Mama Sabrina
JF-Expert Member
- Jul 30, 2016
- 16,620
- 27,589
Kwenye yale makumbusho ya Rwanda waliokufa eti alilia kwelii,,lakin mama yaje kafa hata chozi tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenye yale makumbusho ya Rwanda waliokufa eti alilia kwelii,,lakin mama yaje kafa hata chozi tu
unavyolia kijjn kwenu na kugalagala chini unataka wote wawe na utamaduni huo?
Pambanaa na hali yakoo dada...Usihangaike na maisha ya watu ambao huwasaidiii kulipa bili. Hangaika na familia yako na uchumi wako. Yeye akimlilia mama yake inakusaidia nini wewe?
Natumai ntakuwa baba bora uko mbeleniMalkia dadake na bashite
Bado anaendelea kutesa na kufunika instagram
Kutesa kwa zamu hii zamu ya mange kimambi
Namkubali sana anavyowarusha roho wale wa upande wa pili
Mange ametufumbua macho wengi sana ambao tulikua hatujui yafanyayo hapa tz
Watu wanamuelewa sana mange
Binafsi kwangu ndo kila kitu kinachonipeleka instagram ni yeye tu
Huyu dada mpaka nikahisi yupo CIA au FBI maana si kwa data zile
Team mange forever sasa lete fyokofyoko zako kwa mange uone tukavyotifua tifu na moto wako wa polepole maji makubwa utakua
Wamemshindwa mabashite's jeshi la mtu mmoja
Haki mange nakupendaga ww
Viva mange
NB😛ovu ruksa ila lisiwe la sabuni ya mkopo
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwa sijib ujinga kama huu sahau hakuna mahali jf nishawah kujib hiliDada mtoa mada wewe jinsia gani?
Jitazame ushavisa huendelei yangu hutoyamalizaMie nimebaki njia panda, mwandishi ni Mwanaume au mwanamke!!? Maana Jina na picha ni vya Mwanaume ila uandishi umekaa kimwanamke... Anyway hayanihusu maana hata DAB mule mule
Sent using Jamii Forums mobile app
Jitazame ushavisa yangu huyaweziHUYU MTOA MADA JANA KATOA POST HAPA YA TAARABU ZILE ZA MAJIKE SHUPA.LEO ANALETA POST INAYOHUSU UMBEA UMBEA.AFU NA HILI JINA LAKE KAMA NI MWANAUME BASI NINA MASHAKA NAE.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]hahaha nimecheka sana hapo kwenye povu ruksa ila lisiwe la sabuni ya mkopo.
Team Mange hapa damu damu kitu chochote lazima aseme Mange ndo ntaamini.
Hapa Tz hakuna mtu anayeweza pambana na team domo chapati akabaki salama lakini Mange anawakimbiza na kwenda nao sambamba
Walitaka alivo kuwa analia a record ndo watanzania wajue kafiwaUngemsaidia kulia, pole kwa hiyo misiba
Nimepitia thread zako, nimeona nikusamehe bure [emoji23][emoji23][emoji23]
Mange ni mpare mmoja anaishi kwa usa akili zake ameinvest insta kwasababu pesa Za kula anapewa na baba watoto wake...yule ukimfatilia sanasana utajifunza chuki zakipuuzi tu Hamna mtu paleTeam Mange hapa damu damu kitu chochote lazima aseme Mange ndo ntaamini.
Hapa Tz hakuna mtu anayeweza pambana na team domo chapati akabaki salama lakini Mange anawakimbiza na kwenda nao sambamba
Mange kwa uchambuzi sio mbaya sema anaroho mbaya yule mbinafsi hatarii akifanikiwa tuu ni adui yaani watu wote aliowatukana wako mbali kimaisha hiyo ndo shida ya madam matonya tuu
Sent using Jamii Forums mobile app