Mange Kimambi aendelea kutesa na kufunika instagram

Mange Kimambi aendelea kutesa na kufunika instagram

Status
Not open for further replies.
Malkia dadake na bashite
Bado anaendelea kutesa na kufunika instagram
Kutesa kwa zamu hii zamu ya mange kimambi
Namkubali sana anavyowarusha roho wale wa upande wa pili
Mange ametufumbua macho wengi sana ambao tulikua hatujui yafanyayo hapa tz
Watu wanamuelewa sana mange
Binafsi kwangu ndo kila kitu kinachonipeleka instagram ni yeye tu
Huyu dada mpaka nikahisi yupo CIA au FBI maana si kwa data zile


Team mange forever sasa lete fyokofyoko zako kwa mange uone tukavyotifua tifu na moto wako wa polepole maji makubwa utakua
Wamemshindwa mabashite's jeshi la mtu mmoja

Haki mange nakupendaga ww

Viva mange

NB😛ovu ruksa ila lisiwe la sabuni ya mkopo

Sent using Jamii Forums mobile app
Natumai ntakuwa baba bora uko mbeleni
 
Team Mange hapa damu damu kitu chochote lazima aseme Mange ndo ntaamini.

Hapa Tz hakuna mtu anayeweza pambana na team domo chapati akabaki salama lakini Mange anawakimbiza na kwenda nao sambamba
Mange ni mpare mmoja anaishi kwa usa akili zake ameinvest insta kwasababu pesa Za kula anapewa na baba watoto wake...yule ukimfatilia sanasana utajifunza chuki zakipuuzi tu Hamna mtu pale

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mange kwa uchambuzi sio mbaya sema anaroho mbaya yule mbinafsi hatarii akifanikiwa tuu ni adui yaani watu wote aliowatukana wako mbali kimaisha hiyo ndo shida ya madam matonya tuu

Sent using Jamii Forums mobile app

Hapana hajawahi msema mtu bila kumchomoza ,hata huyo Zari ndo alimuanza Mange kupitia maadui wa Mange
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom