unprejudiced
JF-Expert Member
- Jan 27, 2017
- 3,503
- 2,865
hakika mange ww ni mfano hakuna wa kumuacha hata akiwa damu yako hongera kwa kutokuwa mnafiki
We mpumbavu sana. Huu ndo unafiki ujinga. Upumbavu yani kila neno uwezalo kulisema ni ukichaa. Huyu dada yako Sio mzima. Hivi unaelewa kweli alichoandika. Na why kaandika. Mange na Makonda. Mange na Makonda wanajuanaje kiasi kwamba Mdogo wake akipiga picha naye Yeye aumie na kuja hadharani kusema ya Familia. Huyu ndo anawaongoza. Huyu Sio mzima. She really needs Help. Psychological help .oh God and you as JF member unamsifia hana unafiki. Huo ndo unafiki Wa hali ya juu. Mnafiki 100% and more .Mange hawezi msema mpinzani yeyote sasa unadhani hawakosei Hapana kwa kuwa mnafiki. So stop advertising your stupidity.