Mange Kimambi ahojiwa na Jeshi la Polisi jijini Dar

Jina litakupendeza ati! Mheshimiwa Mbunge BADILI TABIA.

 
hahahaaaaaaaaa...alichanganyikiwa jamani..
mikono kaiona pistooo...
nachekaje sasaaaa....!!
hureeeeeeer nsemboooooo..!!
vibao vya KELBU bwana hapana..!!
vinaumiza haswaaaa!!!
Teh Teh kwa hiyo alipoteza network hadi kashindwa kutofautisha kati ya kiganja na bastola? Alitakiwa atembee na kiboko na angemcharaza kabisa...
 
Kazi ipo hapo wanaompampu watajulikana na aliowatukana

Kumekucha

umeona eeehhh..!!
na ndo atajua wale mawaziri wake ni mawaziri kivuli au manaibu
yangu macho mie.....!!!

maana aliowatukana wote wakimvalia njuga sijui itakuaje!!
kimbelembele chote tupa kule.....!!!
 
Daaa hii ya vibao kweli imemshushia heshima kama yeye ambavyo hufanya kwa wengine! Na lemutuz anamfungulia case Baba haji kwa kumtukana mitandaoni kisa mchango wa harusi..mwaka huu tutaona mengi! Lakini kwanini huyo jamaa hakumtandika viboko Mange?
 
It most definitely does.

They are putting her on a pedestal on which she doesn't belong.

She has the right to be stupid and spew drivel on her blog.

But at the same time she can't be given carte blanche to libel people.

aseeee hii kingereza nimeipenda big up duuu dictionary plz
 
Daaa hii ya vibao kweli imemshushia heshima kama yeye ambavyo hufanya kwa wengine! Na lemutuz anamfungulia case Baba haji kwa kumtukana mitandaoni kisa mchango wa harusi..mwaka huu tutaona mengi! Lakini kwanini huyo jamaa hakumtandika viboko Mange?

Hahahahahahahahahahahahaha kisa mchango wa harusi? Ulifanyaje?
 
Daaa hii ya vibao kweli imemshushia heshima kama yeye ambavyo hufanya kwa wengine! Na lemutuz anamfungulia case Baba haji kwa kumtukana mitandaoni kisa mchango wa harusi..mwaka huu tutaona mengi! Lakini kwanini huyo jamaa hakumtandika viboko Mange?
Nikivuta picha ya tukio lazma alitetemeka mno alivomuona mange nimwañdikaji mzuri ila kumu face mtu direct ni ngumu kwake. Mtu mzima kupigwa vibao ni fedheha hafu shamimu akawa ana mwangalia.
Lemutuz naye anapenda kiki tu hana jipya.
 
Hahahahahahahahahahahahaha kisa mchango wa harusi? Ulifanyaje?
jamaa alikuwa ana msumbua Lemutuz kumkumbusha mchango aliyo ahidi,sasa Le big show akakerwa akamsema lakini hakumtaja jina...!

Na Jamaa nae baada ya kuona ujumbe ule na yeye akajibu na kumponda Lemutuz....sasa Lemutuz anataka kumfungulia case ya kumtukana..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…