Maneno ya mwandishi Ansbert Ngurumo juu ya utawala wa awamu ya tano

Maneno ya mwandishi Ansbert Ngurumo juu ya utawala wa awamu ya tano

Huku una soma bure kabisa la kwanza hadi chuo kikuu, na unatibiwa bure zahanati hadi muhimbili!

Sent using Jamii Forums mobile app
LOo, 'Mzizi wa Mbuyu'!

Sijui kama ataelewa ulichoandika hapo! Hata akielewa, najua atatafuta visababu kede kede vya kujifanya haelewi.

Nawe nikuulize mkuu: hivi 'mbuyu' una mzizi imara? 'Mbuyu' una 'tap root'?

Kama hivyo ndivyo sivyo, huu wako ukoje?
 
Lakini pia Kuna baadhi yetu labda tungependa kumuuliza chochote,Kumsaidia Kifedha au Kumpa Pole Wasiliana nae 0764003143 / 0712263660.
Sky, hii ungeipitishia kwa mtu kama 'Jingalao' kabla ya kumfikia uliyem'quote' hapo labda ingesaidia.

Kwa hivi ulivyofanya, mlengwa hatapata msaada wowote kwa sababu moja kwa moja watamhusisha na upinzani au kutokuwa mtu wao.

On a more serious note: how can it not be more than hell on earth than the experience of suffering that this individual has endured!
Clearly, there should be a better way of helping this fellow than this kind of appeal presented here on this forum.

Lakini Mashangingi ya akina Bashiru ndio kwanza yanachoma hata hicho kidogo kilichopo bila ya kuyakumbuka haya.
 
LOo, 'Mzizi wa Mbuyu'!

Sijui kama ataelewa ulichoandika hapo! Hata akielewa, najua atatafuta visababu kede kede vya kujifanya haelewi.

Nawe nikuulize mkuu: hivi 'mbuyu' una mzizi imara? 'Mbuyu' una 'tap root'?

Kama hivyo ndivyo sivyo, huu wako ukoje?
Naelewa kabisa fikra zako mkuu!
Mzizi wa Mbuyu hata kama uko kama uzi! Ni mzizi wa mbuyu tu, baasi! Kazi yake inaonekana, si ndivyo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani huyu jamaa akitokea aende vijijini awaambie wapiga kura hayo maneno watampiga mawe. Kila alichokitaja kama sababu ni fabricated lies.
Watampigaje Mawe hao wana Kijiji wenzie? Nikukumbushe, huyo jamaa ni Mhaya wa Bukoba, Lwajabe na Kabendera na wenyewe ni Wahaya ujue.
 
Kabisaaa,huyo ni mkimbizi wa kiuchumi,anajitengenezea legitimacy ya kuendelea kuishi scandinavia
Analipwa posho nono ya ukimbizi,jumba la bure na kazi nzuri tu kwenye NGo
Yeye alikimbia kwa sababu alishasoma alama za nyakati . Wenzake wamepewa kesi feki za utakatishaji na kusoteshwa magerezani. Hivi Akwilina naye alikosa nini mpaka akauawa!?
 
Nadhani huyu jamaa akitokea aende vijijini awaambie wapiga kura hayo maneno watampiga mawe. Kila alichokitaja kama sababu ni fabricated lies.
Yule mwanafunzi Akwilina aliyeuawa angekuwa dada yako ingekuwa safi sana.
 

Zitto is right. Hili suala la kesi za uhujumu uchumi sasa linatumiwa kisiasa na serikali ya CCM. Huo mfano wa mama wa laki sita unaonyesha tumefikia mahali pabaya sana.

Kimsingi, ukiwa na dola labda hamsini, na ukaibadilisha mitaani polisi akakukamata basi una kesi ya uhujumu uchumi ambayo haina dhamana. Umetakatisha fedha. Kwa hiyo wengi wetu ni mahabusu watarajiwa wa uhujumu uchumi.
 
Zitto is right. Hili suala la kesi za uhujumu uchumi sasa linatumiwa kisiasa na serikali ya CCM. Huo mfano wa mama wa laki sita unaonyesha tumefikia mahali pabaya sana.

Kimsingi, ukiwa na dola labda hamsini, na ukaibadilisha mitaani polisi akakukamata basi una kesi ya uhujumu uchumi ambayo haina dhamana. Umetakatisha fedha.
Siku hizi US$ unabadilisha wapi? Kuitumikia Jamhuri si mchezo.
 
Siku hizi US$ unabadilisha wapi? Kuitumikia Jamhuri si mchezo.
Kimsingi zinapaswa kubadilishiwa benki baada ya kufunga maduka ya fedha. Katika nchi yenye utalii kama Tanzania watu kupewa tips za dola mbili au tano au kumi ni kitu cha kawaida, na wengi hawajui kuzibadilisha kienyeji ni kosa. Hata mipakani kama Tunduma, Namanga, Tarakia etc, uwe mwangalifu sana kubadilisha hela za Kenya au TZ au Zambia kienyeji. Polisi akikukamata akakufungulia mashitaka basi ni kosa litakalokuwa chini ya uhujumu uchumi na kutakatisha fedha. Na Watanzania wengi hawajaelimishwa juu ya hili na hivyo kutoa mwanya kwa polisi kuitumia nafasi hii kujinufaisha kwa kuwatishia watu kesi za uhujumu uchumi.
 
Neno ukoloni mambo Leo sijui mabeberu utumiwa na watawala wa kiafrica kuahalilisha kushindwa kwao kuinua uchumi wa nchi zao
Kumbe wewe ni Mmoja wetu...😎😎 tutakao nufaika Kipindi flani huko mbeleni.
 
Back
Top Bottom