Mange Kimambi ameshachafua hewa huko insta

Mange Kimambi ameshachafua hewa huko insta

Halafu mtu anajishibia makande yake huko anakimbilia huku kutuambia huyo ndiye Asange wa Tanzania!!

Badala ya kuhangaika kutafuta watu wa kuwakamulia machoni,maisha yakikupa limao tengeneza juice.


Time will tell.
 
Hivi wewe unajua kuisoma sentensi na kuielewa?

Mimi sijatoa kauli kuwa yeye ni raia wa USA.

Ndiyo maana nikauliza.

Sasa wewe badala ya kunijibu swali langu unaniuliza swali lako.

Dalili ya mtu kutojua anachokiongelea hivyo.
Jamaa kasema Mange ni Raia wa USA, ulitaka akuletee vithibitisho toka uhamiajil. Hukumwaminii??

Haitoshi yeye kuwa reference?

Ulipaswa kuelewa hivyo, kama unabishaa ndio maana nami nikakuuliza Unauhakika gani kama si Raia wa USA kwasasa??
 
1473345893784.jpg
1473345898695.jpg
 
Kuna magonjwa mengi sana ya akili duniani hapa, hasa huko aliko kutokana na mifumo ya maisha. Huyu dada ni muhanga.
huyu dada, anavuta bangi au unga. hana akili nzuri. ila kwa hili, nina uhakika pale kisutu watakuwa wameshaanza kuanda hati ya mashitaka kabisa. kumtoa marekani hadi hapa ni kitu rahisi sana kwa mutual assitance in criminal matters na extradition. wamkamate haraka awe fundisho manake kaumiza mioyo ya watu wengi sana.
 
huyu dada, anavuta bangi au unga. hana akili nzuri. ila kwa hili, nina uhakika pale kisutu watakuwa wameshaanza kuanda hati ya mashitaka kabisa. kumtoa marekani hadi hapa ni kitu rahisi sana kwa mutual assitance in criminal matters na extradition. wamkamate haraka awe fundisho manake kaumiza mioyo ya watu wengi sana.
Unafikiri kazi hii kaanza leo?
Kama wangeweza kumkamata wangemkamata tangu zamani
 
Yani atalipa tu manung'uniko ya watu,very soon mtasikia,kwani sasa ni toomuch
 
Unafikiri kazi hii kaanza leo?
Kama wangeweza kumkamata wangemkamata tangu zamani
alikuwa anagusa wadogo, sasa anagusa wakubwa. kwa jinsi magufuli anavyompenda makonda, hakika lazima ataingilia kati. hata hivyo, suala aliloongea ni baya sana, kama makonda hana watoto hilo sio kosa lake, hakutakiwa kuongea hivyo, kati ya vitu ambavyo huwa namwonea huruma mtu ni pale anapomtusi mtu kwasababu hana mtoto.
 
Embu fafanua ukitaka kusema nini?mbona kulikua na mtu alitengeneza website ya kudhalilisha watu inaitwa zeutamu,huyo mtu alikua anakaa England, alitafutwa mpk akapatikana huko England na website yake kufungwa,
 
This is too much huyu mange anapaswa kutiwa nguvuni why ufanye personal attacks kwa binadamu mwenzako....

Huyu mange siku zake zinahesabika
 
alikuwa anagusa wadogo, sasa anagusa wakubwa. kwa jinsi magufuli anavyompenda makonda, hakika lazima ataingilia kati. hata hivyo, suala aliloongea ni baya sana, kama makonda hana watoto hilo sio kosa lake, hakutakiwa kuongea hivyo, kati ya vitu ambavyo huwa namwonea huruma mtu ni pale anapomtusi mtu kwasababu hana mtoto.
Kesi za ukichaa kama hizi Rais akiingilia kati itakuwa aibuu tu.

Suala la kuingilia masuala ya mtu binafsi ndio siasa za siku hizi duniani kote, Ukikosa swaga unatafuta nitoke vipii
 
Jamaa kasema Mange ni Raia wa USA, ulitaka akuletee vithibitisho toka uhamiajil. Hukumwaminii??

Nimeuliza kwa sababu nilitaka kuhakikisha kuwa hachanganyi kati ya mtu mwenye makazi ya kudumu yaliyo na masharti [conditional permanent resident], mtu mwenye makazi ya kudumu yasiyo na masharti [permanent resident], na mtu wenye uraia wa kupewa [naturalized citizen].

Najua ni mambo gani yanayohitajika ili mtu aweze kuwa na hizo status. Ndo maana nikauliza ili nijue anachokizungumzia ni kipi hasa. Legal permanent residents siyo raia wa USA.

Haitoshi yeye kuwa reference?

Sijui na ndo maana nikamwuliza. Usilolijua huna budi kuliulizia ili upate kulijua.

Ulipaswa kuelewa hivyo,

Hapana, sikupaswa kuelewa hivyo. Huwezi kunipangia namna ya kuelewa chochote kile.

kama unabishaa ndio maana nami nikakuuliza Unauhakika gani kama si Raia wa USA kwasasa??

Mbishaji huwa anauliza swali?
 
Hivi wale followers wa mange wana akili kweli?yani kila kitu anachopost huyu mjaa laana wanaona sawa nashindwa kuelewa
kati ya wao na wewe unae mjadili huku nani zoba?
 
Back
Top Bottom