Mange Kimambi aendelea kutesa na kufunika instagram

Status
Not open for further replies.
Siku izi umeacha kunywa yale mafuta ya kondom.
 
mi naona kama hana hajamzuia tembo kunywA maji,,,coz kuna ma hackerZ kibao tu wangetumwa kumzima bt they keep going and ignor her
 
haki namkubali sana MANGE KIMAMBI yan nikiwa na stress nkienda kwake ntacheka, serikali itanitia huzuni......namoenda kwakweli
 
Dadake daudi aache wivu na kumchukia zari anaboa au ndio kiki za kutelezea.
 
Kumbuka pia kuwa, Siku akiwekwa mikono salama uje umpongeze .
 
Hata mie namkubali sana tatizo lake ni kukaa uchi akijirekebisha kwa hilo atakubalika sana maelezo yake yanaharibiwa na kupiga picha akiwa na chupi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…