Mange Kimambi amuomba wakili Albert Msando akamtoe Wema Sepetu

Mange Kimambi amuomba wakili Albert Msando akamtoe Wema Sepetu

Kupambana na madawa ya kulevya ni kujitoa mhanga, tena unakamata hao vidagaa, kama kweli haogopi akamate madons wenyewe, Mexico wenyewe wanakiona cha motto kupambana na madons, sio kazi rahisi ya kukamata tu vipunda, wakamateni madons wenyewe ndo tujuwe kweli hamuogopi.
 
Kwani ni mara ya kwanza huku jf kutaja wema kuwa mbuya unga?
Kwanini hamkumshauri aache kama mlikuwa na uchungu naye?
Hivi anakula ngada kumbe??

,kudadek.nipo gizan nn kinaendekea wakuu??

Inamaana wameamua kuwasweka ndan mateja wataje au??

Kama hivyo basi sawaa kino na buguruni pale wapo kibaaoaa sitarajii kuwakutaa
 
Haya sasa
2dbb7551287d65543d8791904b545fda.jpg
 
Hivi kutumia madawa ya kulevya ni makosa kisheria?
Na kama anasemekana anauza amekutwa na uthibisho?
Mtu anaitwa kuhojiwa kwa tuhuma za kutumia madawa ya kulevya? Like serious?

Hata wale madon wa unga huwezi kuwaita kuwahoji kisha ukawatia hatiani bila uthibitisho.

Makonda hajui anachokifanya
Period
.,oooppss.,asavali The bold haja-like hii post;
...futa,delete kabisa hata asiione,
.ni aibu!
 
Alichosema makonda ni wanasemekana na haijathibitika so ni haki yake kuwakata ili kuwahoj nankupata ukwel akiwa kama mwenyekit wa kamat ya ulinz na usalama

Ni tuhuma tu
Unaposema ni tuhuma hazina ushahidi kuna njia za kudili na tuhuma na vipo vyombo vya kufanya hiyo kazi lakini unapomtangaza mtu kwenye vyombo vya habari kuwa inasemekana amefanya jambo flani utatakiwa kufhibitisha na ukishindwa utatakiwa kuwajibika kwa defamation (mr. Makonda uttered defamatory statement vs those innocent.) Na kauli yake hiyo itasababisha ku lower reputation ya hao watu ukizingatia kuwa yeye ni mkuu wa mkoa kila anachosema wale wenye uelewa mdogo direct wanajua kuwa ni ukweli. Mi naona kila mmoja akifanya majukumu yake kwa weledi hii michanganyo na kiki havitakuepo na kuzingatia position ethics for common good na sio kutafuta kiki
 
Jombaa hiyo sheria iko wapi....usa wanamziki kibao wanakufa na unga hawajawahi kuitwa kuhojiwa,ila makonda kakosa kiki ndio kaona atoke na hii ila comedy nyingi unamtaja petit cjui alteza wauza unga wakati.madon wapo wakubwa na wadogo kina rummy,kanyau,tikotiko
Mawazo haya peleka huko huko USA
Umesahau wasnii kibao huingia jera kisa haya mambo??? Au unajifanya kibuli tu?
We huna hata huruma kwa nyota za taifa kugeuka vioja mitaani, embu tuweni sirious aseee
 
Mkuu sheria ipo Tanzania sio USA kila nchi ina sheria zake Jamaica ganja ni zao la bishara ila huku kwetu ni marufuku......... tafuta sheria inayozuia isome vizuri inaitwa THE DRUG CONTROL AND ENFORCEMENT ACT, 2015
Huyu huyu utasikia tunataka katiba mpyaa hata vimelea vya katiba havijui,

Haya ma CCM bhana
 
Wengi waliokamatwa wao ndo "wameharibiwa" na huwezi kuwafunga hawa. Imagine eti ukamfungue Chid Benzi. Kina Makonda wanataka hawa punda ndio wawaelekeze walipo wauzaji papa.

Majina si tuliambiwa yapo Ikulu lakini? Makonda si akayachukue pale? Au list ya JK nae ilikuwa na majina ya kina wema na Chid?
Hizo ndio hoja tunazotaka kuzipata
 
Nashindwa kuwaelewa watu wanaotetea hili.
Madon wa unga wapo na wanajulikana iweje uwaite watumiaji na kuwahoji?
Hivi mchovu kama TID anaweza kuwa anauza unga kweli?
Hahahah
Mambo ya Makonda ni vichekesho ila vichekesho zaidi ni wale wanaomuunga mkono kwa anachokifanya.
Hao watasaidia kusema wanapo nunua...
 
mama ongea na mwanao si ndio hawa hakuna haja ya kuwatoa alizunguka nchi nzima na kampeni yao
 
Back
Top Bottom