Mange Kimambi ameshachafua hewa huko insta

Mhh umekua mpole sana hadi nimeogopa.
 
Ni kwamba Makonda Nanihii haina nanihii
Duuuuuuh!!!!!!! Lord have mercy-Le Mutuz amemshukia Mange like never before,amemuomba Makonda akae pembeni yeye in person atadeal na Mange-ameshusha nondo mbaya sana very personal za Mange-something will have to give I sense something bad happening katika hii free for all war-the nuclear button has been pressed-the will be no survivors
 
Mange ni hatariiiiiii


Kuna kijana mmoja anaitwa Rashid Chilumba Facebook aliandika makala ya kumpondea Mange


Mange kamjibu Rashid kafuta makala zake zoooote
Ile ni namba nyingine.. Mwanamke anamwaga mitusi utadhani hajazaliwa kamwagwa.. Dadeki yule chilumba atakuwa hana ham cc nifah
 
Le mutuz hamuwezi Mange, le Mutuz anataka tu kuaibishwa.. Kwanza le mutuz hana jipya kwa Mange ameshatukana mitusi yote
 
Usiogope mkuu,hii suala la upungufu wa mbegu za kiume kwa Makonda ,limenisikitisha,hasa nikijiuliza kwani mimi nimefanya nini mpaka nipo fertile?makonda kakosea nini mpaka hayupo fertile?
Makonda ndio nini bana-waziri mkuu wa Uingereza kaambiwa hana kizazi na leo hii anatawala nchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…