi chako cha mwisho.
Ndio nia ya Hamas ambao sio kuuliwa tu watu wao na mababu zao walihamishwa majumbani mwao tangu mwaka 1948.Hawawezi kukubali kuachia mateka au kuweka silaha chini kihivi hivi.
Ukichukulia ki asilimia basi Israel ilionja tu ubaya wa inachokifanya kila siku na tangu mwaka 1948
 
Ndio nia ya Hamas ambao sio kuuliwa tu watu wao na mababu zao walihamishwa majumbani mwao tangu mwaka 1948.Hawawezi kukubali kuachia mateka au kuweka silaha chini kihivi hivi.
Ukichukulia ki asilimia basi Israel ilionja tu ubaya wa inachokifanya kila siku na tangu mwaka 1948
Wataisha basi au wajiandae kufanya uchaguzi wa viongozi wao kila baada ya miezi
 
Wataisha basi au wajiandae kufanya uchaguzi wa viongozi wao kila baada ya miezi
Wako wengi tu.Wameshauliwa wengi na msimamo ni huo huo.
Waisrael nao wanaisha na watachoka tu kila vita vinavyosonga mbele,
 
Israhell hakuna wayahudi bali kuna wazayuni wahamiaji walojikusanya kutokea pembe mbali mbali wakaenda kumwagwa pale mashariki yakati

Nalengo kubwa la kuundwa taifa la israhell ni ili ulimwengu wa kiarabu na kiislamu pale mido ist usije ukakaa kwa amani nandio kinachoendelea leo hii pale
Kweli kabisa, nasikia ndio chanzo cha waarabu kutesa watu weusi huko kwao
 
Israhell hakuna wayahudi bali kuna wazayuni wahamiaji walojikusanya kutokea pembe mbali mbali wakaenda kumwagwa pale mashariki yakati

Nalengo kubwa la kuundwa taifa la israhell ni ili ulimwengu wa kiarabu na kiislamu pale mido ist usije ukakaa kwa amani nandio kinachoendelea leo hii pale
somalia, Sudan, afghanistan, northen nigeria mbona kuna magaidi wanapigana jihad na hakuna wayahudi?!
 
Back
Top Bottom