Mange Kimambi aumbuka peupeeeee

Hahahaha Konki Master kaamka kasema yuko tayari alipue.... Hakika hUYU kONKI NDIO size ya Mange na amemuweza yaani kifupi Mange kapata kiboko yake....
 
Nkonk nkonk nkonk bashite[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]
 
Team Bashite utawajua tu....
 
Na wewe ulivo...! Ulishajaza bando la Laki Ktk CMU yako!
Na ile account aliyosema atapost nikaifollow, mweh kumbe anataka followers ili aiuze.
Naenda kuiunfollow sasa hivi, kanipotezea muda sana
 
Habari za mtu kama konki konki Konki master huwa hazipatikani kibaya boya tu
 
Namwaminia Konkiii konkiii master msukuma figo za watu...huyu jamaa noma sana....wakapime kama wapo poa nipo tayar kuozea jera...wote wakaingia mitini kumsaka Mange awasaidie...Mange nae kapoteana kusikojulikana....Konkii ni noumaaa
 
Hapana chezea Konki triple master... Kibibi Aga kapiga mkwara mbuzi kakutana na chuma cha mkolono kimesimaaa sawa sawa...kabakia kujizubaisha.. ooo nilikuwa natania.. ooo mimi huwa siombi ruhusu narusha bom tu hahhahha kwendraaaa in Joti' s voice.. hakuna anaekuogopa Mama weee kama mpka Wema alikutukana utamumeza triple Konki master..πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Kwa hiyo mpambano kati ya Konkii master na Mange mshindi ni Mr.Kinkii cyo basi vizuri leo mbea kaumbuka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hili jamaa kweli ni OIL CHAFU haichezewi..... hadi dada enu nae kapigwa knockout....
 
Yule Mange akawatishe polisi aliowafanya warukishe kende barabarani nchi nzima kizuia maandamano, Wanaume tunajua Mange ni mwanamke ana papuchi inatafunwa kama kawaida
 
Konko konki konki masta kapigwa mkwala mwenyewe kanywea
Dudu baya aka oil chafu konki konki konki master pale ni mwisho wa reli, mwisho wa mataaluma stori zinaishia pale nadhani hamumjui vizuri konki. Mwisho wa siku Mange ataishia kumtunuku papuchi konki. Ile ni Dudu Zuri
 
Huwezi kuichafua oil chafu ila tuwe wakweli hii nchi yetu kwa matukio hasa ya kidaku ni balaa likiisha moja linaibuka lingine "kazi ikiisha inakuja shughuli "
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…