Mange Kimambi amuandikia ujumbe mzito kaka yake aliyekutana na kupiga picha na Paul Makonda

Nandy kuonyesha vitako haijasaidia....
 
This is completely bullshit!!! Familia gani inawasiliana kupitia social media?? Hawezi kumwandikia hii barua kimyakimya!?
Angeandika barua kimya kimya vita yake ya ukombozi (according to her) ingekua kubwa zaidi. Kwa kusema wazi Dunia nzima ikajua ndio tayari ameshinda vita.
 
This is completely bullshit!!! Familia gani inawasiliana kupitia social media?? Hawezi kumwandikia hii barua kimyakimya!?
"Transparency",uwazi ndio sera ya Mange Kimambi,kuna kitu gani cha kuficha hapo,kuna kosa gani kuifamishe jamii ya kitanzania kilichomtokea..

kama kaweza kuwahamisha watazania kuandamana kupinga uovu unaofanywa na Serikali kwanini asiwafahamishe watanzania maovu yanayofanywa na Serikali ili kuitenganisha familia yake,Kwanini Makonda amtafute ndugu yake Mange na kupiga nae picha!!?kama si ufisadi ni kitu gani?!
 
Hakuna serikali inayomwongelea huyu mshenzi, bali kuna mda tu jeshi la polisi liliwahi kuongea maramoja kuhusiana ja ishu zake. Ila raia ndo tunamwongelea sana. In short mi mange nimesoma naye AVU namjua vizuri sana toka akiwa kapuku tu, hajulikani na yeyote. So ni mpuuzi flani, mapepe ambaye hajatulia kabisa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kama nakuona ukimsaidia boss ako kupga makelele
 
Uza nyumba, kula bia, lala nje,maisha yenyewe mafupi. Nyumba ya kazi gani? Uwe na nyumba we konokono?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kama nakuona ukimsaidia boss ako kupga makeleleView attachment 745021
Hahhaaaaaa sasa mimi na wewe nani anayemsaidia boss wake kupiga kelele [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Lete picha hapa usinitoe kwenye lengo [emoji14][emoji14][emoji14][emoji14][emoji14].

Naona kamasi zinakutoka [emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
 
Muwe na siku njema [emoji13][emoji13]
 
Anzisha uzi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]maskin hadi nakuonea huruma jins ile picha ilivyokuuma kuliko hata livymuuma mhusika daaah jaman jaman makonda punguza spidi baba utatupunguzia memba huku bado tunampenda mwee mweee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mmh ina maana hujawahi ona wema,diamond,na wasanii wenzake kibao tu wakipiga picha na makonda

Je ile picha aliyopiga diamond na maguful ina maana dai ana run government ee anaipelekesha ee daah makonda ameumiza wengi jaman
 
Nasemaje lete picha hapa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]


Hizo nyingine mbwembwe tu picha ndo muhimu [emoji14][emoji14][emoji14][emoji14][emoji14]

Lete ili nipungue humu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Picha tu wacha maneno [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Kuna mdau hapo juu kanikosha sana.

Bidada anawajambishaaaaa take it or leave it[emoji14][emoji14][emoji14][emoji14][emoji14][emoji14][emoji14][emoji14][emoji14]

[emoji112] [emoji112] [emoji112]
 
Yaani Ali Kiba aache kufunga ndoa kwa sababu ya huyo Mange wenu, ha ha ha. Akili zenu mnazijua wenyewe.
Namkubari Mange ila watanzania ni watu wa ajabu.
Yani now watu wasifanye yao sa kuoa kwa alikiba na 2604 kuba uhusiano gani?
No wonder Dr.Shika aliweza washika watu na akili zao humu eti wanajifanya wanaleta uchambuzi kuwa ni CIA.
 
This is completely bullshit!!! Familia gani inawasiliana kupitia social media?? Hawezi kumwandikia hii barua kimyakimya!?
Dada bora huyo....anachamba wadogo zake kwenye insta.
Tusiwalaumu hiyo familia ina hela lakini ni mabingwa wa vitimbi.
 
The only picha inayoliza wengi bwahahahahahah tena nimekuwekea tatu kabisa ,saaafiii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]khe khe kheeee
 
nachompenda huyu dada ni mkweli, akiumizwa na adui yake anakiri kuwa kaumizwa. angekuwa ni mtu mwingine angejifanya dongo halijampata.
 
Hana uwaz wowote ule mange mbona miaka yote hajasema aseme baada ya dogo kupiga picha na makonda? Kuna vitu vungne vinahtaji IQ ndogo saana kuvielewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…