Mange atoa tetesi za Wema na mama yake kurudi CCM

Mange atoa tetesi za Wema na mama yake kurudi CCM

Status
Not open for further replies.
Haya ndio maneno aliyoyaandika Mange katika ukurasa wake wa instagram

By mangekimambi_ Breaking News Wema Sepetu na Mama yake wanarudi CCM very soon.......Rudini nyuma kuna posti niliweka Wema alipokuwa Rwanda nikaandika kuna tatizo nimeliona. Nilipomuona tu Wema katua Rwanda tena amekacha tarehe ya Mahakama bila uwoga nilijua kuna mkono wa CCM pale na ndo maana nikaandika kuna tatizo, mostly ilikuwa ni Wema kwenda Rwanda ndo nilipojua kuna problem. Alieniletea habari ambae ni mtu mkubwa sanaaaa CCM kaniambia nyumba ya mama Wema inabomolewa kama wasiporudi wamepewa muda wajifikirie. Na notice ya kubomolewa nyumba wameshapewa.

That’s their family house. Ila pia kaniambia Mama Wema keshaamua kurudi sasa hivi anam convince Wema warudi, na ameendelea kwa kuniambia kuwa Wema pia keshaamua kurudi ila anaona aibu kuface jamiii.....Yani unaambiwa Mama Wema alipotajiwa nyuma yake kubomolewa fastaaaa akakubali kurudi CCM. Na kesi kaambiwa akirudi CCM itakwisha vizuri. Asiporudi haitokwisha ni kila siku mahakamani mpaka arudi CCM na anaweza kufungwa kama asiporudi CCM. So hapo ana mawili nyumba ya mamake na kesi yake...... . . .

Kilichobaki ni kutangaza tu!! So Watanzania kaeni sawa anytime Wema Sepetu na Mama yake wanatangazwa kurudi CCM. . . Oh yeah.

Wakirudi CCM Magufuli habomoi nyumba yao!! Na sio warudi Hivi Hivi wameambiwa lazma wamsifie na waseme wameona Chadema haifai yeye ndo anafaaa. . . Kuna habari natoaga alafu sina uhakika nazo na huwa nawaambia kabisa kwa habari flani I’m not very sure Ila hii habari ya Wema naomba niwaambie I’m 100% sure!!!!! Hiii habari nna uhakika nayo kwa asilimia 100. It’s only a matter of time.

Na nna uhakika nayo sababu nimepewa na mtu mzima sanaaaaa. Ambae hata instagram yake kasaidiwa na wanawe kufungua. Ni mtu nnae mweshimu mnooo!! . . .

PS: Ila dah, nna mengi ya kuongea juu ya hili ila ntasuburi siku wakitangazwa kurudi CCM ndo ntaongea...
Mwanza msiwabomolee nyumbazao ndo walionipa kura nyingi
 
huyu mange aache makiki ya kipumbavu ya kumuhusisha mheshimiwa rais na upumbavu wa mama wema

Mama wema saiz yake ni akina stive nyerere

Hiyo nyumba ya mama wema inabomolewa kwa lipi? Iko kwenye hifadh ya barabara au iko wapi?

Mange asitake kuzan kila mtu ni rofa wa kuamini kila upumbaavu anaoandika

Huu upuuz wake hauna nafas kwenye tanzania ya leo

Mtu huhama chama kwa mapenz yake mwenyewe waache kutafuta sababu za kipuuz puuz hapa
Aliwahi kusema kwamba mh.hawezi kwenda Kenya, hadi siku ya tar.27 alishikilia msamamo wake kwamba haamini ,,na ikawa hivyo,so siku zote muda ni rafiki mzuri sana,,tusianze kumsimanga,muda ndio utamsimanga,let's wait
 
KUNA WATU WANAMWAMINI SANA MANGE JAPO HAJAONGEA YEYE,YAANI TAYARI ANAJADILIWA KABISA NA HICHO KILICHOANDIKWA KWA VILE KINAITUKANA CHAMA BABA-LAO BASI MTU BILA KUFIKIRI UTIMAMU WAKE WA AKILI ANAANZA KUJENGA HOJA...HII NI SHIDA
 
Wasihangaike kuwanunua hao watu wachache wengi tuko mitaani hatununuliki na wala hatufahamiki ila kwenye sanduku la kura ndo kwetu

Swala la ushindi haramu ni swala la muda tu.. Hata Mugabe alikuwa mkorofi hivyo hivyo
Kuporwa ushindi ndy tatizo utawala huu haundoki madarakani tena
 
Mange bhana yani hana kazi nyingine kazi ni udaku tu hivi angepitishwa na ccm ktk kura za maoni na kushinda 2015 angeongea hayo au kisa alikatwa jina lake jimbo la kinondoni ktk kura za maoni 2015?

Yeye anasema JPm mi mtu wa visasi je anayofanye yeye sio visasi?
Watanzania tumechoshwa na siasa za kiki mtaani vyuma vimekaza tumechoshwa na siasa waache waendelee na maisha yao na sisi na maisha yetu nje ya siasa.
Udaku upi umechoshwa wewe ndy nyie maccm ndiyo siku roho yako itakapobanwa utamtamani hata mange akusemee
 
Huyu mange ndo jana kasema lile jengo la tanesco ni la lowasa na akadai kama lowasa akihamia ccm halitabomolewa na baadh ya wapuuz wakakubal na kupiga makofi

Huyu dada ashawaona watanzania hawana elimu hivyo chochote asemacho hukikubali na kumpigia makofi
Yanakuumiza nini si usisome lzma usome? Unawashwawashwa na nini?
 
Aliyesema watanzania ni kichwa cha mwendawazimu namtafuta nimpe laki 2 ndo uwezo wangu kwa sasa.
Unaweza ukawaburuza uwezavyo ukawaambia chochote waseme ndio ilihali hawajui kuwa uko wapi kigezo uwe na followers tu na uwezo wa matusi
 
Hivi Mange yuko Canada au US na je huko ana familia au mkimbizi?
 
Wanachama wa vyama vya siasa hawazidi milioni 4 pamoja na CCM. Taifa là Tanzania lina watu zaidi ya milioni 50.Hao watanzania wote wanaoishi maisha ya dhiki Sizonje atawafanya Nini wakati yeye ana shughulika na wana siasa kuwahonga warudi CCM ? Ni sawasawa na mtu kukimbia kivuli chake mwenyewe !
 
Kwa sababu da Mange kasema basi mimi nimekubali siwezi kumbishia da Mange kwakweli...
Watanzania ni wanafki, wansshangaa biashara ya binadamu Libya wakati hata Tanzania biashara hiyo ipo? Watu wanajiuza na kununuliwa kama machangu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom