Mange amshambulia Lulu

Sina mapenzi kabisa na watu wa bongo move,kila kitu wao nikuigiza tu nakuigiza kwenyewe hawajui,kwanza wengi wao maisha wanayoishi na kiki walizo nazo tofaut,hohe hahe hawa shubaaaaamiti
 
Sijawahi kutoa maoni yangu kuhusu mange anachoandika,ila kwa haya yuko sahihi sana tena zaidi ya sana.kwa kuwa baadhi ya wnawake wenzie hapa jukwaani wametokea kumpinga bila hoja za msingi.watu wasiangalie siku za nyuma mkuu mange alisema nini,wavae koti kama vile wao walikua wanamtegemea kanumba,yaani wawe mama kanumba ndio watamuelewa mkuu mange kimambi,
 
Sioni tatizo kwenye hii article... kama ni kweli ndicho Lulu anachokifanya anakosea kwa kiasi kikubwa.... sidhani kama inahusiana na bifu.... Yote aliyoyaongea yanagusa.
 
Elimu kubwa ya kujiuza Dubai hadi akampata huyo mzungu na kumganda kama ruba hadi kuzaa nae na baadae kutemwa kama Big G ya sh.100 au Elimu kubwa ya kushinda mitandaoni na kutukana watu ili apate followers wengi??

Bro, don't abuse the word ELIMU.
Hata kama walikutana chooni lakini mzungu alimuoa na alikuwa mke halali. Kuachana ni matokeo tu.
 
ccm kila siku kuna watu maalum kwa ajiri ya kuangalia kaongea nn ili wamjibu....naamini na hapa polepole anaweza kutoa tamko kabisa
 
Mkuu ubarikiwe tena!
 
Huyo Death agent atakapofungwa tuiombe mahakama iamuru awekwe kwenye sero ya peke yake! Maana historia yake inaonyesha kuwa mtu yeyote aliye karibu naye yupo kwenye death zone!!
 
Hapo hajatibuliwa vuzi,, akitibuliwa cjui itakuwaje
 
Huyo Death agent atakapofungwa tuiombe mahakama iamuru awekwe kwenye sero ya peke yake! Maana historia yake inaonyesha kuwa mtu yeyote aliye karibu naye yupo kwenye death zone!!
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Kwani Mange ni nani jamani? Mi mpaka leo nasikiaga tu habari zake lkn simjui ni nani
 
Huyo Death agent atakapofungwa tuiombe mahakama iamuru awekwe kwenye sero ya peke yake! Maana historia yake inaonyesha kuwa mtu yeyote aliye karibu naye yupo kwenye death zone!!
Sijajua chochote kuhusu Lulu lakini siamini pia kama ana uwezo mkubwa wa kuweza kuua. Hiyo ni mikasa katika maisha mkuu.

Wapo wanawake wakiolewa tu waume zao hufa, bhasi huyo mwanamke huwa ni ngumu kuolewa haswa, anabaki kunyooshewa vidole, kama hujitaki kaoe pale.

Pia wapo wanaume wa namna hiyo, so huwa siamini sana kwenye hivi vitu, ila nimewahi kuvisikia sana.
 
Huyo Death agent atakapofungwa tuiombe mahakama iamuru awekwe kwenye sero ya peke yake! Maana historia yake inaonyesha kuwa mtu yeyote aliye karibu naye yupo kwenye death zone!!

Kha wivu Bhana ...! Kwahyo Watu wote waliokufa katembea nae yeye ??? vp kuhusu Ali Kiba. Achen hizo Au nyie mabwana zenu wataishi milele
 

Inawezekana Lkn ..back to lulu kafiwa na wanaume wawili tunaowajua na kwa akili ya kawaida tu hawezi akawa katombwa na wanaume wa2 Maisha yake yote..Ni mitihani tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…