Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UCT wanaelewa. . Tz je?Kwenye geti la chuo kikuu cha Cape Town nchini Afrika kusini kuna maandishi yasemayo "Ukitaka kuangamiza taifa lolote duniani huhitaji kutumia silaha za nyuklia wala mabomu ya atomic. Njia nzuri ya kuangamiza taifa ni kuharibu mfumo wa elimu. Ruhusu "mbumbumbu" waonekane wamefaulu na wasonge mbele.
Matokeo yake yatajionesha baada ya muda, "mbumbumbu" hao wakishahitimu. Wagonjwa watafia mikononi mwa madaktari, majengo yataanguka mikononi mwa wahandisi, pesa zitapotelea mikononi mwa wachumi, utu utapotea mikononi mwa viongozi wa dini, na haki itapotelea mikononi mwa mahakimu. Kuchezea elimu ni kuangamiza taifa
aiseeeeeIkiwa viongozi wanaotawala waliopata elimu hii hii inamaanisha vichwani ni sifuri, na km wao wenyewe ni sifuri watapata wapi ujuzi wa kutambua kuboresha elimu!?
Neno kuntukusahihisha mitihani kwa njia ya mashine kumepekekea wanafunzi kufanya mitihani ya hesabu kwa njia ya kuchagua maswali bomu hilo
usitoze michango ya walimu wa ajira za muda huku shule nzima walimu wa sayansi na hisabati ni wanne tu bomu hilo
tunapanda mbegu ya uharibifu sisi wenyewe
Watoto wanamaliza drs la saba hawajui kusoma lakini cha ajabu wanachagiliwa kwenda sekondar.Kama hii elimu bure
Tunajaza matahira ndani ya miaka 10 ijayo
Oral examinations na practicals ndio zilikua zinanifanya nisome wakati niko chuoni,.Nafikiri kwa upande wa elimu ya chuo. Tuache kutumia written examinations kama njia ya kupima uelewa na ufaulu wa wanafunzi. Tubase kwenye kupima competence, ya mwanafunzi kwa oral examinations na practicals.
mkuu una uhakika na hayo? wewe umesoma hesabu? kuchagua ni kubaya, mbona vyuo vikuu yapo na watu hawafaulu!kusahihisha mitihani kwa njia ya mashine kumepekekea wanafunzi kufanya mitihani ya hesabu kwa njia ya kuchagua maswali bomu hilo
usitoze michango ya walimu wa ajira za muda huku shule nzima walimu wa sayansi na hisabati ni wanne tu bomu hilo
tunapanda mbegu ya uharibifu sisi wenyewe