ukhuty
JF-Expert Member
- Oct 9, 2016
- 16,879
- 41,971
[emoji23] [emoji23] [emoji23] umeniacha nimecheka khaaKama hii elimu bure
Tunajaza matahira ndani ya miaka 10 ijayo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] umeniacha nimecheka khaaKama hii elimu bure
Tunajaza matahira ndani ya miaka 10 ijayo
Hata mimi ningefurahi kuona hayo maandishi ya kiswahili kwenye hilo lango aisee....Mkuu, picha ya maandishi kwenye hilo lango ingependeza sana!
Kabisa mkuuKuna watu vyuoni huko wanasikitisha sana.
Heheheheeeeng'ombe zimejaa vyuoni
Kwani cherehani zinahitaj elimu ganiVioni kuna vituko na mashuleni kuna uozo, alafu tunahubiri serikal ya viwanda, labda v-war nda.
Huyu ndiye alitaga mayai ya mbuni kabisaNikimkumbuka Mlugo nalia jamani,hihihihihihi.
Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
Hapo kitambo wakati wa Mwalimu mwenyewe tulikua sawa.Ikiwa viongozi wanaotawala waliopata elimu hii hii inamaanisha vichwani ni sifuri, na km wao wenyewe ni sifuri watapata wapi ujuzi wa kutambua kuboresha elimu!?
Chuo kikuu gani wanachagua hesabu??mkuu una uhakika na hayo? wewe umesoma hesabu? kuchagua ni kubaya, mbona vyuo vikuu yapo na watu hawafaulu!
Hahaaaaaaaaaa yule jamaa kwel pale JK alitaka kuteketeza hii sektaNikimkumbuka Mlugo nalia jamani,hihihihihihi.
Sent from my Vodafone Smart Tab 3G using JamiiForums mobile app
Kwenye geti la chuo kikuu cha Cape Town nchini Afrika kusini kuna maandishi yasemayo "Ukitaka kuangamiza taifa lolote duniani huhitaji kutumia silaha za nyuklia wala mabomu ya atomic. Njia nzuri ya kuangamiza taifa ni kuharibu mfumo wa elimu. Ruhusu "mbumbumbu" waonekane wamefaulu na wasonge mbele.
Matokeo yake yatajionesha baada ya muda, "mbumbumbu" hao wakishahitimu. Wagonjwa watafia mikononi mwa madaktari, majengo yataanguka mikononi mwa wahandisi, pesa zitapotelea mikononi mwa wachumi, utu utapotea mikononi mwa viongozi wa dini, na haki itapotelea mikononi mwa mahakimu. Kuchezea elimu ni kuangamiza taifa
Wewe Google tu, utayaona pale kwenye lango la kuingilia chuo.Hayo maneno na yenyewe pia yameandikwa hivi hivi kwa Kiswahili Mkuu au? Kama yameandikwa kwa Kiingereza basi tunakuomba utuandikie hapa mubashara / live ili na Sisi pia tuweze kuyatafsiri vizuri kwani katika Saikolojia kila Binadamu ana mtazamo wake juu ya jambo / kitu / taarifa fulani.
Wewe Google tu, utayaona pale kwenye lango la kuingilia chuo.
unajua maana ya elimu ya msingi? unamjengea mwanao tabia ya kuchagua majibu ya hesabu?mkuu una uhakika na hayo? wewe umesoma hesabu? kuchagua ni kubaya, mbona vyuo vikuu yapo na watu hawafaulu!
Ujumbe mwananaKwenye geti la chuo kikuu cha Cape Town nchini Afrika kusini kuna maandishi yasemayo "Ukitaka kuangamiza taifa lolote duniani huhitaji kutumia silaha za nyuklia wala mabomu ya atomic. Njia nzuri ya kuangamiza taifa ni kuharibu mfumo wa elimu. Ruhusu "mbumbumbu" waonekane wamefaulu na wasonge mbele.
Matokeo yake yatajionesha baada ya muda, "mbumbumbu" hao wakishahitimu. Wagonjwa watafia mikononi mwa madaktari, majengo yataanguka mikononi mwa wahandisi, pesa zitapotelea mikononi mwa wachumi, utu utapotea mikononi mwa viongozi wa dini, na haki itapotelea mikononi mwa mahakimu. Kuchezea elimu ni kuangamiza taifa
yani kma nilikua sijanunuliza vifaa vya ujenzi ni hapohapo nawapangisha foleni unasaini unapewa cha kwako hiyo yote ni kwa faida yao kama wanaona ni hasara unaachana nao wasubiri serikali iwajengeeHuku kwetu kuanzia Jana wazazi wamejazana ofisi ya kijiji wanadai pesa zao walizo zitoa kama michango ya kwenda kufyatulia tofali ili tujenge secondary ya pili,kisa cha kudai ni mkuu kasema ,haki vile tunaizika elimu yetu kiziko ambacho hakijapata kutokea naonea huruma sana Taifa langu nalia machozi yamasikitiko eehh Mungu tumekukosea wapi baba khaa