Usizoee vya kuiga kwa 'wenzetu', hao unaoita wenzako hawako level sawa na wewe, jitahidi kuona wewe na uhalisia Wa maisha ya tz,sio story za kucompare, unawezaje kulinganisha vitu hiviii?!!!!,
Nachoongelea hapa ni mbinu na weledi wa kufanya upelelezi bila kutumia nguvu.
Nitakupa mfano mmoja.
Kuna mdada mumewe alipotea tu from no where na yeye ndiye alitoa taarifa polisi.
baada ya kuwa na suspects wengi sana lakini hakuna hata mmoja aliyeonekana kuwa na clue iliyowasaidia kujua kilichompata yule mme wa huyo dada.
ikabidi waanze kumchunguza yule dada. Walikuwa wanamuita na kumhoji mara kadhaa then wanamuacha sababu alikuwa suspect ila hawakuwa na ushahidi. So wakaanza fuatilia nyendo zake wakagundua toka mmewe apotee anapenda kwenda sehemu flan km kama tatu toka nyumbani kwake kwenye shamba la farasi Na ameshaenda huko mara tatu.
Ikabidi waende wakakuta hakuna dalili yoyote mbaya mle ndani kulikuwa na big pond wakamfuata kumuuliza kinachompeleka kule akawambia kuwa lile shamba la rafiki wa familia yao na uwa wanaruhusiwa kuingia so uwa anaenda relax ana mawazo juu ya mmewe.
polisi bado walikuwa na mashaka wakamuacha, kesho yake polis mmoja akamfuata kazini yule dada akamwambia tumeamua kutafta kama labda mwili wa marehemu umetupwa majini tunataka pia tuka search ile pond unakoendaga.
lengo alitaka kuona reaction yake dada alipanic gafla akamwambia nna kazi tutaongea baadae akaondoka hiyo ilikuwa green light kwa polis.
kumbe dada alipotoka pale akakimbia kuelekea kule kuhamisha mwili na polis nao wakamfuatilia anataka kuingia wako anawaona akagairi akarudi home wao wakaleta team wakasearch pond wakapata mwili the next thing mwenyewe aliconfess.
nachojaribu kukuonyesha ni kwamba japo walimsuspect lakini hawakutumia nguvu bali akili na yeye mwenyewe aliyewaongoza kuwapeleka kwenye ushahidi may be wangemhold angegoma kusema maana hawakuwa na ushahidi juu yake.
sasa naongelea technics za polisi wetu