Mange Kimambi amuandikia ujumbe mzito kaka yake aliyekutana na kupiga picha na Paul Makonda

Mimi sielewi kwani kapiga picha na nani?? huyo bonge najua ni mdogo wa Mange. Sasa huyo mwingine ndo nani hasa?
 
unsound mind au soundness of mind ni “utimamu wa akili” na sio kutokueleweka ki fikra.
 
Hiyo Hotel ambayo Mange anaimiliki kwa 25% inaitwaje na ipo maeneo gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…