vipik2
JF-Expert Member
- Nov 24, 2011
- 2,845
- 2,258
Reboot, shut down & restart
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zito kasema, usipokuwa mmojawapo wa wenye kesi hizo huwezi elewa... NA NDO HAPO UNAWEZA UKAANDIKA HIVI...Hakuna jipya hapo
Kabisaaa,huyo ni mkimbizi wa kiuchumi,anajitengenezea legitimacy ya kuendelea kuishi scandinavia
Analipwa posho nono ya ukimbizi,jumba la bure na kazi nzuri tu kwenye NGo
Mkuu, ungejikita kwenye kujibu HOJA alizozieleza ungeeleweka Zaidi kuliko kushambulia mtu badala ya HOJA. Mnatufanya hata wengine ambao sio wafuatiliaji wa mambo kumuamini asemacho.Kabisaaa,huyo ni mkimbizi wa kiuchumi,anajitengenezea legitimacy ya kuendelea kuishi scandinavia
Analipwa posho nono ya ukimbizi,jumba la bure na kazi nzuri tu kwenye NGo
Survival tactics! Watu wakiamua Box litaongea na kama halitasaidia, time will tell.Kukaa kimya wakati uovu unafanyika ni sawa na kushiriki uovu
Natamani enzi za kuvaa midabwada na kula ugali wa njano zirudi ili akili zikae sawaYupo sahihi kabisa ,na bado cha Moto tutakiona mpaka tutakapo pata Akilina kustuka Usingizini na kusema baasi kwa vitendo.
Huku una soma bure kabisa la kwanza hadi chuo kikuu, na unatibiwa bure zahanati hadi muhimbili!Natamani enzi za kuvaa midabwada na kula ugali wa njano zirudi ili akili zikae sawa
TAARIFA YA MSAADA NA MAOMBEZI.Nadhani huyu jamaa akitokea aende vijijini awaambie wapiga kura hayo maneno watampiga mawe. Kila alichokitaja kama sababu ni fabricated lies.