Mange Kimambi amuandikia ujumbe mzito kaka yake aliyekutana na kupiga picha na Paul Makonda

Vita ni vita kama yy anavyo waumiza wenzio kwa mambo mengine ambayo yapo natural mf kumcheka makonda kwa ugumba wake na wao wametafuta udhaifu wake ambao ni watu wafamilia yake,hii ishu ishamtoa kwenye reli japokuwa anajikaza (unapokuwa vitani usimuoneshe adui yako udhaifu wako).Sasa subira gazeti kutoka Mangi (mwanaharakati muoga) na msishangae kwenye kiti hizo hicho alichoka dogo kesho ndio kiti hicho hicho Mangi atakaa ,huku wakipiga story na Makonda ,swala muda.(Siasa sio ya kuichukulia serious sana,wakati wanasiasa wenyewe hawapo serious na maisha ya watanzania)
 
kabudi Rapa‏ @KingBoneroIII Mar 31
MANGE msutaji
Mange kungwi
Mange muhamasishaji
MANGE adui wa LOWASSA
MANGE adui wa Magufuli
MANGE adui wa Bashite
MANGE adui wa lemutuz
MANGE adui wa Ruge
MANGE adui wa Kinje
MANGE adui wa Ridhiwani
MANGE adui wa Wolper
MANGE adui wa Wastara
MANGE adui wa Kigwangalla
MANGE adui wa CCM
MANGE mtaalamu wa Instagram
MANGE adui wa kaka yake
MANGE adui wa familia
MANGE Msuluhishi
MANGE mpatanishi
MANGE mvurugaji
MANGE mtanzania
MANGE mmarekani
MANGE mtaalamu wa SGR
MANGE mtaalamu wa TRL
MANGE mtaalamu wa BOMBADIER
MANGE mtaalamu wa UCHUMI
MANGE mtaalamu wa mirathi
MANGE mtaalamu wa UCHUMI
MANGE mtaalamu wa MVUA
MANGE mtaalamu wa kokoto
MANGE mtaalamu wa hoteli
MANGE mtaalamu wa sheria
MANGE mtaalamu wa vibamia
MANGE mtaalamu wa k zinazonuka
MANGE rafiki wa wambeya
MANGE mpokeaji wa nyaraka za serikali
MANGE kipenzi cha wadaku
MANGE KM MAJI
MANGE.....
MANGE...
 
Nimemfundisha darasani Esacs Academy 2000./2001. He was always the last in everything
Anachojua Yeye Bangi Coco Beach,pombe Kali,houseparty,mengine Sisemi Hapa,kwake Ndo Nlijua Watu Wakisema Chop Money Wanamaanisha Nini,kipindi Hiko Hata Mange Simjui Alikuwa Anasema Na Dadangu Anaishi Marekani
 
 
Mbona kwenye list ya maandamano yatakayofanyika Washington DC mwezi April 2018 sijaona hayo ya mange??
 
Shame on you!
 
Hivi ndugu yake aliyeenda kwa Bashite akapiga picha na kuandika sifa zinazoelekea kumponda Dada yake japo hajamtaja ndo kafanya la maana?
Kwa hiyo wewe ulitaka aende kupiga picha na Mbowe au Lema wa Chadema!?
Watu mna akili za ajabu kuliko hata hiyo ajabu yenyewe Aisee!
 
Msishangae siku moja mange akarudi bongo na kuwa ccm.
Ni suala tu la watu wa serikali kumhakikishia usalama wake na kutosumbuliwa..tena akawa rafiki wa makonda
Nawaambieni hili linawezekana
Kwa jinsi alivyokuwa akimdhihaki na kumtukana Zitto Kabwe ulijua kama ingetokea siku na kumuomba msamaha mkuu!?
 
Mmmmh! Yani wewe mdada umesubiri wapige picha ndio useme yote hayo tena mtandaoni?

Umejua wamefanya makosa (ndugu zako) ukakausha, lakini picha tuu imekuforce kusema ya siri ndani ya familia na historia yote ya familia.

Naona kuanikwa kwa wanaokusapoti siku wakikuudhi kidogo.
 
aache kupiga kelele kama mwanamke kweli apande ndege anje kufungua hizo kesi zake

mamaeeee na huo ndio utakuwa mwisho wake... yan happ ndugu now wana kila sababu ya kutumbua mali maana wanajua ww kwa ukichaa wako mwenyewe umekuwa wanted kwenye nchi yako

sheeeeenz type
 
Ndugu ni baba na mama tu....kaka na dada wanaweza kukugeuka wakati wowote as wana wake/waume na watoto wao.
 
Huyo Dogo hana jeuri ya kujipeleka kwa bashite. Huyo kalazimishwa yaani katumiwa wito aende ofisini. Ndio abashite anapiga nae picha. Bashite
 
 
This is completely bullshit!!! Familia gani inawasiliana kupitia social media?? Hawezi kumwandikia hii barua kimyakimya!?
Kwanini yeye alikwenda kwa Makonda kimyakimya.Mbona unaleta mambo ya uDouble standard?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…