princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,245
- 18,347
sanaHali ni mbaya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sanaHali ni mbaya.
Bora umepanua mapafunimecheka sana
Wanyime na mkwanja.Wanasema pia ukitaka kuwatawala milele wananchi wako wanyime elimu bora
Humuoni Kim jong unWanasema pia ukitaka kuwatawala milele wananchi wako wanyime elimu bora
Kweli kabisa naishi karibu na chuo fulani huku Morogoro hao wanafunzi huwa wananishangaza tabia zao hadi najiuliza "hawa ndio wataenda kikabidhiwa maofisi"?!sasa hivi kufaulu Std7/ Form4 ni very simple...
huko vyuoni ndio kumejaa watu wasiojitambua
Kweli kabisa naishi karibu na chuo fulani huku Morogoro hao wanafunzi huwa wananishangaza tabia zao hadi najiuliza "hawa ndio wataenda kikabidhiwa maofisi"?!sasa hivi kufaulu Std7/ Form4 ni very simple...
huko vyuoni ndio kumejaa watu wasiojitambua
Mkuu hizi oral examinations ujue ndizo zilinikimbiza BVM aisee!!Oral examinations na practicals ndio zilikua zinanifanya nisome wakati niko chuoni,.
Oral examination ya kwanza nilifanya nikiwa std 7 wakati nafanya mtihani wa kujiunga na Seminary.Ni mfumo mzuri sana wa kutahini
Hahhahaghaa....Shule yetu ya Kata hapa mjini imerundika watoto 3000 kwenye miundombinu ya watoto 400 sasa hivi wanasoma kwa shift, mwakani tunategemea "Zero" (isome kama kiswahili) 300. Hii ndiyo elimu bila malipo,, halafu mipumbavu inazuia shule za private zisikaririshe ng'ombe!
Mkuu walimu hawana kitu kivipi ilhali ufaulu unapanda kila mwaka..Elimu ya tanzania inasikitisha sana, walimu kichwani hamna kitu wanafunzi wanawaza mapenzi na mavyuoni ni hivyo hivyo