Mange Kimambi amuomba wakili Albert Msando akamtoe Wema Sepetu

Mange Kimambi amuomba wakili Albert Msando akamtoe Wema Sepetu

Wengi waliokamatwa wao ndo "wameharibiwa" na huwezi kuwafunga hawa. Imagine eti ukamfungue Chid Benzi. Kina Makonda wanataka hawa punda ndio wawaelekeze walipo wauzaji papa.

Majina si tuliambiwa yapo Ikulu lakini? Makonda si akayachukue pale? Au list ya JK nae ilikuwa na majina ya kina wema na Chid?
hao wanasaidia kutoa taarifa wala hakuna anaye fungwa.
 
Nivizuri tukaiacha jeshi la polisi lifanye kazi yake, Naamini mpaka makondo kuamua kuyaanika hayo majina hadharani basi ujue atakua na ushahidi wa kutosha. Tuwe wavumilivu kidogo kabla ya kutoa lawama.
Asije akajikuta anayaanika hadharani ikaja kinyume akajikuta ndio kawatangazs jwa watumiaji hata ambao hawakua wanawajua soko lao likakua kwa kupata wateja wengi kupitia haya matangazo
 
Mange kimambi" mkuu wananchi tunaomba uchukue kesi ya Wema probono.
Tena sio kumtoa ndani tu, tunaomba umfunze Makonda adabu by during him and the city for defamation wamlipe Wema mabilioni kama Yale Togo waliambiwa walipe....

Please please Albert tunaomba, Wema kutoka ndani sio solution kabisa, wameshamwalibia maisha yake, hawezi kufanya Kazi na kampuni yoyote ile kubwa,

Please please tunakuomba au kama vipi tujichange tukulipe".
Hadi sasa wasanii walioitwa kuhojiwa bado wanashikiliwa na jeshi la polisi
Nasaport issue,maana kumchafulia mtu jina ni kosa kubwa mno . Kumbe huyo Makonda awe na busara,kama mtu anamtuhumu amuite personal. Sasa unaita vyombo vya habari na je ikijulikana sio ukweli utafanyaje. Sema Tanzania wengi hatujui sheria. Ila wakimchuchumalia kwa kosa la defamation huyo Makonda hana tena ukuu wa mkoa. Sababu criminal case inaanza na investigation. Sasa wewe hata hujafanya investigation unakurupuka kusema. Je ikionekana sio kweli????? Low minded people kazi kweli.
 
Kutajwa sio kudhibitisha! Hivi Mimi nikakutaja wewe unajiuza ni kweli unajiuza?
Kwani ameshathibutishwa? Si ndo ameitwa ili uchunguzi wa kuthibitisha au lah uanzie hapo.
Kama kuna njia mbadala ya kuthibitisha ungefanya kuwapa ushauri kabla ya kukosoa njia wanayoitumia kwa sasa
 
Nasaport issue,maana kumchafulia mtu jina ni kosa kubwa mno . Kumbe huyo Makonda awe na busara,kama mtu anamtuhumu amuite personal. Sasa unaita vyombo vya habari na je ikijulikana sio ukweli utafanyaje. Sema Tanzania wengi hatujui sheria. Ila wakimchuchumalia kwa kosa la defamation huyo Makonda hana tena ukuu wa mkoa. Sababu criminal case inaanza na investigation. Sasa wewe hata hujafanya investigation unakurupuka kusema. Je ikionekana sio kweli????? Low minded people kazi kweli.

Unauhakika gani kama hajafanya uchunguzi, You seem to be so sure as if you know everything!!!!!
 
Hivi kutumia madawa ya kulevya ni makosa kisheria?
Na kama anasemekana anauza amekutwa na uthibisho?
Mtu anaitwa kuhojiwa kwa tuhuma za kutumia madawa ya kulevya? Like serious?

Hata wale madon wa unga huwezi kuwaita kuwahoji kisha ukawatia hatiani bila uthibitisho.

Makonda hajui anachokifanya
Period
Unajifanya unajua kumbe waungua jua
 
Hivi kutumia madawa ya kulevya ni makosa kisheria?
Na kama anasemekana anauza amekutwa na uthibisho?
Mtu anaitwa kuhojiwa kwa tuhuma za kutumia madawa ya kulevya? Like serious?

Hata wale madon wa unga huwezi kuwaita kuwahoji kisha ukawatia hatiani bila uthibitisho.

Makonda hajui anachokifanya
Period

Sidhani kama wameitwa tu bila kufanyika upelelezi wa kina kabla ya kuwaita ukute hata mitego waliwekewa bila wao kujua.
 
Hivi kutumia madawa ya kulevya ni makosa kisheria?
Na kama anasemekana anauza amekutwa na uthibisho?
Mtu anaitwa kuhojiwa kwa tuhuma za kutumia madawa ya kulevya? Like serious?

Hata wale madon wa unga huwezi kuwaita kuwahoji kisha ukawatia hatiani bila uthibitisho.

Makonda hajui anachokifanya
Period
Ni kweli wote waliotajwa wanabwia na kuuza unga period, huwezi kusema wote wamesingiziwa, na list bado inaendelea, peti man, director joan hawa wote ni marafiki na ni kweli wanatumia na kuuza,nenda kwwnye page ya wema alivyojibu tuhma za kutumia inga ndo utaelewa
 
Nashindwa kuwaelewa watu wanaotetea hili.
Madon wa unga wapo na wanajulikana iweje uwaite watumiaji na kuwahoji?
Hivi mchovu kama TID anaweza kuwa anauza unga kweli?
Hahahah
Mambo ya Makonda ni vichekesho ila vichekesho zaidi ni wale wanaomuunga mkono kwa anachokifanya.
Kama unawajua si ukawaseme mbele yake ili hao unaowaitwa wanaonewa wasiitwe tena kuhojiwa.

Acha kulalamika kila kitu
 
Wauza/Wasambaza Madawa in watu hatari sana wametuharibia watoto/Ndugu/Jamaa zetu hawafai kusamehewa kama wametenda
 
Ila watz ni wagumu wa kuwaelewa sana hao hao wanapiga kelele kila leo kwamba madawa ya kulevya yanamaliza nguvu kazi ya taifa, haya wameitwa kwenda kuhojiwa tena kuhojiwa tu kama ni kweli au lah! wametokea watetezi tena dah!! Tz simama nishuke.

Ngoja kesho utasikia na yule mama wa Haki za binadamu naye anakuja kuwatetea hapa.
Hapo ndo nachoka kabisa tena unaona hadi member wa humu waliokuwa na heshima zao kama @ASOKONI kashupalia hatari kumlilia mtuhumiwa.

Najiuliza hawa watuhumiwa nao wakiitwa polisi watapata ruhusa ya kupita mlango wa nyuma? Why wanataka iwe special kwa huyu dada kupitishwa mlango wa nyuma.

Mara nyingi huwa nakerwa na maamuzi na matamko ya makonda lakini kwenye hili kwa mara ya kwanza nakubaliana naye.
Nasema tena kwenye hili nampongeza kwa kuweka usawa
 
Kupambana na madawa ya kulevya ni kujitoa mhanga, tena unakamata hao vidagaa, kama kweli haogopi akamate madons wenyewe, Mexico wenyewe wanakiona cha motto kupambana na madons, sio kazi rahisi ya kukamata tu vipunda, wakamateni madons wenyewe ndo tujuwe kweli hamuogopi.
Anawezaje kuwajua hao madons bila kuwabana vidagaa viwaseme mabosi wao
 
Back
Top Bottom