cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
Hakuna mwanaccm mwenye akili mbovu na muhuni kama Mange, naona anajipendekeza kwa familia ya jk wakati hata hawamjui, SHERIA IMESHASAINIWA na atakaetukana mitandaoni Jela inamuhusu,
I used to admire you lakini Leo umenisikitisha siyo kila kitu kutetea jmni penye ukweli na fact lets b open mange hapa was rite Le mutuz
Watanzania wakimchukia mtu inakuwa km kilema, hata mtu akiongea sense hawaoni. Tunajua humpendi mengi, na ana yake mabaya mengi tuu ikiwemo kutukana watu kwenye blog yake.
Ila kwa hili acha ushabiki, ameongea point kabisa sababu serikali haitaki kukosolewa. Ulishawahi kusikia nchi ya wapi kuwa mtu aki access nyaraka za serikali na akazitumia kuikosoa serikali akahukumiwa kuwa ni kosa la jinai, hapo hujaona km ni U dictatorship?
Soma vizuri hiyo sheria ipo kwenye website ya bunge, km ww ni mvivu basi fuatilia bila ku comment kishabiki
Mange yuko right kwa misingi hipi? Unakubaliana nae kuwa freedom of speech maana yake kutokuwa na cyber law? Freedom of speech maana yake kuongea lolote? Hivi kwanini Mange ameshindwa kuonesha mapungufu ya muswada badala yake anafanya personal attacks? Hivi ni kweli muswada huu ni mbaya wote kama Mange anavyo jaribu kusema? Mimi najua muswada huu una mapungufu lakini pia ni mzuri pamoja na mapungufu!
Hatuwezi kuunga mkono mtupu kwa njia hii ya ku attack !
Bahati mbaya wengi hawakufatilia huu muswada au kupata wasaha wakusoma huu muswada bali mtu akisema muswada mbaya wana kubali tuu!
Hakuna mwanaccm mwenye akili mbovu na muhuni kama Mange, naona anajipendekeza kwa familia ya jk wakati hata hawamjui, SHERIA IMESHASAINIWA na atakaetukana mitandaoni Jela inamuhusu,
- Hii Sheria hamlindi mtu wala Kiongozi yoyote mchafu, isipokuwa ni Sheria inayotaka Wananchi kuanza kuandika kwa RESPONSIBILITY I support it kwa sababu it is a high time imekuja nchi zote Duniani zilizoendelea ni lazima zina Sheria kama hii ya KUANDIKA KWA RESPONSIBILITY ndio maana Serial Link alikamatwa na kuwa kesi mahakamani kwa kuwa na nyara za Serikali bila kibali cha Serikali ya US,
- Wabongo tumezoa kutafutana uchawi Sheria ni ya Taifa sio ya Rdihiwani au January, foolish to think kwamba eti Sheria ya Taifa imepitishwa kwa sababu ya hawa wawili, wananchi wa Tanzania sasa mjifunze kuandika with FACTS and EVIDENCE sio kurusha rusha maneno hewa bila kujua effect yake kwa unaowarushia sasa ukisema sema bila ushahidi utaumia na people hii sheria ni serious sio utani kwa mliozoea kuandika bila FACTS!!
Le Mutuz
- Hii Sheria hamlindi mtu wala Kiongozi yoyote mchafu, isipokuwa ni Sheria inayotaka Wananchi kuanza kuandika kwa RESPONSIBILITY I support it kwa sababu it is a high time imekuja nchi zote Duniani zilizoendelea ni lazima zina Sheria kama hii ya KUANDIKA KWA RESPONSIBILITY ndio maana Serial Link alikamatwa na kuwa kesi mahakamani kwa kuwa na nyara za Serikali bila kibali cha Serikali ya US,
- Wabongo tumezoa kutafutana uchawi Sheria ni ya Taifa sio ya Rdihiwani au January, foolish to think kwamba eti Sheria ya Taifa imepitishwa kwa sababu ya hawa wawili, wananchi wa Tanzania sasa mjifunze kuandika with FACTS and EVIDENCE sio kurusha rusha maneno hewa bila kujua effect yake kwa unaowarushia sasa ukisema sema bila ushahidi utaumia na people hii sheria ni serious sio utani kwa mliozoea kuandika bila FACTS!!
Le Mutuz
Mimi si mchukii Mange kama unavyo jaribu kusema! Mimi ninacho sema huu muswada sio mbaya wote kama anavyo jaribu kuonesha nilitegemea angeonesha japo mazuri ya huu muswada na ange onesha mapungufu ili ashinikize kufanyiwa marekebisho! Huu muswada una mapungufu yake lakini si mbaya kiasi hiki na ukumbuke sheria ni msumeno!
Mange sio kwamba anatetea uhuru wa kufichua maovu bali ana tetea uhuru wa kutukana na kudharirisha watu ndio maana ameishia kushambulia watu tuu.
Siwezi kumuunga mkono kamwe!
Sawa lakini hawa ccm dot com wana take advantage ya team hizi kuwafunga midomo wananchi!! Mfano mzuri mss tz fake bila watu kushikamana si angecheat kiulauni maana umoja ni nguvu mpaka ushaidi ukapatakini haya likaja scandal ya epa mara escrow na mengine mengi wanaogopa yatajitokeza!
Kwa sheriaa hiii hata mi namuunga mkono Mange bwana watu wataonewa mno Tanzania hakuna haki kuna uonevu tu hiyo sheria itageuka kuwaziba watu midomo,kuwaonea watu hovyooo hii yote ni CCM ,muda wa kuwachagua viongozi umekaribia ni kuondoa CCM ,tuwape Chadema kura nao walete mabadiliko tumeshachoka,wanashindwa kuweka sheria kali kuhusu mauaji ya albino,hii nchi kuna ,maswala mazito bado hayajarekebishwa wanarekebisha matumbo yao tu wanakimbilia hayo ya sheria za mitandaonii mfyuuuuuuuu
Umeamua kutisha watu sasa, Mkuu uoni mapungufu ya hii sheria mfano police kukagua simu au pc ya mtu bila court order?!
USA ndivyo wanafanya insp wa polisi anaweza fanya hivyo ? Unajua insp ni cheo kidogo sana Kwa polisi?yaani ndio amepewa mamlaka makubwa hivyo Na hiyo sheria?
Watu wanapinga clause Za hiyo Bill
kwani Mange Kimambi ni nani katika siasa za Tanzania?
- Something had to be done tumeishi bila hizi sheria all our life matokeo yake yalikuwa ni abuse, Tanzania tulishafikia hatua ya kuongoza Duniani kwa Social MEdia Abuse now Serikali inaamua kufanya kazi yake kuna watu mnalia lia yaani mtumzima na akili timamu unaandika article kubwa na mapicha ya watu kisa unalilia HAKI ya kutukana watu bila sababu that is a shame, wale wote mnaolia lia mnalillia only one thing HAKI ya kutukana wengine katika jamii that is sad,
- Mimi watu wote ninaowajua watukana matusi mitandaoni huwa ninawadharau sana na huwa hata sipotezi muda wangu hata kuwasemesha cause na mimi nitakuwa mjinga kama wao, hakuna anayekukataza kusema anything na Sheria ila unatakiwa kusema na RESPONSIBLITY that is all, mimi sijawahi in my life kukurupuka bila FACTS au EVIDENCE kwenye mitandao, na ndio maana wala sina wasi wasi na hii sheria cause nikiamua kumtwanga kiongozi yoyote wa Siasa nitafanya tena bila tatizo kwa sababu siku zote huwa ninakuwa na FACTS ambazo hata yule kiongozi hawezi kushindana nazo hata awe na nguvu vipi,
- Guys badilikeni muanze kuandika na RESPONSIBILITY, wale wote mnaolia lia poleni sana ila this Law is just great at its heart ni from now on mnatakiwa kuandika with RESPONSIBILITY that is all!!
Le Mutuz