Maneno ya Rais wa Tunisia ni dharau kwa Waafrika

Maneno ya Rais wa Tunisia ni dharau kwa Waafrika

Uislamu na uarabu ni vitu viwili tafauti.
Umewahi kuona mwarabu ni dini nyingine tofauti na uislam? Waarabu ndiyo wamiliki wa uislam na ndiyo maana ile kitu ya kumpigia sheitwaan mawe iko uarabuni na waislam huenda huko kuhiji. Wengine ni wahanga tu wa kuabudu mila na desturi za kiarabu (dini)
 
Wale si waafrika, mipaka ya mabara imewaingiza ili ramani ya afrika iwe imetengenishwa na maji na mabara mengine. Ndio maana huwa hakuna hamasa sana timu zao zinapofika hatua za juu kwenye michuano ya kidunia tofauti na nchi za weusi. Tunisia ni nchi ya ulaya yenye unasaba na uarabu iliyopo afrika. Morocco, algeria, misri na tunisia zina nyodn sana kwa waafrika wenzao na ndiyo maana wapo kwenye umoja wa nchi za kiarabu duniani
Kwanin hawapo kwenye umoja wa ulaya?
 
Huwa inashangaza sana! Unakuta mwafrika mweusi tii na nywele fupi za kibantu gari yake kabandika stika islam is my dean bila aibu. Kwa mwarabu ni sawa na inapendeza maana ni dini yao ya asili. Cha ajabu zaidi waafrika kwa waafrika wanagombana kwa ajili ya hiyo dini kama wale waafrika wabantu kule kaskazini mwa nigeria wanatia aibu afrika
 
Ufaransa ni nchi ya ulaya yenye waafrika weusi wengi. Hao weusi nao ni watu wa ulaya, tena wapo huko na dini yao. Kwa hiyo afrika ina mataifa yasiyo ya kiafrika ni mataifa ya kiarabu yaliyopo afrika
 
Ufaransa ni nchi ya ulaya yenye waafrika weusi wengi. Hao weusi nao ni watu wa ulaya, tena wapo huko na dini yao. Kwa hiyo afrika ina mataifa yasiyo ya kiafrika ni mataifa ya kiarabu yaliyopo afrika
Mataifa ya afrika kaskazini yanadai wao sio pure african kama alivyosema mh raisi kaisi sababu kwa wao ukisema afrika sio bara bali ni watu wenye ngozi nyeusi.Kuhusu ufaransa ni kama unavyoona marekani,kuna mchanganyiko wa watu wengi wahamiaji na waliozaliwa huko na wote wanakubalika.Ulaya ni tofauti na afrika au asia
 
Uislamu na uarabu ni vitu viwili tafauti.
Hapana mkuu huwezi kuutenganisha uislamu na uarabu.Kwanza vitabu vya dini ya kiislamu vimeandikwa kwa lugha ya kiarabu,wanasali dua zao kwa lugha ya kiarabu,mungu wa waislamu ana majina ya kiarabu,mwanzilishi wa dini ya kiislamu alikua mwarabu,mavazi ya itikadi za kiislamu yamejinasibisha na tamaduni za kiarabu na maeneo yao matakatifu yapo uarabuni na hata majina ya wafuasi wa dini ya kiislamu lazima yawe ya kiarabu mfano mzuri jina lako mkuu.So huwezi kutenganisha uislamu na uarabu kua mkweli tu msomi mwezangu
 
Ubaguzi upo katika jamii zote hata waarabu wenyewe kwa wenyewe wanabaguana wanabaguana na waafrika wenyewe kwa wenyewe tunabaguana. Mwarabu wa Oman anaweza kuwa anajiona bora kuliko msudani na mmisri na myemeni akiona bora kuliko msiria. Hebu kumbukeni huku Afrika mauaji ya kimbari yaliyotokea Rwanda mwaka 1994 chanzo ni nini kama siyo ubaguzi Tena uliopandikizwa na wazungu wa ufaransa na ubelgiji?! KWANI MAUAJI YA RWANDA YALIKUWA KATI YA WAARABU NA WAAFRIKA AU NI WAHUTU NA WATUTSI AMBAO WOTE NI WAAFRIKA?! Ubaguzi kila sehemu upo siyo kwa waarabu tu!
Upo sahii msomi ila mada ilikua issue ya tunisia.
 
Na wakristo na wao waachane na dini ya kikristo iliyoetwa na wazungu wa bara la ulaya?! Mimi kwenye uislamu hunitoi. Na najua waarabu walikuwa na matatizo yao kabla hawaingia kwenye uislamu sasa matatizo ya waarabu hayana uhusiano kwa namna yoyote na dini ya Kiislamu. Uislamu ni dini iliyochaguliwa na Mola muumba kwa ajili ya watu wa mabara yote na kupewa mtume mwarabu ailete kwetu haimaanishi kuwa ni dini ya waarabu.
Msomi kuna kitu sijui unakikwepa au sababu ya imani yako unaogopa kukijadili ila tuwe wakweli tu.Hizi dini mbili ukristo na uislamu zilibuniwa na watu wa hapa duniani alianza Yesu na baadae akafuata Muhamad na ndo maana mungu wa waislamu anaitwa kwa jina la kiarabu Allah na mungu wa wakristo anaitwa kwa kiyahudi Yehovah na mwanae Yesu.Huwezi kuitenganisha dini ya kiislamu na uarabu na huwezi kuitenganisha dini ya kikristo na uyahudi.Hata wafuasi wa dini ya kiislamu wanajinasibisha na uarabu na wafuasi wa dini ya kikristo wanajinasibisha na uyahudi.
 
raisi wa tunisia ni mfano wa kuigwa katika marais wa afirika kwanza alifuta bunge mahakama akabaki na bunge tu kisha katengeneza katiba inayo watambua walahoi wasio jiweza kulipwa posho ya kujikimu kila mwezi
Nina wasiwasi na uelewa wako wa siasa za tunisia.Nadhani unajibu kishabiki zaidi kuliko kama msomi na mchambuzi wa siasa za afrika kasikazini.
 
waarabu walioko ufaransa ni wengi sana walisha zaliana na wafaransa tatizo watu weusi atushi kulialia kutafuta huluma kwa watu weupe kala mala waarabu wanatubagua wanawabaguaje wamechuka utawala wenu wanchi?
Msomi ushawahi kuishi ufaransa au unaongea tu?????Ufaransa kuna jamii za machotara wa kiarabu na wazungu,kuna jamii za machotara wa kiarabu na waafrika na kuna jamii za machotara wa kizungu na kiafrika.Na kuna jamii za waarabu watupu na kuna jamii za waafrika watupu.Lakini jamii yenye nguvu kiuchumi,kisiasa ni wazungu pure wa asili ya pale na ndio wengi na wenye nchi na wabaguzi pia hasa katika siasa za mlengo wa kushoto.Kakae paris au mji mwingine wowote ule ufaransa uone jamii za kiarabu za wazawa na wahamiaji zinavyolalamikia ubaguzi kuliko jamii za waafrika.
 
ukweli gani alio usema hapa kazi kulalama tu tunabaguliwa tunabaguliwa hao wazungu wasio wabagu sindio walio wakata vichwa watemi wetu? sindio walio watenga watu weusi kule amerika dawa sio kulia lia chukua hatua
Msomi changia hoja kama msomi mwenye uelewa wa mambo ya siasa za duniani acha kujibu hoja kama watoto waliopata degree mwaka jana jinsi wanavyojibu hoja.Ukiweka hisia za nasaba za kidini,huwezi kuchangia hoja katika mada kama hizi msomi
 
Hivi hso watunisua,misri,libya, algeria wanatusaifia nini ? Hawans lolote ka maana.Wapo bara la giza kama sisi

Sio nvhi zenye nafuta mengi ukiondoa libya .
Hawana teknolojia ya kututishia.
Hawana migodi mikubwa ya sisi kuwaonea wivu.
Hawana mbugw za wanyama kama TZ.
Hawana ardhi yenye rutuba kama iliopo Tanzania.
Ndugu zao wamejaa ktk nchi zetu za wabantu na kufaidi rasilimali zetu kuliko sisi tulivyojaa nchi zao.
They migrate more in our countrie than we migrate to them.
Upo sahii msomi na hii ndio sprit waafrika wanatakiwa waijue.WAITAMBUE
 
Elijah muhamad alifundishwa na waarabu huo uislam.Na malcom mpaka anakufa aliamini katika arab naization na sio africanism.Ndio maana alijibatiza mpaka majina ya kiarabu
Hapa nakutoa maana rasmi maana unaongea vitu pasipo na ujuzi labda mijadala ya vijiwe vya kahawa itakufaa zaidi .

Elijah Muhammad hakufundishwa na Waarabu bali na Wallace D Fard ambaye yeye alidai kuwa huyo ni Allah amekuja duniani kwa umbile la mwanadamu kuukomboa ulimwengu na kumkabidhi yeye Elijah Muhammad Utume jambo ambalo ni kinyume na uislamu na angeenda nchi za kiarabu na itikadi yake hiyo angeuwawa.View attachment 2535323

NB: Rasmi sasa nakupuuza maana kwa levo ya ujinga na upumbavu uliyofikia haustaili tena kujadiliana na watu wanaojielewa ,mtu jambo hauna ujuzi nalo unajivika usemaji na kushupalia kama mtalaamu #PoorYou

Nelson Jacob lushasi
[/QUOTE]
MKUU USIKATAE UKWELI IDEA ZOTE ZA UISLAMU NA MUNGU ANAYEITWA ALLAH ELIJAH MUHAMMAD ALAZITOA KWA WAARABU AKACHANGANYA NA ZAKE NA AKAANZA KUFUNDISHA WATU.TATIZO LAKO UNAISHI KWENYE VITABU NA KUAMINI WAANDISHI WA VITABU WAKATI WAO NI BINADAMU NA WANA UTASHI NA MAPENDEKEZI YAO.TOFAUTI NA WATU KAMA SISI AMBAO TUMEZUNGUKA DUNIA NA KUUONA UHASILIA NA SIO KUAMINI KILA KITU KINACHOANDIKWA NA WAANDISHI WA VITABU.
 
Back
Top Bottom