Mange Kimambi amuomba wakili Albert Msando akamtoe Wema Sepetu

Habari njema ni kuwa Magufuli Wewe na serikali yako hamtarudishwa nyuma na wapuuzi fulani
 
Hivi ulichokiandika umekisoma kwa makini
 
Kama hao wakina rummy unawajua so ukaripoti polisi uwasaidie, wale wameitwa kuhojiwa hakuna alihukumiwa pale
 
Ni kipi kinachokufanya uamini hakuna ushahidi?
 
Point, good girl
 
Mkuu sheria ipo Tanzania sio USA kila nchi ina sheria zake Jamaica ganja ni zao la bishara ila huku kwetu ni marufuku......... tafuta sheria inayozuia isome vizuri inaitwa THE DRUG CONTROL AND ENFORCEMENT ACT, 2015
 
Kwa Tanzania hayo yote ni mambo ya kawaida. Kulazimishwa kwa kuteswa ili ukubali kosa ni jambo la kawaida sana
Tusipende kuhitimisha kwa mazoea.....



Hii ni kama tuhuma ya kuambiwa mzazi ni mchawi mtoto inakuwa ngumu kuamini na kuhisi anaonewa na kujiridhisha kwa mifano inayompa moyo
 
Kuna watu waliitwa kwenda kutoa maelezo kuhusu madawa hayo si kila aliyeitwa basi ana tumia au kufanya biashara bali wengine wana saidia kutoa taarifa......
Huyo Wema mbona kaachiwa siku ile ile?
Kalala lock up
 
Mtu anafanya birthday part inagharimu shilingi milioni themanini na kuzawadiwa gari la bei mbaya,kwa vipato gani walivyo navyo kama siyo biashara ya unga? Zama zimebadilika lazima tuheshimiane mjini kwa kuishi kwa vipato halali..!!
 
...wameharibu watoto wetu, wafungwe tu hakuna namna.. Makonda go, go, go. Mungu atakuwa pamoja na wewe.

Wengi waliokamatwa wao ndo "wameharibiwa" na huwezi kuwafunga hawa. Imagine eti ukamfungue Chid Benzi. Kina Makonda wanataka hawa punda ndio wawaelekeze walipo wauzaji papa.

Majina si tuliambiwa yapo Ikulu lakini? Makonda si akayachukue pale? Au list ya JK nae ilikuwa na majina ya kina wema na Chid?
 

Nivizuri tukaiacha jeshi la polisi lifanye kazi yake, Naamini mpaka makondo kuamua kuyaanika hayo majina hadharani basi ujue atakua na ushahidi wa kutosha. Tuwe wavumilivu kidogo kabla ya kutoa lawama.
 
Ni kipi kinachokufanya uamini hakuna ushahidi?
Ndiyo maana nimekwambia nasubiri kusikia wamepelekwa mahakamani wasipopelekwa nitashangaa siyo kuhojiwa kwao bali kwa kushikiliwa kwao kama ni kweli wameshikiliwa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…