OSOKONI
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,965
- 5,339
Semeni kafanyaje au hamuwezi kaa kimya ebo!!!!JAMANI...MWE..NIMEONA NIKACHOKAAA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Semeni kafanyaje au hamuwezi kaa kimya ebo!!!!JAMANI...MWE..NIMEONA NIKACHOKAAA
[emoji23] [emoji23] [emoji23] vjna wa Tz kwa keyboard War..
Aya umeshinda...
Weka pichaAlikuwa demu wngu kipindi tuko o level
Mstiri mwanaume mwenzio mkuu😱😱😱Aaah,huyu sasa ni mwisho,nimemvulia kofia asee...
Sasa kama kuna ukweli katika tuhuma hizi,nampa mh wetu mchapakazi,maana sijui ssa uso atauweka wapi maana sisi waafrica tuna attitude kuhusu mtu mwenye hali hiyo
Aya tusubiri mkuuHapa hamna mashindano kumbe ulikuja kwa lengo la kushindana hapa ni fact tu...
Pia usisahau MTUKUFU JUZI KASEMA WAPEWE SIKU 7 TU TUONE HII MOVIE YA KIHINDI.
mume wake ni nani mkuu??Nadhani Mange ni smart kuliko tunavyomchukulia, kuna kila dalili anatafuta status ya mkimbizi wa kisiasa marekani baada ya mume wake kumkalia kooni.
Mkuu wewe inaelekea 'ubuyu' wa mjini unakupita sana,😡😡mume wake ni nani mkuu??
Toka zakoJamani anaeweza kumuonya yule mtoto wa kike amounye, anakokwenda si kuzuri hata kidogo, hivi hajui kuwa rais Magufuli anaweza kuwasiliana na Interpol, FBI au CIA na akahojiwa?
ndo maana,wamerekani ndo walivyo,tangu wamseme michele obama kuwa ana uume,yaani ni mwanaume na kina sasha wameadoptiwa,nikakubali kuwa hao watu washapinda siku nyingiAnakwambia ni mmarekani anayejua kiswahil
peleka huko umbea wako,,Wana Chit-chat mmemsoma Mange Leo ? Kwa kweli hali ya hewa imechafuka nashindwa kuweka screen shot hapa inakataa Kwa anayeweza hebu aiweke wasio na insta account. Mange huyu anaelekea pabaya
Mkuu embu nipe ubuyuu, maana huwa namsikia tu huyu mange, mumewe alikuwa nani???Mkuu wewe inaelekea 'ubuyu' wa mjini unakupita sana,😡😡
Mange karibu, leo umekuja na ID hii?Toka zako
wenzetu haya mambo ni yakawaidaa.ndo maana,wamerekani ndo walivyo,tangu wamseme michele obama kuwa ana uume,yaani ni mwanaume na kina sasha wameadoptiwa,nikakubali kuwa hao watu washapinda siku nyingi
Mkuu vp tena?! Ina maana dada yetu anatupa chai kuhusu Mange kuhojiwa na FBIToka zako
Mkuu embu nipe ubuyuu, maana huwa namsikia tu huyu mange, mumewe alikuwa nani???