Mange asutwa live

Status
Not open for further replies.

Sasa wao wanamchamba hadi kiswahilii utafikiri anajua kiswahili huyo mnugu ma yoweeee
 
Sasa wao wanamchamba hadi kiswahilii utafikiri anajua kiswahili huyo mnugu ma yoweeee

Ukiona hivo wamepaniki wakati ni kweli wametangaza bidhaa bila ridhaa yake matusi hayawasaidii kitu wajipange tu vizuri
 
Kwanza product ni ya kwakwe au siyo? Kuondoa kwake trade mark bado hakumpi haki ya kuwa mmiliki wa product husika!

Alicho kifanya ni sawa na mtu kununua coca-cola halaf anaondoa hile trade mark pale juu na kuandika jina lake ,mfano unaondoa neno "coca-cola" na kuandika neno " Mange soda" lakini ingredient za product bado zipo pale pale na unauza, ukikamatwa ni mwizi!

Alicho takiwa kufanya Mange ni kuwa siliana na wenye product wa saini deal na alipie gharama za product design au ange kuwa ana yanunua kama yalivyo na kuyauza na yeye ana kuwa kama Agent tuu!

Alicho fanya ni wizi mkubwa watu wana tumia muda na gharama kubwa kudesign product halafu yeye anazichukua na kuweka jina lake!

Angekuwa ana fikiri vyema ange badilisha product design!

Nita washangaa sana hao jamaa wakimuacha hivi maana Nina uhakika kawatia hasara na ametumia product yao kujipatia pesa!

Hivyo Mange ni mwizi kama wezi wengine na kama watampeleka mahakamani ita mgharimu sana.
 
MBA Ndio ilimfundisha kucopy na kupaste bila ruhusa shoga. Like garasha na si MBA. Business Ina process zake yeye kujitia international hajui copyright na trademarks ??? Hii bonge la Kesi kibiashara za kisomi.yule mmachinga full stop

safi sana naona tena mswazi dot com wapiiiiii team mangeeeeee.....!yamewashukajeeeee....!njoooni njooooni!
 

hahahaaaaaa....!na hivi wengine hatujui chochote maaamumaa tu leo kutudanganya jamani kkaah we mange weeeee.....!waumiza roho yangu mieee!
 

hahaaaaaa binamu mbayaaaaa.....!
 
Trebellawigs amekanusha madai ya mange kwamba alitoa oda. A mmesema hakuna oda yeyote ambayo mange alifanya. Amekimbiwa atoe ushahidi wa risiti ya malipo ya hiyo sample ya wigi la Afro kinky
 
Trebellawigs amekanusha madai ya mange kwamba alitoa oda. A mmesema hakuna oda yeyote ambayo mange alifanya. Amekimbiwa atoe ushahidi wa risiti ya malipo ya hiyo sample ya wigi la Afro kinky

team mange wapiiii.

!hai hoi.....??????!!!
 
hahahaaaaaa....!na hivi wengine hatujui chochote maaamumaa tu leo kutudanganya jamani kkaah we mange weeeee.....!waumiza roho yangu mieee!

Mmh alituweza maana wengine apa umbea mwingi hata mambo ya shipping cost hatuyajui, mmh kweli mange alituweza ila mna ijeria kamuweza zaidi, leo hana hamu mbil haikai tatu haikai chezea mama shipping cost weye
 

Mange doesn't have that brains she is insane totally insane without knowing kwamba ni mgonjwa mbaya zaidi ana supporters ambao ni insane kama yeye
Nyerere angekuwepo angekula viboko na angerudi bongo by foot
 
Mmh alituweza maana wengine apa umbea mwingi hata mambo ya shipping cost hatuyajui, mmh kweli mange alituweza ila mna ijeria kamuweza zaidi, leo hana hamu mbil haikai tatu haikai chezea mama shipping cost weye

yani hapa nasubir ntulie niinhie vzr ig nkaone umbea huko maana sijatulia vizuri ila mange leo kajuuuuttraaaaaa....!akomeeeee.... ushazoea dagaaaa...lako hiloooo limekuganda najua misukule yako itasomaaa hapa leo japo kimya kimya!hilooooooooo......!umefuliaaaaa.....!
 
Mmh alituweza maana wengine apa umbea mwingi hata mambo ya shipping cost hatuyajui, mmh kweli mange alituweza ila mna ijeria kamuweza zaidi, leo hana hamu mbil haikai tatu haikai chezea mama shipping cost weye

Aisee kama kuandika anaandikaa Mangee yaan ukiingia blog yake yaan ni gazetii mpaka unachokaaa duuuu ni sheeeeedaa leo mzungu havuliwi chupii leooo
 

Watu wabaya binamu, uko insta wakienda wanamsifia mange na kum support wakienda kwenye blog yake vichambo kama kawa chezea wabongo wewe aka machakubimbi
 
Trebellawigs amekanusha madai ya mange kwamba alitoa oda. A mmesema hakuna oda yeyote ambayo mange alifanya. Amekimbiwa atoe ushahidi wa risiti ya malipo ya hiyo sample ya wigi la Afro kinky

Chagga bebi kamwambia Mange waweke bank statement zao tuone nani mwenye fwedha mingii et chagga anamzidi mshahara hubby wa Mange, Mange anachambajee uwiiiiiiiiii natamani nijoin insta leoo
 
Watu wabaya binamu, uko insta wakienda wanamsifia mange na kum support wakienda kwenye blog yake vichambo kama kawa chezea wabongo wewe aka machakubimbi

Kwenye blog yake ukimchamba anakublock huyoooo hahajhhhhhhaaaaaaa
 
Watu wabaya binamu, uko insta wakienda wanamsifia mange na kum support wakienda kwenye blog yake vichambo kama kawa chezea wabongo wewe aka machakubimbi

hahaaa wanauma na kupuliza saaafi leo sjui km atalala no shipping no air line no e business hapo ndo yuko ulaya kweli kunguru hafugiki mana hiyyo michambo lllloooooh!
 
Jamanii nataka kusoma michambo ya chagga bebii mbona siioni maana naona nae anachambwaaa loo,wapii linda chamba kabisa huyo mange anamchambaga mtoto wako wakati nae anae wa kike helooooiiii

Hahah Dinazarde umechelewa umbea leo shostisto...
 
Last edited by a moderator:
Aisee kama kuandika anaandikaa Mangee yaan ukiingia blog yake yaan ni gazetii mpaka unachokaaa duuuu ni sheeeeedaa leo mzungu havuliwi chupii leooo

Leo kakamatika badala ya kujibu tuhuma zake anaanza kumalizia wengne hasira akina linda na.chaga baby badala arekebishe mambo anatukana matusi wakati mwenyewe ana watoto ni shida hao.wanamsifia upuzi tu.wakienda kisheria ataumia
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…