miss strong
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 7,012
- 3,700
Mume wa Shamim anaweza akawa anafanya hiyo biashara haramu lakini bi dada anatake advantage yakumsokonyoa mara kwa mara kwakuwa tu ana ugomvi na mkewe.
Yeye kama mwanaharakati kweli yakutokomeza wauzaji basi afanye utafiti na kujua wauzaji nje ya huyo anayemuita Mr Sembe then mapambano anayoyataka ayafanye.Lakin kitendo cha kuleta uharakati kisa una bifu na mtu fulani ni upuuzi.
Yeye kama mwanaharakati kweli yakutokomeza wauzaji basi afanye utafiti na kujua wauzaji nje ya huyo anayemuita Mr Sembe then mapambano anayoyataka ayafanye.Lakin kitendo cha kuleta uharakati kisa una bifu na mtu fulani ni upuuzi.