Urafiki wa kinafiki kati ya Mange Kimambi na Hamisa Mobeto unazidi kutia mashaka kila kukicha.
Mobeto amekuwa akimtupia vijembe vya chinichini Mange Kimambi katika hali ya kuigiza kama utani, pia Mange amekuwa akimtupia vijembe Hamisa lakini akiulizwa huwa anaruka futi mia na kudai hajamlenga Hamisa hata kidogo.
Hapo namba tisa Mange amemtupia kijembe Hamisa kwamba anajifanya anamaisha mazuri kumbe anafake tu maisha.
Hamisa Mobeto tangu kodi ya nyumba iishe amekuwa mtu wa kuhangaika huku na kule kuwapigia simu wazazi wenzake,Diamond na Majizo wamsaidie angalau kodi ya nyumba kwa sababu anateseka na watoto, na mbaya zaidi Hamisa muda mwingine anapiga simu mpaka usiku wa manane kumbembeleza Diamond Platnumz warudiane kitu ambacho kinamkera sana Mange Kimambi.
Kwa kifupi Mange Kimambi anampenda sana Diamond Platnumz kuliko kawaida ila anashindwa amuanzie wapi ndiyo maana kila mtu ambaye anadate na Diamond ,Mange huanza kumchukia tu bila sababu kwa sababu anatamani nafasi hiyo angepata yeye.
View attachment 981559
Sent using
Jamii Forums mobile app