Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,576
- 13,545
- Thread starter
-
- #361
Msingi ya dini nyingi inakataza watu kuujua ukwelikuna waafrika wa dini ile ni wabishi hawataki kuujua ukweli
Yah yaani ukiitembea dunia unakuwa mengi unayajuaSijakuelewa msomi unamaanisha nn????Kama kuijua kwa kusafiri,naijua kiasi chake msomi.Na naendelea kusafiri,this time nitaelekea pacific ocenia zone,s mambo yakikaa murua.
Ndio maana ukikaa na watu waliosafiri safiri inakua rahisi hata kufanya nao biashara kwa haraka tofauti na watu wasiosafiriYah yaani ukiitembea dunia unakuwa mengi unayajua
Hii pointi nitaitunza nijifunze kitu kwenye maisha yangu ya kusafiri safiri msomiHawa shida ni ishu ya dini zao na pia exposure ni tatizo.Hata wazungu wabaguzi ni wale primitives wa mashambani ambao awajawahi tembea
Ukitaka kusafiri Sana na kuijua dunia kuwa bahariaHii pointi nitaitunza nijifunze kitu kwenye maisha yangu ya kusafiri safiri msomi
unakuta wanaume watu wazima wamejirundika kwenye jumba fulani wanalishwa matango pori huku wameacha shughuli zaoMs
Msingi ya dini nyingi inakataza watu kuujua ukweli
Dini sio mbaya ila akili za kuambiwa changanya na zako msomiunakuta wanaume watu wazima wamejirundika kwenye jumba fulani wanalishwa matango pori huku wameacha shughuli zao
Nimekusoma mkuu.Ila kampuni nyingine za meli miyeyushoUkitaka kusafiri Sana na kuijua dunia kuwa baharia
Dini ya uislam ni ya Mwenyezi Mungu, na wao ni binaadam..Ni hapo inaposhangaza muafrika anakumbatia mila na desturi za hao wabaguzi. Hawa ni kuwaachia hata lile dini lao la balaa walilolieneza afrika. Dini likawa la chuki baina ya wafrika na waafrika. Waafrika ndio kwanza wanajinasibu na wao wana unasaba na watu hao wanaowabagua. Liwalo na liwe atokee kiongozi jasiri wa kiafrika aseme hataki mila, desturi na tamaduni za watu hao wabaki nazo hukohuko kwao
hapo unapoandika dini ya uislam ni ya mwenyezi mungu unakosea. Kuna ambao hawaamini uislam na kuona ni dini ya shetani nao wako sahihi kwa mtazamo waoDini ya uislam ni ya Mwenyezi Mungu, na wao ni binaadam..
Jirani nilijua upo dubai kwa wazanbar wenzio mliochangia dubai kuendelea🤣🤣Usishangae, bofya chini hapa ukamsikiluze dhahabu nyeusi 👇🏾
Huyu Mwafrika mwenzetu "anatisha", anaongea maneno mazito sana kuhusu ujinga wa Waafrika
Kama kichwa cha habari kinavyosema, katika pita pita yangu mtandaoni nimekumbana na hii video. Kwa mtazano wangu, huyu jamaa ana upeo, muono na mawazo mapana sana na ana kipaji cha kuzifikisha fikra zake kwa ufasaha na utulivu wa viwango vya juu kabisa. Ana uchungu na ujinga wetu Waafrika na...www.jamiiforums.com
Mie bado nnajipanga kuyasaka ma fursa kibao ya hapahapa. In shaa Allah yatajipa tu. Inabidi tuzichangamkie sana fursa, vijana wetu walio ubaoni wapate vya kufanya.Jirani nilijua upo dubai kwa wazanbar wenzio mliochangia dubai kuendelea🤣🤣
Nakuja zenji tuonane mtu mzima mwenzanguMie bado nnajipanga kuyasaka ma fursa kibao ya hapahapa. In shaa Allah yatajipa tu. Inabidi tuzichangamkie sana fursa, vijana wetu walio ubaoni wapate vya kufanya.
Tatizo kubwa tunalo sisi waafrika wabantu wenyewe! hatujithamini na hatujikubali, unategemea nani atakuthamini ikiwa wewe mwenyewe hujithamini???Kwa wale wanaopenda kujinasibisha na watu wa Afrika ya Kasikazini na kuwaita Waafrika wenzao nadhani mmesikia alichosema Raisi wa Tunisia kuhusu Waafrika wabantu.
Waafrika popote walipo ni wahanga wa ubaguzi iwe Afrika, Ulaya, Asia au Amerika. Yote kwa sababu tumeacha asili zetu, dini zetu, majina yetu, imani zetu na tamaduni zetu na kukumbatia vya wageni na kuita vya mababu zetu ushenzi.
Waafrika Wabantu hatujitambui na nafasi yetu katika hii Dunia
=====
Tunisia’s president, Kais Saied, has told a meeting of security officials that migrants are part of a wider campaign to change the demographic makeup of the country and make it “purely African”.