Mange Kimambi amuomba wakili Albert Msando akamtoe Wema Sepetu

Mange Kimambi amuomba wakili Albert Msando akamtoe Wema Sepetu

Kilichofanyika ni uonevu na matumizi mabaya ya madaraka,
hawa wasanii wanatakiwa kufungua mashitaka,unlawfull detention,false accusation na defamation na wadai fidia ya mabilioni
 
Watulie wahojiwe. Wasi take advantage kisa ni watu maarufu. Kwani wao ni wa kwanza kuhojiwa?? Na huko kunaonekana kuna kutajana.
Makonda sio kichaa kukurupuka. Who is wema mpaka kutetewa hivyo SMH
 
Hivi kutumia madawa ya kulevya ni makosa kisheria?
Na kama anasemekana anauza amekutwa na uthibisho?
Mtu anaitwa kuhojiwa kwa tuhuma za kutumia madawa ya kulevya? Like serious?

Hata wale madon wa unga huwezi kuwaita kuwahoji kisha ukawatia hatiani bila uthibitisho.

Makonda hajui anachokifanya
Period
Vita ya madawa ya kulevya ikiendelea kuwa ya one man show itafika mahali itamshinda, hii vita si ndogo ni kubwa sana hata JK analifahamu hilo
 
Soma sheria uelewe, polisi wanaweza kukuita na kukuhoji kwa chochote wanachohisi umekwenda kinyume na sheria na ni wajibu wako kutoa maelezo na hata kama huna hatia bado unawajibika kutoa maelezo.
Kuhojiwa sio hukumu na unaweza kuachiwa watakapojiridhisha kwamba sio mhusika na hawawajibiki kukulipa chochote.
Suala hapa ni kuwaachia polisi wahoji na kujiridhisha kama ni kweli wanahusika na kuuza au kutumia unga.

Biashara ya unga huwa inafanyika kwa siri sana mimi na wewe hatuwezi kusema kwamba Wema anahusika au hausiki.
Tusihoji kwa kuwa tunamapenzi na wema bali tusubili nini kitaendelea baada ya kuhojiwa.
Mange Kimambi yuko US hajui maisha ya kila siku ya watu huku ameandika kwa mapenzi yake kwa Wema
Ur so brave my dear thum up...!
 
Msando mwenyewe atakuwa zungu la unga,maana ukaribu wake na akina AY,petit man et al unaleta maswali
Jombaa hana hiyo biashara ila kupenda kukaa na vijana wa mjini ambao sio level yke ni tatizo kubwa kwake
 
Wamezuiliwa kufanya hayo yote? Mfano walienda na wanasheria wakakataliwa? kuna aliyegoma kujibu tuhuma akalazimishwa kwa kuteswa au kitu kama hicho?
Umesema wenzetu hawawezi kumhold mtu ikiwa hawana ushahidi hata wakimazingira/vithibitisho, je kwenye hili saga pia iko hivyo ? Au umehisi tu kuwa ipo hivyo.
Kwa Tanzania hayo yote ni mambo ya kawaida. Kulazimishwa kwa kuteswa ili ukubali kosa ni jambo la kawaida sana
 
Bwihi..! wote wako ndani au wameachiwa!?
 
Mange kimambi" mkuu wananchi tunaomba uchukue kesi ya Wema probono.
Tena sio kumtoa ndani tu, tunaomba umfunze Makonda adabu by during him and the city for defamation wamlipe Wema mabilioni kama Yale Togo waliambiwa walipe....

Please please Albert tunaomba, Wema kutoka ndani sio solution kabisa, wameshamwalibia maisha yake, hawezi kufanya Kazi na kampuni yoyote ile kubwa,

Please please tunakuomba au kama vipi tujichange tukulipe".
Hadi sasa wasanii walioitwa kuhojiwa bado wanashikiliwa na jeshi la polisi
Hivi ni kosa kuitwa na kuhojiwa polisi?! Kama wanakushuku unaitwa unahojiwa then mambo mengine yanafuata.
 
Hivi kutumia madawa ya kulevya ni makosa kisheria?
Na kama anasemekana anauza amekutwa na uthibisho?
Mtu anaitwa kuhojiwa kwa tuhuma za kutumia madawa ya kulevya? Like serious?

Hata wale madon wa unga huwezi kuwaita kuwahoji kisha ukawatia hatiani bila uthibitisho.

Makonda hajui anachokifanya
Period
Mtu yeyote anaweza kuitwa na kuhojiwa kwa tuhuma yoyote. Kuhojiwa haina maana wewe ni mhalifu au aliekuita kukuhoji amesema wewe ni mhalifu.
 
Kuhojiwa au kutiliwa shaka si tatizo maana bila kuhoji au kutilia shaka upelelezi hauwezi kuanza hivo kesi haiwezi kuanza, so hizi ni hatua za awali kama hawana kosa they will be free
Hivi inakuwaje GT hawaelewi kitu simple kama hiki?!!!! Bila kuhojiwa watakukamata au kukuachia vipi kama una TUHUMA?
 
Kutumia dawa za kulevya ni kosa maana umekutwa nayo, either umekutwa nayo mwilini au mkononi.
Jombaa hiyo sheria iko wapi....usa wanamziki kibao wanakufa na unga hawajawahi kuitwa kuhojiwa,ila makonda kakosa kiki ndio kaona atoke na hii ila comedy nyingi unamtaja petit cjui alteza wauza unga wakati.madon wapo wakubwa na wadogo kina rummy,kanyau,tikotiko
 
Back
Top Bottom