Mange Kimambi amuandikia ujumbe mzito kaka yake aliyekutana na kupiga picha na Paul Makonda

Mange Kimambi amuandikia ujumbe mzito kaka yake aliyekutana na kupiga picha na Paul Makonda

Con
Eti she will never?
Yani wewe ndio mpumbavu kuliko wqpumbavu wote Tanzania.

Unadhani hiu utawala dhalimu utakaa madarakani miaka yote?

Kwa vile mnaua watu, mnaonea watu.
Mna dhambi nyingi sana. Sasa wewe Lumumba na akili zako mgando umeshajiaminisha kuwa nchi ni ya mumeo bashite hutoamini wakianguka wote kama maembe.
Dude, go to your comfort zone and continue dreaming kumuondoa JPM kwenye urais kwa strategies za Dr. Kimambi. She is a simply a loser tangu her personal life and now her siblings. Kama hicho hukioni, then you are something is terribly wrong with you upstairs and worse than your idol.
 
Mange fundi wa kuwaambia wenzake msitolewe kwenye mstari ila wakati yeye hajui hata anachofanya.

Wabaya wake wamefanya makusudi tu kumnasa na ameingia kingi, wanachekaje.
 
Timing kali sana, sasa yule kwa akili yake atataka Wakomoane atarudi kudai mirathi.
Then kiulaini kina Bashite wanafanya yao
 
Timing kali sana, sasa yule kwa akili yake atataka Wakomoane atarudi kudai mirathi.
Then kiulaini kina Bashite wanafanya yao
atadai mahakama za wapi? Hizi anazolipa mishahara Magufuli?Atalala wapi, usiku wa kuamkia kesi [emoji41] [emoji41] [emoji41]
 
Kwa hiyo mambo yote haya, sababu kaka yake Anil kupiga picha na Makonda huku wameshikana mikono?

Hivi visa vingine bana.
 
Ndugu unakosea huo ni ubaguzi kusema mtoto wa kike hana chake karne hii.Na sitegemei mtu mwenye uwezo wa comment hapa jf kuongea hivyo. hayo ni mawazo ya wazee wa kule kwenye vijiji vya mbali sana tena wamebaki wachache sana.Wewe ukizaa watoto wa kike tupu kama Obama mali zako utagaia majirani kwasababu huna wa kiume?
Usikite jamaa na yy ana Dada zake na anataka kujiaminisha kuwa yy ndo anatakiwa kurithi kilichopo,
Achana nae,akili za kusubiri mirathi
 
Timing kali sana, sasa yule kwa akili yake atataka Wakomoane atarudi kudai mirathi.
Then kiulaini kina Bashite wanafanya yao
Una akili ndogo sana ndugu,km ww ni mwanaume basi ww ni aibu kwa uanaume,
Mtu kudai chake mpaka aje wakati toka mwanzo ana wakili anaemsimamia kiasi hata hati baadhi zipo kwake,yani unadhani Mange na elimu yake ya sheria hajui km ni hatari yy kuja huku ilhali alishaambiwa atakamatwa,
 
for sure wema sepetu amenishangaza na post yake, yani huyo mwanamke ni ngazi kila mtu anamtumia
Ngoja tumalizd kwanza mission iliyopo ..after that atajutra kujifahamu..nadhani ataomba msamaha in public
 
Una akili ndogo sana ndugu,km ww ni mwanaume basi ww ni aibu kwa uanaume,
Mtu kudai chake mpaka aje wakati toka mwanzo ana wakili anaemsimamia kiasi hata hati baadhi zipo kwake,yani unadhani Mange na elimu yake ya sheria hajui km ni hatari yy kuja huku ilhali alishaambiwa atakamatwa,
Duh, hii sasa kali. Huyu wakili wenu msomi ana degree ngapi? Mara masters in business management, mara entrepreneurship, Mara sijui nini. Leo tena tunaambiwa kasomea sheria. For sure anastahili kumrithi Mbowe, ingawa hata kazi ya reception hana in the US.
 
Duh, hii sasa kali. Huyu wakili wenu msomi ana degree ngapi? Mara masters in business management, mara entrepreneurship, Mara sijui nini. Leo tena tunaambiwa kasomea sheria. For sure anastahili kumrithi Mbowe, ingawa hata kazi ya reception hana in the US.
Haya uliyoandika yanaondoa ukweli kuwa ww ni mfano wa wawaza ndoto za kijinga?
 
Haya uliyoandika yanaondoa ukweli kuwa ww ni mfano wa wawaza ndoto za kijinga?
Sinaga matusi for low creatures like you. Nenda kasome education profile ya huyo mpuuzi wenu, and then come back to me kuniambia I'm wrong.
 
Back
Top Bottom