Maneno ya Mwijaku baada ya kumtembelea Lulu gerezani

Hapa kosa la lulu cyo kuliwa uroda, bali kosa la lulu ni kuua bila kukusudia.
 
Kama mimi namsaka sana mtoto wa Kajala maana ile mipaja ya mama yake kwenye Biko mshiko nje njeeeeee inanipa wkt mgumu sana
 
Mi nashangaa kabisa wengine sio wafungwa wa kuonea huruma??
 
Kama mimi namsaka sana mtoto wa Kajala maana ile mipaja ya mama yake kwenye Biko mshiko nje njeeeeee inanipa wkt mgumu sana
Mtu mzima yule sasa,

Watoto wenzie hawataki tena,

Kwa sasa wanapakua watu wazima tu
 
Kule ukishakuwa mfungwa si wananyolewa upara??
 
Huko jela hakuna wafungwa wengine utuambie hali zao.
 
Hakusema hayo baada ya kujisahau na kumpiga vijembe mama kanumba.
 

Binti mdogo alikuwa anafanya nini usiku wa manane chumbani kwa mwanaume? Alipelekwa kwa lazima au alienda peke yake kwa mapenzi yake? Acha kutetea Crap! Hta mama lulu ovyo tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…