joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
WIVU tuu we unazo mali kama hizo hThis is completely bullshit!!! Familia gani inawasiliana kupitia social media?? Hawezi kumwandikia hii barua kimyakimya!?
Anachojua Yeye Bangi Coco Beach,pombe Kali,houseparty,mengine Sisemi Hapa,kwake Ndo Nlijua Watu Wakisema Chop Money Wanamaanisha Nini,kipindi Hiko Hata Mange Simjui Alikuwa Anasema Na Dadangu Anaishi MarekaniNimemfundisha darasani Esacs Academy 2000./2001. He was always the last in everything
- Pure nonsense,
1. Mange anajua kabisa kua vita yake na Rose mama yake wa kambo inatokana na the fact kwamba Marehemu Baba yake hakumuandika kwenye urithi, ambao aliwaachia watoto wake 2 tu Anil na ndugu yake. Yeye hakuwemo ndio maana kwa hasira akamuibia Rose Mama yake wa kambo Dhahabu zake zote akakimbilia Marekani. So maneno ya kwamba ana 25% kwenye urithi ni uongo wa mchana sana kama kweli anao ushahidi angeshauweka wazi kama kawaida yake, so maneno ya 25% ni uongo.
hivi We Mbaba Utakuwa Lini?Akili Zako Fupi Kama Kibamia Halafu Pale Chole Road Mambo Ya Kujifanya Mjuaji Utaliwa Kiboga,wanaume Wamekaa Wanapapaswa Na Watoto Wazuri We Unakuja Tu Kuharibu Hali Ya Hewa?Umekuja Kukanusha Kama Vile Wewe Ndo Anil,na Unabisha Eti Hakuna Mansion,kwa Miaka Ile Ilikuwa Mansion Sijajua Sasa Kama Anil Anafanya Renovation Au Ndo Hela Zinaishia Kwa Pombe,bangi Madem,
Naona Umekuja Mtetea Anil Ili Ukamuombe Shati Mojawapo Lililombana Ukapunguze,uvae Na Mkaptura
Shame on you!Wewe ni matako tu, undugu hautenganishwi na siasa. They will always remain brother and sister regardless ya hizi fitina
Halafu Mange hapambani na ccm, kwa sasa she is non partisan, standing and fighting for the country. Na kwa taarifa yako tu wanaccm wengi tunamsupport. Miaka ya mbeleni baada ya utawala huu wa kidictator mchango wa Mange Kimambi utatambuliwa na kuenziwa.
Kwa hiyo wewe ulitaka aende kupiga picha na Mbowe au Lema wa Chadema!?Hivi ndugu yake aliyeenda kwa Bashite akapiga picha na kuandika sifa zinazoelekea kumponda Dada yake japo hajamtaja ndo kafanya la maana?
Kwa jinsi alivyokuwa akimdhihaki na kumtukana Zitto Kabwe ulijua kama ingetokea siku na kumuomba msamaha mkuu!?Msishangae siku moja mange akarudi bongo na kuwa ccm.
Ni suala tu la watu wa serikali kumhakikishia usalama wake na kutosumbuliwa..tena akawa rafiki wa makonda
Nawaambieni hili linawezekana
Kamgeuka hadi Ally KibaKwa jinsi alivyokuwa akimdhihaki na kumtukana Zitto Kabwe ulijua kama ingetokea siku na kumuomba msamaha mkuu!?
kabudi Rapa @KingBoneroIII Mar 31
MANGE msutaji
Mange kungwi
Mange muhamasishaji
MANGE adui wa LOWASSA
MANGE adui wa Magufuli
MANGE adui wa Bashite
MANGE adui wa lemutuz
MANGE adui wa Ruge
MANGE adui wa Kinje
MANGE adui wa Ridhiwani
MANGE adui wa Wolper
MANGE adui wa Wastara
MANGE adui wa Kigwangalla
MANGE adui wa CCM
MANGE mtaalamu wa Instagram
MANGE adui wa kaka yake
MANGE adui wa familia
MANGE Msuluhishi
MANGE mpatanishi
MANGE mvurugaji
MANGE mtanzania
MANGE mmarekani
MANGE mtaalamu wa SGR
MANGE mtaalamu wa TRL
MANGE mtaalamu wa BOMBADIER
MANGE mtaalamu wa UCHUMI
MANGE mtaalamu wa mirathi
MANGE mtaalamu wa UCHUMI
MANGE mtaalamu wa MVUA
MANGE mtaalamu wa kokoto
MANGE mtaalamu wa hoteli
MANGE mtaalamu wa sheria
MANGE mtaalamu wa vibamia
MANGE mtaalamu wa k zinazonuka
MANGE rafiki wa wambeya
MANGE mpokeaji wa nyaraka za serikali
MANGE kipenzi cha wadaku
MANGE KM MAJI
MANGE.....
MANGE...
Kwanini yeye alikwenda kwa Makonda kimyakimya.Mbona unaleta mambo ya uDouble standard?This is completely bullshit!!! Familia gani inawasiliana kupitia social media?? Hawezi kumwandikia hii barua kimyakimya!?