Mange Kimambi amtupia kijembe Hamisa.

Mange Kimambi amtupia kijembe Hamisa.

Wanawake buanaa!!! Yaani bila kuchafuana hamridhiki kabisaa!?? Kwa hiyo hapa lengo lako wakuone Majizo na diamond ili ikiwezekana uchukue ww hiyo nafasi!?? Acha wivu Dada,kwani Hamisa mbona mkimya sana halafu mnamuandama kweli..na mnaomshambulia ni nyie wanawake wenzie..!! Usimfanyie hivyo mwanamke mwenzio Dada....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanawake buanaa!!! Yaani bila kuchafuana hamridhiki kabisaa!?? Kwa hiyo hapa lengo lako wakuone Majizo na diamond ili ikiwezekana uchukue ww hiyo nafasi!?? Acha wivu Dada,kwani Hamisa mbona mkimya sana halafu mnamuandama kweli..na mnaomshambulia ni nyie wanawake wenzie..!! Usimfanyie hivyo mwanamke mwenzio Dada....

Sent using Jamii Forums mobile app
Muulize amejuaje misa huwa anapiga simu usiku wa manane? Inawezekana muda huo huwa anakuwa yupo na Majizo au Dai kwa hiyo mwenyewe anaona wivu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pale hance kaishia kula za uso
47241820_228936914693504_7106591247305682224_n.jpg
 
Urafiki wa kinafiki kati ya Mange Kimambi na Hamisa Mobeto unazidi kutia mashaka kila kukicha.

Mobeto amekuwa akimtupia vijembe vya chinichini Mange Kimambi katika hali ya kuigiza kama utani, pia Mange amekuwa akimtupia vijembe Hamisa lakini akiulizwa huwa anaruka futi mia na kudai hajamlenga Hamisa hata kidogo.

Hapo namba tisa Mange amemtupia kijembe Hamisa kwamba anajifanya anamaisha mazuri kumbe anafake tu maisha.

Hamisa Mobeto tangu kodi ya nyumba iishe amekuwa mtu wa kuhangaika huku na kule kuwapigia simu wazazi wenzake,Diamond na Majizo wamsaidie angalau kodi ya nyumba kwa sababu anateseka na watoto, na mbaya zaidi Hamisa muda mwingine anapiga simu mpaka usiku wa manane kumbembeleza Diamond Platnumz warudiane kitu ambacho kinamkera sana Mange Kimambi.

Kwa kifupi Mange Kimambi anampenda sana Diamond Platnumz kuliko kawaida ila anashindwa amuanzie wapi ndiyo maana kila mtu ambaye anadate na Diamond ,Mange huanza kumchukia tu bila sababu kwa sababu anatamani nafasi hiyo angepata yeye.

View attachment 981559

Sent using Jamii Forums mobile app
Daaah Ila Wanaume Wa Dar Mna Ujinga Mwingi Sana Nyie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom