Jamani mlitaka aache mjue anapozitoa biashara yake iharibike?Halooo ya international business woman anaekopi vya wait an kufuta logo heheheh
Shogangu mgumu kuelewa khaaaaa.
Division 5 inakuhusu!!!!!
Bwana ya u turn siyo hiii.
Shosti tuwe tunaitana basi kwenye mambo matamu kama haya
Binamu huyo ndo anajifunza umbea bhana, nenda nae taratibu atazoea tu si unajua tena humu ndo habar ya mujini
Tatizo ni moja tu kimbelembele tu.
Umetuma email hujajibiwa haimaanishi umekubaliwa.
Mpaka kuchukua picha za bell na kuzitangaza kwa ig yake wakati hujajibiwa.Na hamna makubaliano.
Kinachomponza ni hiko tu mchecheto.
Baada ya kina lb kuweka mapost ye angemtafuta mnugu angemuelewesha naimani wangeelewana tu maana na yeye ndo hapo angepata kazi nyingi na si kuanza kuchamba watu.Hajaitendea haki hiyo masters yake.
Wenu kwenye umbea
BADILI TABIA huko ig ya tribellawigs inachekesha wabongo wanacoment kiawahili na matusi juu as if mwenyewe anawaelewa.
Looo Dinazarde leo anapitwajeeeee.
Ila bibie kakosea angeomba msamaha kiutuuzima wangeyamaliza yeye kahamia kwa matusi kwa wasiyoyahusu.
Kumbe lb ana beef nae kutokana na kumuibia id ya kazi yake ndo nimesoma leo.
He heheyaaaaaaa
weraweraaaaaaaaa.....!ama kweli Malipo ni hapa hapa duniani!leo leo leo!huyooooo mange mdogo km piritoni
USA hakuna deal .Work hard follow the law .kuchukua picha na kuweka Kwenye website is a crime .TRADEMARK inalipiwa na people pay tax na kila mtu work hard kuwa na good reputation .Mimi ningekuwa mange ningeomba msamaha na nisingeanza matusi na ugomvi.Biashara inahitaji uvumilivu ,compassion na uaminifu .Mange hajui huyu dada .Je akimshtaki FBI as a scammer na IP lawyer akamchunguza mange itakuwaje ?Mange alianza na bongolicious akawa anauza Nguo je hizo Nguo ni yeye ameshona au design ?( imagine mtoto wako anaibiwa na anabadilishwa jina how will you feel ). Mange alikuwa anafanya biashara na mtu yupo Nigeria ( USA na wanigeria wanawaita scammers ni suspect hapa USA ) so number one don't do business na m Nigeria ( unajuaje Huyo m Nigeria ndio alimtenda ?) .Ningekuwa mange ningetulia kimya kuandika matusi makelele ni sigh ya kuwa she is guilt .Kaa tulia na family yako think deep about life na consequences zake .Be nice to people sasa unapotukanaMaskin Mange, kwa hili lililomkuta maziwa yanaweza kukata ghafla ashindwe nyonyesha mwanae mchanga, muoneeni huruma mwanamke mwenzenu hivi mnavyosemsema ndio mnamzidishia machungu. Ni mdada mtafutaji sana.
Sasa matusi ya nn! Dada wa watu analinda haki zake.... yy angesubiri jibu litoke ndio atangaze.. watu wana akili ndogo sana.wajuzi wa business laws watujuze hapa...
Mi kwa uelewa wangu mdogo sioni kama kuna contract hapa ilivyokuwa formed... so mange alikosea
Exactly trademark stealing is a felony na 10 years in prison .Kisheria ni kosa tena kubwa sana tu unless otherwise huyu American asiwe amerejista kazi yake kama ndie owner.
Hayo matusi si Mange ndo kawaagiza (kwa mujibu wa maandishi ya lines za mwisho kwenye blog kwamba "nimewaagiza vijana wangu wakamwambie nywele zangu akizipata azirudishe"..haya ni maneno tu lakini kutokana na tabia ya Mange inamaanisha kawaagiza wakamchambe.)
Binamu umejiandaa? Maana nasikia mange kaenda martial arts kwenye ndondi yupo vizur sasa akikamata mtu yule shughuli yake sio ndogo, maana nina vihistoria vyake alishawahi kudunda watu kadhaa so ombea mungu msikutane live mkutane tu huku jf na insta maana yule mwana mama ni mafia maana ana libezi ukisikia lazima ukae
BADILI TABIA huko ig ya tribellawigs inachekesha wabongo wanacoment kiawahili na matusi juu as if mwenyewe anawaelewa.
Looo Dinazarde leo anapitwajeeeee.
Ila bibie kakosea angeomba msamaha kiutuuzima wangeyamaliza yeye kahamia kwa matusi kwa wasiyoyahusu.
Kumbe lb ana beef nae kutokana na kumuibia id ya kazi yake ndo nimesoma leo.
He heheyaaaaaaa
Binamu umejiandaa? Maana nasikia mange kaenda martial arts kwenye ndondi yupo vizur sasa akikamata mtu yule shughuli yake sio ndogo, maana nina vihistoria vyake alishawahi kudunda watu kadhaa so ombea mungu msikutane live mkutane tu huku jf na insta maana yule mwana mama ni mafia maana ana libezi ukisikia lazima ukae
USA hakuna deal .Work hard follow the law .kuchukua picha na kuweka Kwenye website is a crime .TRADEMARK inalipiwa na people pay tax na kila mtu work hard kuwa na good reputation .Mimi ningekuwa mange ningeomba msamaha na nisingeanza matusi na ugomvi.Biashara inahitaji uvumilivu ,compassion na uaminifu .Mange hajui huyu dada .Je akimshtaki FBI as a scammer na IP lawyer akamchunguza mange itakuwaje ?Mange alianza na bongolicious akawa anauza Nguo je hizo Nguo ni yeye ameshona au design ?( imagine mtoto wako anaibiwa na anabadilishwa jina how will you feel ). Mange alikuwa anafanya biashara na mtu yupo Nigeria ( USA na wanigeria wanawaita scammers ni suspect hapa USA ) so number one don't do business na m Nigeria ( unajuaje Huyo m Nigeria ndio alimtenda ?) .Ningekuwa mange ningetulia kimya kuandika matusi makelele ni sigh ya kuwa she is guilt .Kaa tulia na family yako think deep about life na consequences zake .Be nice to people sasa unapotukana
ndio unaongeza maadui na biashara haiitaji maadui.Akikureport FBI utafanya nini kaa kimya basi yaishe .Siri ya mafanikio ni kujua kitu wewe peke yako wanigeria wa nini ?Life is too short be nice and people will be nice to you .Smile and be happy celebrate life not money .Please God not a society